- Thread starter
- #41
Nina experience ya nilichoandika baada ya kupitia magum ktk ndoa kwa mda mrefu.Unaingizwa kwenye kumi na nane .. shtuka ..
Kwenye game kuna anaelose kuna anaewin .
Wengine Tulipewa mpaka mishahara tuipangie matumizi ..
Una uchovu unaulizwa au ni hela huna , Ikijibu yes unachapwa na turaki tuwiri, .
Hapo uko na bebe wako mwingine .. unaulizwa huwa anakupa Nini mie nikupe more than .. unajichanganywa unaingia kuminatisani ... Paap huna option Zaidi ya yeye .. nyokolaaaa
Unaanza kuona makucha ...
Ngastuka a machali kundesaaaa
Kaa kijana jombiiii...
Kuwa makini na wanawake wameangusha himaya pamoja na wafalme
Nilikubali kujifunza na kuanza maisha mapya hivo nimeshare nachokijua.