Ukiwasaidi hawa watu, ipo siku matunda utayaona

Ukiwasaidi hawa watu, ipo siku matunda utayaona

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Chochote unachokifanya huwa kina matokeo; matokeo yanaweza kuwa mazuri au mabaya. Itategemea na namna ulivyokipangilia. Pia kuna kitu nimejifunza, ukiwatendea watu wema ipo siku ule wema wako ulioutenda utakulipa.

Hasa, ukiwasaidia hawa watu:-
  • Watoto wasiokuwa na wazazi na wakapoteza tumaini la kuishi Labda walifiwa na wazazi au walitelekezwa; ukiwekeza rasilimali zako kwa hawa na wakafanikiwa, maisha yako yatakuwa mazuri na yenye baraka. Pale utakapokutana na changamoto, hawa watakuinua.

  • Wale wasiokuwa na makazi, wanalala vichakani au mitaroni .
    Pia kama utafanikiwa kuwainua na kuwabadilisha, na baadaye wakafanikiwa; utakuwa umeweka hazina ambayo ipo siku zitakurudia kwa kile ulichokiwekeza.

  • Kuwasaidia wale wenye umasikini uliotukuka, kwa kuwaendeleza watoto wao kwa elimu au vipaji walivyonavyo.
    Hawa watoto wakifanikiwa huwa wanarudi kushukuru, itategemea watakuwa kwenye nafasi ipi.
Tujadili wakuu...
 
Chochote unachokifanya huwa kina matokeo; matokeo yanaweza kuwa mazuri au mabaya. Itategemea na namna ulivyokipangilia. Pia kuna kitu nimejifunza, ukiwatendea watu wema ipo siku ule wema wako ulioutenda utakulipa.

Hasa, ukiwasaidia hawa watu:-
  • Watoto wasiokuwa na wazazi na wakapoteza tumaini la kuishi Labda walifiwa na wazazi au walitelekezwa; ukiwekeza rasilimali zako kwa hawa na wakafanikiwa, maisha yako yatakuwa mazuri na yenye baraka. Pale utakapokutana na changamoto, hawa watakuinua.

  • Wale wasiokuwa na makazi, wanalala vichakani au mitaroni .
    Pia kama utafanikiwa kuwainua na kuwabadilisha, na baadaye wakafanikiwa; utakuwa umeweka hazina ambayo ipo siku zitakurudia kwa kile ulichokiwekeza.

  • Kuwasaidia wale wenye umasikini uliotukuka, kwa kuwaendeleza watoto wao kwa elimu au vipaji walivyonavyo.
    Hawa watoto wakifanikiwa huwa wanarudi kushukuru, itategemea watakuwa kwenye nafasi ipi.
Tujadili wakuu...
Wengine Wana maagano ukifanya hivo utabeba mikosi yao
 
Nenda Kwa Umakini sana Kusaidia Saidia Watu. Dunia Tambala Bovu uwe unajua Unachofanya

1. Si kila Utakaye msaidia ni Binadamu wengine Unawasaidia Ila Ndio Inakuwa Mwanzo wako wa Kuharibikiwa

2. Kuna Watu wamefanywa Kuwa Hivyo Barabarani kwa Kazi Maalumu. Ukijifanya Msaidiaji Msaidiaji Ndio Umeisha

3. Si kila Pesa Uliyonayo unaigawa Tu kama Msaada kisa Una Huruma. Kuna Pesa Zingine ukipata. Inataka Ujipendezeshe Wewe mwenyewe tu kwanza Kabla Ya Mtu mwingine. Sasa Ukichukua pesa kama Hiyo Then ukaipeleka Kutoa Msaada unaharibikiwa

PESA ZINA MASHARTI YAKE MKUU
 
Nenda Kwa Umakini sana Kusaidia Saidia Watu. Dunia Tambala Bovu uwe unajua Unachofanya

1. Si kila Utakaye msaidia ni Binadamu wengine Unawasaidia Ila Ndio Inakuwa Mwanzo wako wa Kuharibikiwa

2. Kuna Watu wamefanywa Kuwa Hivyo Barabarani kwa Kazi Maalumu. Ukijifanya Msaidiaji Msaidiaji Ndio Umeisha

3. Si kila Pesa Uliyonayo unaigawa Tu kama Msaada kisa Una Huruma. Kuna Pesa Zingine ukipata. Inataka Ujipendezeshe Wewe mwenyewe tu kwanza Kabla Ya Mtu mwingine. Sasa Ukichukua pesa kama Hiyo Then ukaipeleka Kutoa Msaada unaharibikiwa

PESA ZINA MASHARTI YAKE MKUU
Acha uongo, roho mbaya na ufala we dada.
 
