Ukiwachunguza vizuri, viongozi hawa, wameishapigwa na stroke sema wanaficha angalia uso na mkono

Ukiwachunguza vizuri, viongozi hawa, wameishapigwa na stroke sema wanaficha angalia uso na mkono

View attachment 3232760
View attachment 3232761
View attachment 3232765


Hawa wazee wanaong'ang'ania madarakani wanaumwa hata kama hawataki kusema. Outtarra anaonekana kupigwa stoke ya uso huku Museveni akionyesha mkono wake wa kulia ulivyokwisha kufanya kazi japo anaficha kama alivyo Dk Wilbroad Slaa japo si rais. Wengine kama Stephen Wasira wesha expire lakini bado wanawekwa ofisini ili waendelee kuuguzwa bure.​

View attachment 3232775
we ndio una stroke ya akili
 
View attachment 3232760
View attachment 3232761
View attachment 3232765


Hawa wazee wanaong'ang'ania madarakani wanaumwa hata kama hawataki kusema. Outtarra anaonekana kupigwa stoke ya uso huku Museveni akionyesha mkono wake wa kulia ulivyokwisha kufanya kazi japo anaficha kama alivyo Dk Wilbroad Slaa japo si rais. Wengine kama Stephen Wasira wesha expire lakini bado wanawekwa ofisini ili waendelee kuuguzwa bure.​

View attachment 3232775
Kuhusu Marehemu wasira ....wakutanikapo tai ndipo mzoga ungalipo
 
View attachment 3232760
View attachment 3232761
View attachment 3232765


Hawa wazee wanaong'ang'ania madarakani wanaumwa hata kama hawataki kusema. Outtarra anaonekana kupigwa stoke ya uso huku Museveni akionyesha mkono wake wa kulia ulivyokwisha kufanya kazi japo anaficha kama alivyo Dk Wilbroad Slaa japo si rais. Wengine kama Stephen Wasira wesha expire lakini bado wanawekwa ofisini ili waendelee kuuguzwa bure.​

View attachment 3232775
Kwa wengine uliowataja ni sawa, lakini kwa Slaa, sioni dalili ya stroke kwenye picha hiyo.
 
View attachment 3232760
View attachment 3232761
View attachment 3232765


Hawa wazee wanaong'ang'ania madarakani wanaumwa hata kama hawataki kusema. Outtarra anaonekana kupigwa stoke ya uso huku Museveni akionyesha mkono wake wa kulia ulivyokwisha kufanya kazi japo anaficha kama alivyo Dk Wilbroad Slaa japo si rais. Wengine kama Stephen Wasira wesha expire lakini bado wanawekwa ofisini ili waendelee kuuguzwa bure.​

View attachment 3232775
Alikunywa dawa zenye kuleta usingizi
 
View attachment 3232760
View attachment 3232761
View attachment 3232765


Hawa wazee wanaong'ang'ania madarakani wanaumwa hata kama hawataki kusema. Outtarra anaonekana kupigwa stoke ya uso huku Museveni akionyesha mkono wake wa kulia ulivyokwisha kufanya kazi japo anaficha kama alivyo Dk Wilbroad Slaa japo si rais. Wengine kama Stephen Wasira wesha expire lakini bado wanawekwa ofisini ili waendelee kuuguzwa bure.​

View attachment 3232775
Dr. Slaa yeye alianguka mkono ukaumia akakataa kuwekewa POP ndiyo ukalemaa hivyo
 
Tuwaombee tu Kwa Mungu
View attachment 3232760
View attachment 3232761
View attachment 3232765


Hawa wazee wanaong'ang'ania madarakani wanaumwa hata kama hawataki kusema. Outtarra anaonekana kupigwa stoke ya uso huku Museveni akionyesha mkono wake wa kulia ulivyokwisha kufanya kazi japo anaficha kama alivyo Dk Wilbroad Slaa japo si rais. Wengine kama Stephen Wasira wesha expire lakini bado wanawekwa ofisini ili waendelee kuuguzwa bure.​

View attachment 3232775
 
Huyo yesu mbona kashindwa kujinusuru asipigwe mijeredi pale msalabani?kama kweli yeye ni mungu wa uzima? haya tuambie we mfia dini yesu pale msalabani alikuwa analalama mungu wangu mbona umeniacha!!

