Ukiweka ushabiki pembeni; Wanaume tumeumbwa ili kupiga bao moja tu kama kuku wafanyavyo na kusepa

Ukiweka ushabiki pembeni; Wanaume tumeumbwa ili kupiga bao moja tu kama kuku wafanyavyo na kusepa

Zimelemaza wengi; huwezi kushindana na ulipotoka mkuu; BAO MOJA LINATOSHA, unawaza na pesa!

Wanaosema mabao mengi, waulize mbona wakiendaga kwa wahaya wanatupiaga vingapi?
Mi nkishapata ela uku chini kunanikimbiza hatari na mbaya zaidi hata kama sina ela k nazipata kitu kimenifanya niwe mwadhirika sana wa k.
 
Ahsante mkuu, Soma uzi imeniongezea kitu
Ni siri kubwa sana ya utajili imefichwa hapo! Afya na utajili umefichwa kwenye uchi wa mwanamke! Bao moja limesheheni vitu vingi sana kwenye uhai na utajili wa mhusika
 
Nyie ndio mnatuharibia wanawake kwa ulemavu wenu[emoji23][emoji23], ukiskia mwanamke akisema kimoja hakimtoshi ni kwa wale dk2 adi 10 washakojoa lkn kuendelea hawezi tena adi wapumzike.
Mkuu mimi nikimaliza cha kwanza huwa inanichukua muda sana kama 30 to 1hr kurudi ulingoni labda mwanamke awe mjanja sana wa kunirudisha mchezoni na nikirudi mpaka ataomba gemu liahirishwe kwa muda maana ninachikua muda mrefu mno kufika,na kwa kuwa najijua nina udhaifu huo basi huwa nahakikisha kimoja kinamaliza kila kitu yaani kuna wakati namuuliza kabisa kama ameridhika na mimi ndiyo namaliza.
Yaani nikimaliza chini ya dk 20 huwa najiona mnyonge sana,na hiyo hutokea kwa mpenzi mpya,mjuvi wa mambo au niwe nimepania sana vinginevyo ni dk 50+ mzee uhakika kanisa.
 
Kusema kweli kukojoa ni jambo la nadra sana kwa mwanamke, wengi hawaridhishwi. Kuna ambao wako ndoani na hawajakojozwaga

Kuna dada nilikutana nae ana mtoto kabisa, Anasema kwenye maisha habari ya kukojoa anaisikia tu
Wanawake wenyewe wengi wanadhani kukojoa ni kusquirt tu..kitu ambacho si kweli..sio kila mwanamke atakayefika kileleni ata squirt kama mwanamke wa kinyarwanda
 
Ukiachilia mbali mwanamke kutakiwa kuingiliwa kingono siku za mimba!

Wanaume tumeumbwa kwa mfumo uleule wa wanyama na ndege!

Kikawaida mwanaume unatakiwa ukisimamisha ndipo utafte wa kumla, na ili uone radha unatakiwa ufanye bao moja tu usepe zako, uzungukee wee halafu ufike tena ukamate upige bao moja uendelee na shughuli zako!

Kiufupi tunatakiwa kufanya kama wafanyavyo mbuzi na kuku ndipo tutafaidi utamu ule wenyewe!

Na ndiyo maana mapenzi ya vichakani, kwenye gari au Yale ya wizi wizi huwa matamu, ni kwasababu ndiyo haswa tunatakiwa kufanya lile tendo!

Hii ya kupiga bao 3,4 au 5 nijitihada zisizonafaida yoyote!

Na hakuna mwanaume yoyote aliyeumbwa kuwa na upungufu wa nguvu za kiume hayupo kwa sababu kinachotakiwa ni kimoja tu, hayo mengine ya nyongeza hutegemea sana mwanaume anamajukumu gani kichwani!

Hakuna asiye kuwa na nguvu za kiume Bali kuna mahanithi na machoko!

Upungufu wa nguvu za kiume haupimwi kwa idadi nyingi za bao, ikitokea mtu akapiga bao 10 inamaana wanaopiga tano ndo wahesabike hawajakamilika?