Wengine Wana maagano ukifanya hivo utabeba mikosi yao
Kila sadaka utoayo inatakiwa uiombee kabla ya kutoa. Iwe ya pesa au vitu. Unakamata roho zote chafu mpaka za chuma ulete na kuomba ikamfanikishe unayempa na kuleta baraka na mafanikio kwa mambo yako huku ukiyataja ikiwemo hata baraka zinazohusu watoto au familia yako. Vinginevyo tukiwa na mtazamo huu kwa wingi yatima wasiojiweza, maskini waliyokithiri na wajane/wagani wenye uhitaji (wako wengine Wana uwezo mkubwa hawahitaji msaada) hawatakuwa na matumaini ya kuishi tena. Mimi nimefanikiwa mno kupitia UTOAJI kwa kadri nilivyojaliwa.
 
Nenda Kwa Umakini sana Kusaidia Saidia Watu. Dunia Tambala Bovu uwe unajua Unachofanya

1. Si kila Utakaye msaidia ni Binadamu wengine Unawasaidia Ila Ndio Inakuwa Mwanzo wako wa Kuharibikiwa

2. Kuna Watu wamefanywa Kuwa Hivyo Barabarani kwa Kazi Maalumu. Ukijifanya Msaidiaji Msaidiaji Ndio Umeisha

3. Si kila Pesa Uliyonayo unaigawa Tu kama Msaada kisa Una Huruma. Kuna Pesa Zingine ukipata. Inataka Ujipendezeshe Wewe mwenyewe tu kwanza Kabla Ya Mtu mwingine. Sasa Ukichukua pesa kama Hiyo Then ukaipeleka Kutoa Msaada unaharibikiwa

PESA ZINA MASHARTI YAKE MKUU
Nakubalians na wewe. Katika UTOAJI wangu kuna ambao ukweli siwapi. Ni lazima nipembue Sana ninayemsaidia. Mfano wale ombaomba wa barabarani kamwe hata senti siiwapi. Hivyo unachotakiwa ni kufanya utaratibu wa kuainisha utakaowasaidia kulingana na uwezo wako. Wengine ni Chuma Ulete 100%
 
Nenda Kwa Umakini sana Kusaidia Saidia Watu. Dunia Tambala Bovu uwe unajua Unachofanya

1. Si kila Utakaye msaidia ni Binadamu wengine Unawasaidia Ila Ndio Inakuwa Mwanzo wako wa Kuharibikiwa

2. Kuna Watu wamefanywa Kuwa Hivyo Barabarani kwa Kazi Maalumu. Ukijifanya Msaidiaji Msaidiaji Ndio Umeisha

3. Si kila Pesa Uliyonayo unaigawa Tu kama Msaada kisa Una Huruma. Kuna Pesa Zingine ukipata. Inataka Ujipendezeshe Wewe mwenyewe tu kwanza Kabla Ya Mtu mwingine. Sasa Ukichukua pesa kama Hiyo Then ukaipeleka Kutoa Msaada unaharibikiwa

PESA ZINA MASHARTI YAKE MKUU
Namba 2 mkuu, sijaipata vizuri
 
Kila sadaka utoayo inatakiwa uiombee kabla ya kutoa. Iwe ya pesa au vitu. Unakamata roho zote chafu mpaka za chuma ulete na kuomba ikamfanikishe unayempa na kuleta baraka na mafanikio kwa mambo yako huku ukiyataja ikiwemo hata baraka zinazohusu watoto au familia yako. Vinginevyo tukiwa na mtazamo huu kwa wingi yatima wasiojiweza, maskini waliyokithiri na wajane/wagani wenye uhitaji (wako wengine Wana uwezo mkubwa hawahitaji msaada) hawatakuwa na matumaini ya kuishi tena. Mimi nimefanikiwa mno kupitia UTOAJI kwa kadri nilivyojaliwa.
Kuna la kujifunza hapa mkuu
 
Back
Top Bottom