Ukiwajua wanawake, ni watu poa sana

Ukiwajua wanawake, ni watu poa sana

Unaingizwa kwenye kumi na nane .. shtuka ..

Kwenye game kuna anaelose kuna anaewin .

Wengine Tulipewa mpaka mishahara tuipangie matumizi ..
Una uchovu unaulizwa au ni hela huna , Ikijibu yes unachapwa na turaki tuwiri, .

Hapo uko na bebe wako mwingine .. unaulizwa huwa anakupa Nini mie nikupe more than .. unajichanganywa unaingia kuminatisani ... Paap huna option Zaidi ya yeye .. nyokolaaaa

Unaanza kuona makucha ...

Ngastuka a machali kundesaaaa

Kaa kijana jombiiii...

Kuwa makini na wanawake wameangusha himaya pamoja na wafalme
Nina experience ya nilichoandika baada ya kupitia magum ktk ndoa kwa mda mrefu.

Nilikubali kujifunza na kuanza maisha mapya hivo nimeshare nachokijua.
 
Salaam,

Mwanamke akikupenda atakupa cheo cha baba ktk maisha yake, kwako atatarajia upendo na malezi toka kwako.

Kama mwanaume, ni wajibu wako kumfanyia yafuatayo:

1.mdekeze kadri uwezavyo coz huenjoy sana kudekezwa na mtu ampendae

2. Akikosea usimfokee, muelekeze kistaarab hatorudia kosa hilo

3. Ukimkosea muombe samahan hata kwa kuigiza, atafurah sana.

4. Akikujibu vibaya usimchukulie serious coz hua hawamaanish zaid ya kujihami

Kwa leo inatosha, tukutane wakati mwingine.
Mmeanza lini mapenzi yenu...
 
Kiumbe ambacho umeambiwa uishi nacho kwa akili inamaana hakiko stable... kwahiyo wewe fanya unavyofanya as long as unafurahia matokeo ya hayo ufanyayo ila usiweke matarajio makubwa kwa maana iko siku isiyojulikana atakuja akushangaze.

Wanawake ni viumbe smart sana na movements zao huwa mara nyingi ni zauhakika kwahiyo kuwa makini kabla hujatiwa tattoo kwenye moyo wako 😅😅😅.

KAA KITAALAM.
 
Salaam,

Mwanamke akikupenda atakupa cheo cha baba ktk maisha yake, kwako atatarajia upendo na malezi toka kwako.

Kama mwanaume, ni wajibu wako kumfanyia yafuatayo:

1.mdekeze kadri uwezavyo coz huenjoy sana kudekezwa na mtu ampendae

2. Akikosea usimfokee, muelekeze kistaarab hatorudia kosa hilo

3. Ukimkosea muombe samahan hata kwa kuigiza, atafurah sana.

4. Akikujibu vibaya usimchukulie serious coz hua hawamaanish zaid ya kujihami

Kwa leo inatosha, tukutane wakati mwingine.
Jitahidi uwajue yaani bado sana
Kapeace mwalimu wao
 
Back
Top Bottom