Guardiola
JF-Expert Member
- Jun 21, 2024
- 406
- 936
Ila mi kuomba msamaha demu dah inanishinda kabisa
Naam, huu ndo uanaume.
Hata akikufumania upo juu ya mwenzake unapiga paipu.
Hakikisha mkiondoka unakataa kuwa sio wewe alikufananisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila mi kuomba msamaha demu dah inanishinda kabisa
Hatuna shida na mtu sieSalaam,
Mwanamke akikupenda atakupa cheo cha baba katika maisha yake, kwako atatarajia upendo na malezi toka kwako.
Kama mwanaume, ni wajibu wako kumfanyia yafuatayo:
1. Mdekeze kadri uwezavyo coz huenjoy sana kudekezwa na mtu ampendae
2. Akikosea usimfokee, muelekeze kistaarab hatorudia kosa hilo
3. Ukimkosea muombe samahani hata kwa kuigiza, atafurahi sana.
4. Akikujibu vibaya usimchukulie serious coz hua hawamaanishi zaid ya kujihami
Kwa leo inatosha, tukutane wakati mwingine.
Aisee kumbe nafanya vizuri eeehNaam, huu ndo uanaume.
Hata akikufumania upo juu ya mwenzake unapiga paipu.
Hakikisha mkiondoka unakataa kuwa sio wewe alikufananisha.
Ata mm aiseeIla mi kuomba msamaha demu dah inanishinda kabisa
ImekPunguza hasira sio kila mtu yupo km uliokutananao
Heheheee😁😁Sasa we rogwa kumfanyia haya yote alafu ukute kapewa dawa za kienyeji na mganga wake fake uone atavyofurahia kuwa kakuweza na kitakachofuata ni kukupiga matukio
Dogo anazingua huyu.Upo kwenye penzi lililoanza masaa mawili yaliyopita alafu unakuja kuwashauri waandamizi wabobevu
Uhakika wapi wewe ni nyege tu 🤣Kiumbe ambacho umeambiwa uishi nacho kwa akili inamaana hakiko stable... kwahiyo wewe fanya unavyofanya as long as unafurahia matokeo ya hayo ufanyayo ila usiweke matarajio makubwa kwa maana iko siku isiyojulikana atakuja akushangaze.
Wanawake ni viumbe smart sana na movements zao huwa mara nyingi ni zauhakika kwahiyo kuwa makini kabla hujatiwa tattoo kwenye moyo wako 😅😅😅.
KAA KITAALAM.