Ukiwajua wanawake, ni watu poa sana

Ukiwajua wanawake, ni watu poa sana

Salaam,

Mwanamke akikupenda atakupa cheo cha baba katika maisha yake, kwako atatarajia upendo na malezi toka kwako.

Kama mwanaume, ni wajibu wako kumfanyia yafuatayo:

1. Mdekeze kadri uwezavyo coz huenjoy sana kudekezwa na mtu ampendae

2. Akikosea usimfokee, muelekeze kistaarab hatorudia kosa hilo

3. Ukimkosea muombe samahani hata kwa kuigiza, atafurahi sana.

4. Akikujibu vibaya usimchukulie serious coz hua hawamaanishi zaid ya kujihami

Kwa leo inatosha, tukutane wakati mwingine.
Hatuna shida na mtu sie
 
Sasa we rogwa kumfanyia haya yote alafu ukute kapewa dawa za kienyeji na mganga wake fake uone atavyofurahia kuwa kakuweza na kitakachofuata ni kukupiga matukio
Heheheee😁😁
 
Kiumbe ambacho umeambiwa uishi nacho kwa akili inamaana hakiko stable... kwahiyo wewe fanya unavyofanya as long as unafurahia matokeo ya hayo ufanyayo ila usiweke matarajio makubwa kwa maana iko siku isiyojulikana atakuja akushangaze.

Wanawake ni viumbe smart sana na movements zao huwa mara nyingi ni zauhakika kwahiyo kuwa makini kabla hujatiwa tattoo kwenye moyo wako 😅😅😅.

KAA KITAALAM.
Uhakika wapi wewe ni nyege tu 🤣
 
Back
Top Bottom