Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukuzàa watoto kuanzia watano wewe mzazi mwenyewe ndiye pasua kichwa.Huu ni utafiti wangu Usio rasmi
Anaweza hata akiwa mmoja na huyo huyo ndio akawa pasua kichwaHuu ni utafiti wangu Usio rasmi
Inategemea na malezi ya wazazi kama ni wale "Junior no" sawa!!Akiwa mmoja Lazima awe na deko hapo ndio pasua kichwa sasa katika engo nyinginr
Ni hatari sana .Huwa yanadeka sana,sisi tuna last born miaka 25 hawezi kujitandikia kitanda
ni kumshirikisha MUNGU tuh hamna namnaHii ni kweli 💯,. Kuna familia watoto wote ni pasua kichwa🥲
Sio laana ni swala la kisaikolojia,ujue makabila mengi last born wa kiume ndio mrithi wa mji wa baba,so unajikuta tayari ni tajiri ukiwa mdogo,unasubiri mzee afe ukabidhiwe nyumba ya urithi,mzee mwenyewe nae akigoma kufa lazima uvurugweNi hatari sana .
Ila hata Mimi nahisi ukishakuwa last born unalaamiwa kwa vitu vingi na Mungu kabla ya kufika duniani .
Mimi nahisi ulast born ndiyo unakwamisha mipango yangu mimgi na harakati zangu
Emu yaorodheshe hapa ukiondoa kanda ya Ziwamakabila mengi last born wa kiume ndio mrithi wa mji wa baba
Shida mzee keshakufa ila sasa Mali zake Kama za majini zinanipelekesha kiasi nahisi zinanicontrol sio kuwa nazicontrollSio laana ni swala la kisaikolojia,ujue makabila mengi last born wa kiume ndio mrithi wa mji wa baba,so unajikuta tayari ni tajiri ukiwa mdogo,unasubiri mzee afe ukabidhiwe nyumba ya urithi,mzee mwenyewe nae akigoma kufa lazima uvurugwe
Kwa kuwa umesema si rasmi sawa.Huu ni utafiti wangu Usio rasmi