Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Unamaanisha asilimia 12 ni pesa yako ya mfukoni na kurudisha gharama za uzalishaji zitakuwa na asilimia yake ?12% ni hela yako ya mfukoni maana yake hapo ni zaidi ya 12% iyo ziada ndio niliweka kwenye hesabu za kulipia wages, kodi na admin coast.