Japo kwa wanaume ndivyo tulivyoumbwa hata iweje lazima ukikutana na kitu kikali utaangalia tu.. "This is naturally" sasa kukwepa adhabu za mamsup inabidi kwanza ujijue kuwa kama mwanaume umeubwa kuangalia vizuri, Jenga mazingira ambayo yatamfanya mamsup kuzoea na ukazikwepa adhabu zake kimtindo, cha kwanza make sure unamscan mrembo faster yaani mpaka mnakutana nae ushamaliza shughuli nzima ya scaning huna haja ya kugeuza shingo...kingine msifie huyo mrembo kimtindo pasipo kuonyesha kwamba unamfagilia zaidi japo kimoyomoyo unajua nini unafanya..mfano unaweza kumsifia ukisema aisee wife hebu cheki nyele za huyu dada zimempendeza sana, nadhani hata wewe zinaweza kukupendeza kushinda yeye ..(hii itakupa fulsa kubwa sana ya kumuangalia tena mtakuwa mnamuangalia wote wawili).. ukigundua mamsup hapendi kusifia wanawake wengine ingeuze tu hiyo formula na kumkosoa mrimbwende wako ...mfano, huyo dada hajui hata kumechisha nguo kabisaaa..(ilimradi tu wewe ufanikishe zoezi zima bila tabu kwa mamsup) ....na maisha yataendelea kama kawaida tu..