Aya alikuwa anamuita mungu gani ilhali yeye mnamuita ni mungu wenu? Dini ni ukichaa kweli
Kwani kakulazamisha uamini anachoamini?
 
Huu ugonjwa kwasasa upo kasi sana. Kuna jamaa hapa mtaani amepigwana hii kitu kama utani vile. Yani alikuwa ameka dukan kwake watu wanajua analeta utani kumbe stroke tayar ishampiga, ndan ya dkk tu mdomo umenda upande na kila kitu kikawa kimeharibika.
 
Uzima una yeye Yesu, milele na milele.
Amina.
Na huo uzima kutoka kwa Yesu hauji hivi hivi tu huku ukiwatendea mabaya binadamu wenzako 🙏

Njama za kuwadhuru watu. Njama za kuwadhalilisha watu, njama za kujipendelea na kukwapua mipesa kupitia Ofisi za Wananchi , njama za kuingia mikataba ya mali za Nchi kwa kujinufaisha wewe na kakikundi kako etc etc,

Kisha useme Damu ya Yesu itakuokoa 😳😱🙄 !

Karma is just around the corner !
🙏🙏🙏
 
View attachment 3232760
View attachment 3232761
View attachment 3232765


Hawa wazee wanaong'ang'ania madarakani wanaumwa hata kama hawataki kusema. Outtarra anaonekana kupigwa stoke ya uso huku Museveni akionyesha mkono wake wa kulia ulivyokwisha kufanya kazi japo anaficha kama alivyo Dk Wilbroad Slaa japo si rais. Wengine kama Stephen Wasira wesha expire lakini bado wanawekwa ofisini ili waendelee kuuguzwa bure.​

View attachment 3232775
Hao wote hapo umewachomekea by the way tu,ila inaonekana kuna mmoja hapo ndio muhusika wako halisi.....
 
Huyo yesu mbona kashindwa kujinusuru asipigwe mijeredi pale msalabani?kama kweli yeye ni mungu wa uzima? haya tuambie we mfia dini yesu pale msalabani alikuwa analalama mungu wangu mbona umeniacha!!

Aya alikuwa anamuita mungu gani ilhali yeye mnamuita ni mungu wenu? Dini ni ukichaa kweli
Shika akili yako, uislamu sio ukichaa, labda hizo dini nyengine
 
Huyo yesu mbona kashindwa kujinusuru asipigwe mijeredi pale msalabani?kama kweli yeye ni mungu wa uzima? haya tuambie we mfia dini yesu pale msalabani alikuwa analalama mungu wangu mbona umeniacha!!

Aya alikuwa anamuita mungu gani ilhali yeye mnamuita ni mungu wenu? Dini ni ukichaa kweli
Shika akili yako, uislamu sio ukichaa, labda hizo dini nyengine
 
Huu ugonjwa kwasasa upo kasi sana. Kuna jamaa hapa mtaani amepigwana hii kitu kama utani vile. Yani alikuwa ameka dukan kwake watu wanajua analeta utani kumbe stroke tayar ishampiga, ndan ya dkk tu mdomo umenda upande na kila kitu kikawa kimeharibika.
Matatizo ya moyo hayo, yanasababishwa na ulaji holela holela na kutokufanya mazoezi !
“ Hatuishi ili tule bali tunakula ili tuweze kuishi “
Kwahiyo inabidi tusiuendekeze moyo kwa kupenda kula kula vyakula kiholela holela !
Holela holela itatukosti 😳 anasemaga Amani Mbillo wa Radio One 😅🙏
 
Back
Top Bottom