Aidanna
JF-Expert Member
- Oct 25, 2019
- 1,810
- 2,844
Duh kwaiyo jamaa soon tu anaumaliza mwendoUkianza kuwaelewa wanawake ujue umekaribia kufa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh kwaiyo jamaa soon tu anaumaliza mwendoUkianza kuwaelewa wanawake ujue umekaribia kufa
Labda shetani ndio anaweza kusema kuwa anamjua mwanamke vizuri maana walishawahi kufanya kikao kazi/tendaji lakini si binadamu mwingine yoyote ikiwemo mwanamke mwenyewe. Rafiki yangu X afanya kazi mgodini kajaliwa kipato kikubwa na ni mstaarabu sana katulia lakini mke kaenda kutembea na MC X maarufu. Bila vikao virefu na kulialia ungesikia MC maarufu kala Chuma.Salaam,
Mwanamke akikupenda atakupa cheo cha baba ktk maisha yake, kwako atatarajia upendo na malezi toka kwako.
Kama mwanaume, ni wajibu wako kumfanyia yafuatayo:
1. Mdekeze kadri uwezavyo coz huenjoy sana kudekezwa na mtu ampendae
2. Akikosea usimfokee, muelekeze kistaarab hatorudia kosa hilo
3. Ukimkosea muombe samahan hata kwa kuigiza, atafurah sana.
4. Akikujibu vibaya usimchukulie serious coz hua hawamaanish zaid ya kujihami
Kwa leo inatosha, tukutane wakati mwingine.
Sasa we rogwa kumfanyia haya yote alafu ukute kapewa dawa za kienyeji na mganga wake fake uone atavyofurahia kuwa kakuweza na kitakachofuata ni kukupiga matukioSalaam,
Mwanamke akikupenda atakupa cheo cha baba ktk maisha yake, kwako atatarajia upendo na malezi toka kwako.
Kama mwanaume, ni wajibu wako kumfanyia yafuatayo:
1. Mdekeze kadri uwezavyo coz huenjoy sana kudekezwa na mtu ampendae
2. Akikosea usimfokee, muelekeze kistaarab hatorudia kosa hilo
3. Ukimkosea muombe samahan hata kwa kuigiza, atafurah sana.
4. Akikujibu vibaya usimchukulie serious coz hua hawamaanish zaid ya kujihami
Kwa leo inatosha, tukutane wakati mwingine.
Hujawahi kukutana na visirani bin pasua kichwa wewe. Kwanza hivyo ulivyoandika ni vya watoto wa sekondarySalaam,
Mwanamke akikupenda atakupa cheo cha baba ktk maisha yake, kwako atatarajia upendo na malezi toka kwako.
Kama mwanaume, ni wajibu wako kumfanyia yafuatayo:
1. Mdekeze kadri uwezavyo coz huenjoy sana kudekezwa na mtu ampendae
2. Akikosea usimfokee, muelekeze kistaarab hatorudia kosa hilo
3. Ukimkosea muombe samahan hata kwa kuigiza, atafurah sana.
4. Akikujibu vibaya usimchukulie serious coz hua hawamaanish zaid ya kujihami
Kwa leo inatosha, tukutane wakati mwingine.
Ni kweliMwanaume akipenda ni dhaifu bt mwanamke ni dhaifu zaidi.
Pasua kichwa wapo jinsia zoteHujawahi kukutana na visirani bin pasua kichwa wewe. Kwanza hivyo ulivyoandika ni vya watoto wa sekondary
Negative mind kwenye kila kitu ndo ugonjwa wetu waafricaSasa we rogwa kumfanyia haya yote alafu ukute kapewa dawa za kienyeji na mganga wake fake uone atavyofurahia kuwa kakuweza na kitakachofuata ni kukupiga matukio
Hahahahh.Unaanzaje kujua viumbe visivyojijua vyenyewe.
Mtu ananyoa nyusi zote halafu anachora nyingine na wanja. Wao wenyewe hawajui wanataka nini.
Hakuna hata alipotaja hela. Uongoo kabisa.Kwa niaba ya wanawake nasemaaa hizi ni uongoooooo
LimbwataSalaam,
Mwanamke akikupenda atakupa cheo cha baba ktk maisha yake, kwako atatarajia upendo na malezi toka kwako.
Kama mwanaume, ni wajibu wako kumfanyia yafuatayo:
1. Mdekeze kadri uwezavyo coz huenjoy sana kudekezwa na mtu ampendae
2. Akikosea usimfokee, muelekeze kistaarab hatorudia kosa hilo
3. Ukimkosea muombe samahan hata kwa kuigiza, atafurah sana.
4. Akikujibu vibaya usimchukulie serious coz hua hawamaanish zaid ya kujihami
Kwa leo inatosha, tukutane wakati mwingine.
Unaweza kua upo sahih mkuuWewe kweli haujatujua.
Kitu ya msingi kabisa.....Hakuna hata alipotaja hela. Uongoo kabisa.
Wewe kream maisha utafurahiTofautisha mwanamke na mama yako mzaz ni vitu viwili tofauti.........
Kila mtu huya-experience maisha kwa namna yake, hivo hatuwez fanana mkuu.Wanawake wanatumia wanaume kujikinga na shida za dunia akijiweza hakuna rangi utaacha ona...
Ni upumbavu sana kuweka jambo kuu ni mwanamke maishani
Mwanamke hata umrundikie pesa, usipojali hisia zake atakuona takataka tu.Hakuna hata alipotaja hela. Uongoo kabisa.