Ukizaa watoto kuanzia watano lazima atatokea mmoja pasua kichwa

Ni hatari sana .
Ila hata Mimi nahisi ukishakuwa last born unalaamiwa kwa vitu vingi na Mungu kabla ya kufika duniani .

Mimi nahisi ulast born ndiyo unakwamisha mipango yangu mimgi na harakati zangu
Sio laana ni swala la kisaikolojia,ujue makabila mengi last born wa kiume ndio mrithi wa mji wa baba,so unajikuta tayari ni tajiri ukiwa mdogo,unasubiri mzee afe ukabidhiwe nyumba ya urithi,mzee mwenyewe nae akigoma kufa lazima uvurugwe
 
Sio laana ni swala la kisaikolojia,ujue makabila mengi last born wa kiume ndio mrithi wa mji wa baba,so unajikuta tayari ni tajiri ukiwa mdogo,unasubiri mzee afe ukabidhiwe nyumba ya urithi,mzee mwenyewe nae akigoma kufa lazima uvurugwe
Shida mzee keshakufa ila sasa Mali zake Kama za majini zinanipelekesha kiasi nahisi zinanicontrol sio kuwa nazicontroll
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…