Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 4,017
- 2,580
- Thread starter
-
- #21
Sasa wewe kama siyo uroho na ujuha kwa nini ufuatilie miezi sita yote??? Kwani wengine unakuwa huwaoni??? Una muda sana wa kupoteza wewe!!
sasa mnataka uombe leo upewe leo
Angalau wiki moja au mbili, maana za leo leo tunajua mahali pa kuzipata.
mmmmnh......
naanza kuamini kuwa wale wanaume wasiogonga gonga hovyo ndio wanaodumu na ndoa zao sababu hakuna wa kucompare naye,hii ya kutembea na mwajuma kesho asha ndio inapelekea kufanya comparison.....eti ukikuta sicho ulichokitarajia.....mbunye ni mbunye ndugu!
MCHUNGAJI no comment!
<br />Yeye ameongelea wanaume kwahiyo siwezi kumbadilishia lengo lake!!Ukweli ni kwamba huwezi ukamfuatilia mtu miezi kadhaa kwa lengo la kujaribu kujenga mahusiano nae alafu mapungufu ya kitandani ndo yakakukimbiza wakati yanafundishika.
Nini tena mama mchungaji. nisaidie kutoa neno.
sasa mnataka uombe leo upewe leo
ahahahahaa zat z jus teqnk bro i got yaaahSisi wanaume sijui tukoje, sijui haturidhiki
Ukitongoza na kupewa ndani ya muda mfupi - mdada anaitwa kicheche
Ukizungushwa - anaringa ringa kumbe hamna kitu
ukitoshwa - binti anajidai matawi
sasa hawa mabinti watufanyie nini ili turidhike.
i think we should stop talking these non sense about our soulmates.
subher waungwana ! hapa nlipohamia ninakumbana na mtihani kwanza mkali , mwenye nyumba nilijuana naye kupitia broza angu ndu nkapata hili geto ,sasa ishu mimi nalikizo kama mwez na mgeni mitaa hii hivo nashnda home sanaa ,asee mama house jamani ana mugongo ajabu afu anashinda na kanga 1 na hakomi kujipitisha ,mara ajifanye anafua basi ndo mikao ya ajabu , natamani kumchana naona noma ,ili na uzalendo unanishinda si muda i wish nihame mazee !
mmmmnh......
naanza kuamini kuwa wale wanaume wasiogonga gonga hovyo ndio wanaodumu na ndoa zao sababu hakuna wa kucompare naye,hii ya kutembea na mwajuma kesho asha ndio inapelekea kufanya comparison.....eti ukikuta sicho ulichokitarajia.....mbunye ni mbunye ndugu!
sasa mnataka uombe leo upewe leo
Kama hujaoa na unayemwomba hutaki kumwoa usimg'ang'anie na kumfuata unamuomba yeye tu kila siku maana atakuumiza kisaikolojia. Kimsingi hii ni kama business, mteja huyu akigoma ukikaa naye muda mrefu atakupotezea muda na nguvu zako pia. Jaribu kufikiri kama ingetokea mmachinga akikung'ang'ania siku nzima wewe akuuzie suruali hata ikija kutokea umenunua kwani unanunua nguo zake zote?, utanunua suruali ama shati moja basi, atakuwa amepoteza muda mrefu kwa faida ndogo kupita kiasi. Kwahiyo ukimwomba mara mbili tatu hataki songa mbele uokoe muda wako na nguvu kidogo ulizonazo, vinginevyo una muda na nguvu za kuchezea. Unaomba miezi sita kitu ya kutumia nusu saa au lisaa? Unaomba miezi sita wakati ukipewa unayepoteza nguvu ni wewe? Unaomba miezi sita wakati hujui unachokiomba kikoje? Wakati wote huo wa miezi sita unapoomba umasikini unaongezeka maana unatumia hela kuomba na hufanyi kazi vizuri maana akili imeshikwa, ukija kupewa ndio unatakiwa ugharamie zaidi??????? Huo ni upunguani... nikupe mbinu rahisi. 1 - Oa, 2 - omba muda mfupi, hujapewa songa mbele atayekupa huenda hata akaipa akili yako nguvu ya kufikiri kwa haraka zaidi.