NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Mungu anapigwa kuzidi kibaka,watu wa dar wanajua kuadhibu vibaka.ila yesu alipasuliwa jamani.Pale walijuwa kumdhalilisha Mungu mwanaHili swali japo rahisi ni mali. Sijui kama. kuna mtu mwenye kuamini katika dini anaweza kulijibu zaidi ya kubabaisha na kujiridhisha kijinga jinga.
Shindania nafasi zao kama unajiamini una afya njemaWaachie madaraka wenye afya watawala badala ya kuwatwisha mzigo walipa kodi ugogolo wa afya zao mwanangu hujui!!!!
Ukinipa kura nawapiga chini na kuongoza na siyo kuganga njaa mwanangu.Shindania nafasi zao kama unajiamini una afya njema
we ndio una stroke ya akiliView attachment 3232760
View attachment 3232761
View attachment 3232765
Hawa wazee wanaong'ang'ania madarakani wanaumwa hata kama hawataki kusema. Outtarra anaonekana kupigwa stoke ya uso huku Museveni akionyesha mkono wake wa kulia ulivyokwisha kufanya kazi japo anaficha kama alivyo Dk Wilbroad Slaa japo si rais. Wengine kama Stephen Wasira wesha expire lakini bado wanawekwa ofisini ili waendelee kuuguzwa bure.
View attachment 3232775
Kuhusu Marehemu wasira ....wakutanikapo tai ndipo mzoga ungalipoView attachment 3232760
View attachment 3232761
View attachment 3232765
Hawa wazee wanaong'ang'ania madarakani wanaumwa hata kama hawataki kusema. Outtarra anaonekana kupigwa stoke ya uso huku Museveni akionyesha mkono wake wa kulia ulivyokwisha kufanya kazi japo anaficha kama alivyo Dk Wilbroad Slaa japo si rais. Wengine kama Stephen Wasira wesha expire lakini bado wanawekwa ofisini ili waendelee kuuguzwa bure.
View attachment 3232775
Kwa wengine uliowataja ni sawa, lakini kwa Slaa, sioni dalili ya stroke kwenye picha hiyo.View attachment 3232760
View attachment 3232761
View attachment 3232765
Hawa wazee wanaong'ang'ania madarakani wanaumwa hata kama hawataki kusema. Outtarra anaonekana kupigwa stoke ya uso huku Museveni akionyesha mkono wake wa kulia ulivyokwisha kufanya kazi japo anaficha kama alivyo Dk Wilbroad Slaa japo si rais. Wengine kama Stephen Wasira wesha expire lakini bado wanawekwa ofisini ili waendelee kuuguzwa bure.
View attachment 3232775
Alikunywa dawa zenye kuleta usingiziView attachment 3232760
View attachment 3232761
View attachment 3232765
Hawa wazee wanaong'ang'ania madarakani wanaumwa hata kama hawataki kusema. Outtarra anaonekana kupigwa stoke ya uso huku Museveni akionyesha mkono wake wa kulia ulivyokwisha kufanya kazi japo anaficha kama alivyo Dk Wilbroad Slaa japo si rais. Wengine kama Stephen Wasira wesha expire lakini bado wanawekwa ofisini ili waendelee kuuguzwa bure.
View attachment 3232775
Tangu uzaliwe ulishawahi kumtuma kiongozi yeyote akakusemee?Hayo ya usemaji wa watu ambao hatukumtuma.
Dr. Slaa yeye alianguka mkono ukaumia akakataa kuwekewa POP ndiyo ukalemaa hivyoView attachment 3232760
View attachment 3232761
View attachment 3232765
Hawa wazee wanaong'ang'ania madarakani wanaumwa hata kama hawataki kusema. Outtarra anaonekana kupigwa stoke ya uso huku Museveni akionyesha mkono wake wa kulia ulivyokwisha kufanya kazi japo anaficha kama alivyo Dk Wilbroad Slaa japo si rais. Wengine kama Stephen Wasira wesha expire lakini bado wanawekwa ofisini ili waendelee kuuguzwa bure.
View attachment 3232775
View attachment 3232760
View attachment 3232761
View attachment 3232765
Hawa wazee wanaong'ang'ania madarakani wanaumwa hata kama hawataki kusema. Outtarra anaonekana kupigwa stoke ya uso huku Museveni akionyesha mkono wake wa kulia ulivyokwisha kufanya kazi japo anaficha kama alivyo Dk Wilbroad Slaa japo si rais. Wengine kama Stephen Wasira wesha expire lakini bado wanawekwa ofisini ili waendelee kuuguzwa bure.
View attachment 3232775
Kwani kakulazamisha uamini anachoamini?Huyo yesu mbona kashindwa kujinusuru asipigwe mijeredi pale msalabani?kama kweli yeye ni mungu wa uzima? haya tuambie we mfia dini yesu pale msalabani alikuwa analalama mungu wangu mbona umeniacha!!
Aya alikuwa anamuita mungu gani ilhali yeye mnamuita ni mungu wenu? Dini ni ukichaa kweli
Na huo uzima kutoka kwa Yesu hauji hivi hivi tu huku ukiwatendea mabaya binadamu wenzako πUzima una yeye Yesu, milele na milele.
Amina.
Hao wote hapo umewachomekea by the way tu,ila inaonekana kuna mmoja hapo ndio muhusika wako halisi.....View attachment 3232760
View attachment 3232761
View attachment 3232765
Hawa wazee wanaong'ang'ania madarakani wanaumwa hata kama hawataki kusema. Outtarra anaonekana kupigwa stoke ya uso huku Museveni akionyesha mkono wake wa kulia ulivyokwisha kufanya kazi japo anaficha kama alivyo Dk Wilbroad Slaa japo si rais. Wengine kama Stephen Wasira wesha expire lakini bado wanawekwa ofisini ili waendelee kuuguzwa bure.
View attachment 3232775
Shika akili yako, uislamu sio ukichaa, labda hizo dini nyengineHuyo yesu mbona kashindwa kujinusuru asipigwe mijeredi pale msalabani?kama kweli yeye ni mungu wa uzima? haya tuambie we mfia dini yesu pale msalabani alikuwa analalama mungu wangu mbona umeniacha!!
Aya alikuwa anamuita mungu gani ilhali yeye mnamuita ni mungu wenu? Dini ni ukichaa kweli
Shika akili yako, uislamu sio ukichaa, labda hizo dini nyengineHuyo yesu mbona kashindwa kujinusuru asipigwe mijeredi pale msalabani?kama kweli yeye ni mungu wa uzima? haya tuambie we mfia dini yesu pale msalabani alikuwa analalama mungu wangu mbona umeniacha!!
Aya alikuwa anamuita mungu gani ilhali yeye mnamuita ni mungu wenu? Dini ni ukichaa kweli
No peace of mind !Tuwaombee tu Kwa Mungu
Matatizo ya moyo hayo, yanasababishwa na ulaji holela holela na kutokufanya mazoezi !Huu ugonjwa kwasasa upo kasi sana. Kuna jamaa hapa mtaani amepigwana hii kitu kama utani vile. Yani alikuwa ameka dukan kwake watu wanajua analeta utani kumbe stroke tayar ishampiga, ndan ya dkk tu mdomo umenda upande na kila kitu kikawa kimeharibika.