Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Vitatu vya kistaarabu....
Waliobuni pakti ya kondomu waliset standards, TATU.[emoji39]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vitatu vya kistaarabu....
Cha Kwanza sikojoi Hadi nihakikishe yeye amekojoa mara 4au 5..mwanzo alikuwa anasema hajawahi kukutana na mwanaume km Mimi ambae bao la kwanza naenda zaidi ya dakika 30..Hao ni abnormal mkuu,cha kwanza kwenda mpaka dk.20/30/40
Wewe umewahi?
NakaziaMoja bora usiniguse kabisa
Ndy maana mnagongewa..mapenzi ni kulidhishana mkuuWanawake watanisamehe kwa kweli habari ya kunitesa mpaka eti ufike kileleni siiwezi mimi nikishakumwagilia kufungua dimba naridhika.Ila kiukweli wengi tunadanganyana mtu anakuambia anapiga 5 hiki kitu hakipo
Wingi wa mabao unahusiana vipi na ubora wa bao? Kwa hiyo wewe katika maisha yako ni bora quantity kuliko quality? Maana ubunifu hausiani na wingi wa mabao hata kwa bahati mbayaTatizo la wanaume wengi kutokuwa wabunifu,sawa sawa na mtoa mada,eti wanaume wapige kimoko[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Wasituchafue tuNakazia
Ni kweli, inatakiwa uguswe ugusike, ukunwe ukunike, uvurugwe uvurugike huko kunako, hata baada ya kumaliza mtanange ukikaa unakumbuka namna umeshughulikiwa unabaki unatabasamu kwa kumbukumbu ya namna umechapana miti. Ujue nyie ke mnaweza kukojoa zaidi ya mara nane mpaka tisa, kumi hadi kumi na moja kumi na mbili ndani ya bao zangu mbili au tatu mimi me.Wasituchafue tu
Ubunifu uendane na stamina ndo mambo yanakuwa buru buruWingi wa mabao unahusiana vipi na ubora wa bao? Kwa hiyo wewe katika maisha yako ni bora quantity kuliko quality? Maana ubunifu hausiani na wingi wa mabao hata kwa bahati mbaya
Nusu saa cha kwanza??? Au unapigia kingine bafuni kabla ya mtanange?Cha Kwanza sikojoi Hadi nihakikishe yeye amekojoa mara 4au 5..mwanzo alikuwa anasema hajawahi kukutana na mwanaume km Mimi ambae bao la kwanza naenda zaidi ya dakika 30..
Siri ya kuchelewa ni kufanya mazoezi asubuhi na jioni kila siku
[emoji23][emoji23]Bibi aliniasa hiviView attachment 1888872
Shemela kwenye ubora wako..!!Kama unaona usumbufu si ukojolee mkono, lazma ukojolee mbususu?
Bao moja halikubaliki
Bao moja sawa na kutoa chupa moja ya lita moja ya damu.Ukiachilia mbali mwanamke kutakiwa kuingiliwa kingono siku za mimba!
Wanaume tumeumbwa kwa mfumo uleule wa wanyama na ndege!
Kikawaida mwanaume unatakiwa ukisimamisha ndipo utafte wa kumla, na ili uone radha unatakiwa ufanye bao moja tu usepe zako, uzungukee wee halafu ufike tena ukamate upige bao moja uendelee na shughuli zako!
Kiufupi tunatakiwa kufanya kama wafanyavyo mbuzi na kuku ndipo tutafaidi utamu ule wenyewe!
Na ndiyo maana mapenzi ya vichakani, kwenye gari au Yale ya wizi wizi huwa matamu, ni kwasababu ndiyo haswa tunatakiwa kufanya lile tendo!
Hii ya kupiga bao 3,4 au 5 nijitihada zisizonafaida yoyote!
Na hakuna mwanaume yoyote aliyeumbwa kuwa na upungufu wa nguvu za kiume hayupo kwa sababu kinachotakiwa ni kimoja tu, hayo mengine ya nyongeza hutegemea sana mwanaume anamajukumu gani kichwani!
Hakuna asiye kuwa na nguvu za kiume Bali kuna mahanithi na machoko!
Upungufu wa nguvu za kiume haupimwi kwa idadi nyingi za bao, ikitokea mtu akapiga bao 10 inamaana wanaopiga tano ndo wahesabike hawajakamilika?
Wingi wa mabao huchangiwa na majukumu kichwani!
ukitaka kunielewa haraka kuwa tumeumbwa kufanya bao moja then tusepe hadi baadae jiulize haya;
Kabla ya kufanya ile sehemu ya siri ya mwanamke huwa na mvuto na huipa akili hamasa, lakini ukishakojoa ukiangalia ule uchi wa mwanamke hutauona na thamani ile ya mwanzo hadi baadae
Wanaume kiuhalisia tumeumbwa kupiga bao moja ndiyo maana hata Hilo bao huwa ni zito na huja mapema na kwa kishindo!
Kinachofanya mwanaume ufosi kuendelea kufanya mabao mengine ni uhaba wa chance ya mda wa kukutana tena kutokana majukumu, lakini wanawake wasingekuwa wasumbufu, tungefanya bao moja na kusepa!
Wale mliowahi kukaa honeymoon mtanielewa! Kwasababu kule mnakuwa hamna majukumu, ukifanya bao moja mnaendelea na story au utalii nyege zikipanda mnafanya then mnaendelea tena kuperuzi au kula misosi nyege zikipanda ndo unafanya.etc
Hivyo ndivyo tunatakiwa kuwa!
Mbali na hapo kufanya mabao mengi ni utofauti wa majukumu tuliyonayo wanaume!
Kadri unavyolazimisha kufanya mabao mengi ndivyo akili ya kuwaza utajili inapungua au kupotea! Fanya bao moja kubalace akili,
Kwasababu akili inavyofanya kazi ni kama taa za barabarani inaruhusu huku na kublock huku!
Ukikomaa sana na uchi ni sawa na kuishikilia ile switch inayojizima yenyewe mwisho unapigisha shorti ubongo wa kuwaza utajili unabaki kuwaza uchi na hela ya kula tu maisha yako yote!
Hata ukiokota hela ndefu ni mda mchache tu unahonga yote unafilisika!
Fanya bao moja kwa afya ya akili kwasababu ndivyo Mungu katuumba hivyo, na shetani naye hapohapo ndipo alipotega Bomu la umasikini! Ukifosi unakufa kiakili, kimwili au kipesa!
mmh! unaongelea quantity au quality?Bao moja sawa na kutoa chupa moja ya lita moja ya damu.
Hayo mambo yako calculated one game for you're health, Ila ukitaka madikodiko piga hata mia! Lakini ndo hivyo unajiua kiafya, kiuchumi kama nilivyoeleza kwenye mada hayo mambo yako inversely proportion na utajili!.Bao moja sawa na kutoa chupa moja ya lita moja ya damu.