Ukiwajua wanawake, ni watu poa sana

Ukiwajua wanawake, ni watu poa sana

tom-holland.gif
 
Salaam,

Mwanamke akikupenda atakupa cheo cha baba ktk maisha yake, kwako atatarajia upendo na malezi toka kwako.

Kama mwanaume, ni wajibu wako kumfanyia yafuatayo:

1. Mdekeze kadri uwezavyo coz huenjoy sana kudekezwa na mtu ampendae

2. Akikosea usimfokee, muelekeze kistaarab hatorudia kosa hilo

3. Ukimkosea muombe samahan hata kwa kuigiza, atafurah sana.

4. Akikujibu vibaya usimchukulie serious coz hua hawamaanish zaid ya kujihami

Kwa leo inatosha, tukutane wakati mwingine.
Labda shetani ndio anaweza kusema kuwa anamjua mwanamke vizuri maana walishawahi kufanya kikao kazi/tendaji lakini si binadamu mwingine yoyote ikiwemo mwanamke mwenyewe. Rafiki yangu X afanya kazi mgodini kajaliwa kipato kikubwa na ni mstaarabu sana katulia lakini mke kaenda kutembea na MC X maarufu. Bila vikao virefu na kulialia ungesikia MC maarufu kala Chuma.
 
Salaam,

Mwanamke akikupenda atakupa cheo cha baba ktk maisha yake, kwako atatarajia upendo na malezi toka kwako.

Kama mwanaume, ni wajibu wako kumfanyia yafuatayo:

1. Mdekeze kadri uwezavyo coz huenjoy sana kudekezwa na mtu ampendae

2. Akikosea usimfokee, muelekeze kistaarab hatorudia kosa hilo

3. Ukimkosea muombe samahan hata kwa kuigiza, atafurah sana.

4. Akikujibu vibaya usimchukulie serious coz hua hawamaanish zaid ya kujihami

Kwa leo inatosha, tukutane wakati mwingine.
Sasa we rogwa kumfanyia haya yote alafu ukute kapewa dawa za kienyeji na mganga wake fake uone atavyofurahia kuwa kakuweza na kitakachofuata ni kukupiga matukio
 
Salaam,

Mwanamke akikupenda atakupa cheo cha baba ktk maisha yake, kwako atatarajia upendo na malezi toka kwako.

Kama mwanaume, ni wajibu wako kumfanyia yafuatayo:

1. Mdekeze kadri uwezavyo coz huenjoy sana kudekezwa na mtu ampendae

2. Akikosea usimfokee, muelekeze kistaarab hatorudia kosa hilo

3. Ukimkosea muombe samahan hata kwa kuigiza, atafurah sana.

4. Akikujibu vibaya usimchukulie serious coz hua hawamaanish zaid ya kujihami

Kwa leo inatosha, tukutane wakati mwingine.
Hujawahi kukutana na visirani bin pasua kichwa wewe. Kwanza hivyo ulivyoandika ni vya watoto wa sekondary
 
Wanawake wanatumia wanaume kujikinga na shida za dunia akijiweza hakuna rangi utaacha ona...

Ni upumbavu sana kuweka jambo kuu ni mwanamke maishani
 
Salaam,

Mwanamke akikupenda atakupa cheo cha baba ktk maisha yake, kwako atatarajia upendo na malezi toka kwako.

Kama mwanaume, ni wajibu wako kumfanyia yafuatayo:

1. Mdekeze kadri uwezavyo coz huenjoy sana kudekezwa na mtu ampendae

2. Akikosea usimfokee, muelekeze kistaarab hatorudia kosa hilo

3. Ukimkosea muombe samahan hata kwa kuigiza, atafurah sana.

4. Akikujibu vibaya usimchukulie serious coz hua hawamaanish zaid ya kujihami

Kwa leo inatosha, tukutane wakati mwingine.
Limbwata
 
Wanawake wanatumia wanaume kujikinga na shida za dunia akijiweza hakuna rangi utaacha ona...

Ni upumbavu sana kuweka jambo kuu ni mwanamke maishani
Kila mtu huya-experience maisha kwa namna yake, hivo hatuwez fanana mkuu.
 
Back
Top Bottom