MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Umeingia kwenye mfumo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wenye D mbili tumeelewa
😂Kaishajaa kapuniUmeingia kwenye mfumo
Sifa ya baba ni kupenda, kujali, kuongoza na nk...Hakuna hata sifa ya baba kwa mtoto wake hapo
Sio kizazi hiki cha nyokaSalaam,
Mwanamke akikupenda atakupa cheo cha baba ktk maisha yake, kwako atatarajia upendo na malezi toka kwako.
Kama mwanaume, ni wajibu wako kumfanyia yafuatayo:
1.mdekeze kadri uwezavyo coz huenjoy sana kudekezwa na mtu ampendae
2. Akikosea usimfokee, muelekeze kistaarab hatorudia kosa hilo
3. Ukimkosea muombe samahan hata kwa kuigiza, atafurah sana.
4. Akikujibu vibaya usimchukulie serious coz hua hawamaanish zaid ya kujihami
Kwa leo inatosha, tukutane wakati mwingine.
Ukifanya hayo atakupa 24hrs.haya yote sawa ishu inakuja je mbususus anakususia?
Kupenda, kujali na kuongoza kuna vipengele vyake ikiwemo kuwarudi na kuwakemea unaowapenda pind wanatoka ya mstariSifa ya baba ni kupenda, kujali, kuongoza na nk...
Mbona mada imetofautishaTofautisha mwanamke na mama yako mzaz ni vitu viwili tofauti.........
Kwa niaba ya wanawake nasemaaa hizi ni uongooooooSalaam,
Mwanamke akikupenda atakupa cheo cha baba ktk maisha yake, kwako atatarajia upendo na malezi toka kwako.
Kama mwanaume, ni wajibu wako kumfanyia yafuatayo:
1.mdekeze kadri uwezavyo coz huenjoy sana kudekezwa na mtu ampendae
2. Akikosea usimfokee, muelekeze kistaarab hatorudia kosa hilo
3. Ukimkosea muombe samahan hata kwa kuigiza, atafurah sana.
4. Akikujibu vibaya usimchukulie serious coz hua hawamaanish zaid ya kujihami
Kwa leo inatosha, tukutane wakati mwingine.
Mwanaume akipenda ni dhaifu bt mwanamke ni dhaifu zaidi.tukikupenda utaenjoy life
Kukemea na kuwarudi si lazima uwafokee.Kupenda, kujali na kuongoza kuna vipengele vyake ikiwemo kuwarudi na kuwakemea unaowapenda pind wanatoka ya mstari
Sawa, tufanye iko hivyoKukemea na kuwarudi si lazima uwafokee.
Ahsante kwa maoni yakoKwa niaba ya wanawake nasemaaa hizi ni uongoooooo
ItakuwaUmekula lakini?
Tatizo na wewe shangazi hueleweki siku hizi😄Kwa niaba ya wanawake nasemaaa hizi ni uongoooooo