Wingi wa mabao huchangiwa na majukumu kichwani!

ukitaka kunielewa haraka kuwa tumeumbwa kufanya bao moja then tusepe hadi baadae jiulize haya;
Kabla ya kufanya ile sehemu ya siri ya mwanamke huwa na mvuto na huipa akili hamasa, lakini ukishakojoa ukiangalia ule uchi wa mwanamke hutauona na thamani ile ya mwanzo hadi baadae

Wanaume kiuhalisia tumeumbwa kupiga bao moja ndiyo maana hata Hilo bao huwa ni zito na huja mapema na kwa kishindo!

Kinachofanya mwanaume ufosi kuendelea kufanya mabao mengine ni uhaba wa chance ya mda wa kukutana tena kutokana majukumu, lakini wanawake wasingekuwa wasumbufu, tungefanya bao moja na kusepa!

Wale mliowahi kukaa honeymoon mtanielewa! Kwasababu kule mnakuwa hamna majukumu, ukifanya bao moja mnaendelea na story au utalii nyege zikipanda mnafanya then mnaendelea tena kuperuzi au kula misosi nyege zikipanda ndo unafanya.etc

Hivyo ndivyo tunatakiwa kuwa!

Mbali na hapo kufanya mabao mengi ni utofauti wa majukumu tuliyonayo wanaume!

Kadri unavyolazimisha kufanya mabao mengi ndivyo akili ya kuwaza utajili inapungua au kupotea! Fanya bao moja kubalace akili,

Kwasababu akili inavyofanya kazi ni kama taa za barabarani inaruhusu huku na kublock huku!

Ukikomaa sana na uchi ni sawa na kuishikilia ile switch inayojizima yenyewe mwisho unapigisha shorti ubongo wa kuwaza utajili unabaki kuwaza uchi na hela ya kula tu maisha yako yote!

Hata ukiokota hela ndefu ni mda mchache tu unahonga yote unafilisika!

Fanya bao moja kwa afya ya akili kwasababu ndivyo Mungu katuumba hivyo, na shetani naye hapohapo ndipo alipotega Bomu la umasikini! Ukifosi unakufa kiakili, kimwili au kipesa!
Bao la kwanza hupati ukimwi

Bao la kwanza ndio la mimba

Wengine waendelee
 
Mkuu mimi nikimaliza cha kwanza huwa inanichukua muda sana kama 30 to 1hr kurudi ulingoni labda mwanamke awe mjanja sana wa kunirudisha mchezoni na nikirudi mpaka ataomba gemu liahirishwe kwa muda maana ninachikua muda mrefu mno kufika,na kwa kuwa najijua nina udhaifu huo basi huwa nahakikisha kimoja kinamaliza kila kitu yaani kuna wakati namuuliza kabisa kama ameridhika na mimi ndiyo namaliza.
Yaani nikimaliza chini ya dk 20 huwa najiona mnyonge sana,na hiyo hutokea kwa mpenzi mpya,mjuvi wa mambo au niwe nimepania sana vinginevyo ni dk 50+ mzee uhakika kanisa.
Unatumia udhaifu wako vizuri lkn ktk mazingira ndio nkasema wapo walioumbwa hivyo, lkn Kuna wanawake wengine wanapenda round ya 2 kuliko ya kwanza bila kujali ya kwanza imechukua mda gani na kakojoa mara ngapi, ujue wanawake hua wanaanza kutupigia hesabu baada ya tendo sio kabla ya tendo, baada ya round ya kwanza ndio hujisemea hapa mwanaume yupo hapo anajiandaa kisaikolojia kuliwa hasa so ukichukua mda mrefu sana au ukimalizia round ya kwanza bila kuendelea unamkwaza,
Pia kuuliza kama karidhika au la wengi wao wanasema kuturidhisha tu ili tusione kama wanapenda sana show lkn haitakiwi tuulize kama unawajulia unajua hapa tayari anakusubiri wewe umalize mwingine anasema mwenyewe basi imetosha.
 
