SweetyCandy
JF-Expert Member
- Sep 17, 2022
- 3,109
- 6,323
LIve,lauph,love
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmh weweee usilinganishe pesa na vitu vya ajabuMwanamke hata umrundikie pesa, usipojali hisia zake atakuona takataka tu.
Uzi kituko mtandaoni nawe umetupia chakoSalaam,
Mwanamke akikupenda atakupa cheo cha baba ktk maisha yake, kwako atatarajia upendo na malezi toka kwako.
Kama mwanaume, ni wajibu wako kumfanyia yafuatayo:
1. Mdekeze kadri uwezavyo coz huenjoy sana kudekezwa na mtu ampendae
2. Akikosea usimfokee, muelekeze kistaarab hatorudia kosa hilo
3. Ukimkosea muombe samahan hata kwa kuigiza, atafurah sana.
4. Akikujibu vibaya usimchukulie serious coz hua hawamaanish zaid ya kujihami
Kwa leo inatosha, tukutane wakati mwingine.
Unaijua pesa kweli mkuu?Mwanamke hata umrundikie pesa, usipojali hisia zake atakuona takataka tu.
Kwa mwanamke pesa na upendo vyote anavitaka kwa pamoja.Unaijua pesa kweli mkuu?
Endelea kukomaa na hisia sasa, lakini kumbuka tu kuwa hata Shah Rukh Khan yalimshinda
Huyo jamaa ni mjomba wanguUnaijua pesa kweli mkuu?
Endelea kukomaa na hisia sasa, lakini kumbuka tu kuwa hata Shah Rukh Khan yalimshinda
Mwanamke hata umrundikie pesa, usipojali hisia zake atakuona takataka tu.
Afu hizo pigo za kutunzwa na mwanamke sizipendi balaaUnaingizwa kwenye kumi na nane .. shtuka ..
Kwenye game kuna anaelose kuna anaewin .
Wengine Tulipewa mpaka mishahara tuipangie matumizi ..
Una uchovu unaulizwa au ni hela huna , Ikijibu yes unachapwa na turaki tuwiri, .
Hapo uko na bebe wako mwingine .. unaulizwa huwa anakupa Nini mie nikupe more than .. unajichanganywa unaingia kuminatisani ... Paap huna option Zaidi ya yeye .. nyokolaaaa
Unaanza kuona makucha ...
Ngastuka a machali kundesaaaa
Kaa kijana jombiiii...
Kuwa makini na wanawake wameangusha himaya pamoja na wafalme
I can walk like Michael Jacksonhii hapa icheki, useme
Endelea kumwaga upendo tu 'nice guy'Kwa mwanamke pesa na upendo vyote anavitaka kwa pamoja.
WisdomAkinuna mpe pesa!
Wewe naona kama mimi.Afu hizo pivo xa kutunzwa na mwanamke sizipendi balaa
Zifuatazo ni dalili kama mwananke hakupendi 😂🤣
Ww jamaa tamthiria za kiphilipino zime kuharibu shauri yako.Mwanamke hata umrundikie pesa, usipojali hisia zake atakuona takataka tu.