Wanawake wenyewe wengi wanadhani kukojoa ni kusquirt tu..kitu ambacho si kweli..sio kila mwanamke atakayefika kileleni ata squirt kama mwanamke wa kinyarwanda
Kusquirt ni ziada tu kwao.
 
Ukiachilia mbali mwanamke kutakiwa kuingiliwa kingono siku za mimba!

Wanaume tumeumbwa kwa mfumo uleule wa wanyama na ndege!

Kikawaida mwanaume unatakiwa ukisimamisha ndipo utafte wa kumla, na ili uone radha unatakiwa ufanye bao moja tu usepe zako, uzungukee wee halafu ufike tena ukamate upige bao moja uendelee na shughuli zako!

Kiufupi tunatakiwa kufanya kama wafanyavyo mbuzi na kuku ndipo tutafaidi utamu ule wenyewe!

Na ndiyo maana mapenzi ya vichakani, kwenye gari au Yale ya wizi wizi huwa matamu, ni kwasababu ndiyo haswa tunatakiwa kufanya lile tendo!

Hii ya kupiga bao 3,4 au 5 nijitihada zisizonafaida yoyote!

Na hakuna mwanaume yoyote aliyeumbwa kuwa na upungufu wa nguvu za kiume hayupo kwa sababu kinachotakiwa ni kimoja tu, hayo mengine ya nyongeza hutegemea sana mwanaume anamajukumu gani kichwani!

Hakuna asiye kuwa na nguvu za kiume Bali kuna mahanithi na machoko!

Upungufu wa nguvu za kiume haupimwi kwa idadi nyingi za bao, ikitokea mtu akapiga bao 10 inamaana wanaopiga tano ndo wahesabike hawajakamilika?

Wingi wa mabao huchangiwa na majukumu kichwani!

ukitaka kunielewa haraka kuwa tumeumbwa kufanya bao moja then tusepe hadi baadae jiulize haya;
Kabla ya kufanya ile sehemu ya siri ya mwanamke huwa na mvuto na huipa akili hamasa, lakini ukishakojoa ukiangalia ule uchi wa mwanamke hutauona na thamani ile ya mwanzo hadi baadae

Wanaume kiuhalisia tumeumbwa kupiga bao moja ndiyo maana hata Hilo bao huwa ni zito na huja mapema na kwa kishindo!

Kinachofanya mwanaume ufosi kuendelea kufanya mabao mengine ni uhaba wa chance ya mda wa kukutana tena kutokana majukumu, lakini wanawake wasingekuwa wasumbufu, tungefanya bao moja na kusepa!

Wale mliowahi kukaa honeymoon mtanielewa! Kwasababu kule mnakuwa hamna majukumu, ukifanya bao moja mnaendelea na story au utalii nyege zikipanda mnafanya then mnaendelea tena kuperuzi au kula misosi nyege zikipanda ndo unafanya.etc

Hivyo ndivyo tunatakiwa kuwa!

Mbali na hapo kufanya mabao mengi ni utofauti wa majukumu tuliyonayo wanaume!

Kadri unavyolazimisha kufanya mabao mengi ndivyo akili ya kuwaza utajili inapungua au kupotea! Fanya bao moja kubalace akili,

Kwasababu akili inavyofanya kazi ni kama taa za barabarani inaruhusu huku na kublock huku!

Ukikomaa sana na uchi ni sawa na kuishikilia ile switch inayojizima yenyewe mwisho unapigisha shorti ubongo wa kuwaza utajili unabaki kuwaza uchi na hela ya kula tu maisha yako yote!

Hata ukiokota hela ndefu ni mda mchache tu unahonga yote unafilisika!

Fanya bao moja kwa afya ya akili kwasababu ndivyo Mungu katuumba hivyo, na shetani naye hapohapo ndipo alipotega Bomu la umasikini! Ukifosi unakufa kiakili, kimwili au kipesa!

😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom