Na mimi nitamsubiri amwangalie mwanaume yoyote then namzaba kibao cha nguvu zaidi
Ahaa ahaa Sajenti mamsapu lazima atakuwa alikuwa na hasira ile mbaya kwenye gari kama vile ni mabubu lol wanawake!!..Kweli aisee tuliwahi kukorofishana na mamsap pale kwenye duka leather land kisa kuna mdada alikuwa anajaribu kiatu akaniuliza eti kaka hiki kiatu kimenikaa vizuri ile ku-comment tu kuwa kimekupendeza sana na hiyo miguu yako ya chupa ya bia shughuli yote ya shopping iliishia hapo na tukarudi home hakuna kusemeshana kwenye gari.....Ilinishangaza sana!:angry:
Likasu wao huwa hawachelewi kupeleka kesi polisi ukiwagusa lolNa mimi nitamsubiri amwangalie mwanaume yoyote then namzaba kibao cha nguvu zaidi
I just drop my hands in my pockets, napiga mluzi wa wimbo niupendao then bar.
Mwanakijiji hapo ningekuwa mimi, namshitua kwanza mamamsap kiaina, nakumwambia " Hebu cheki huyu mtu, nikumbushe tukifika home nikueleze kitu" huku nikiangalia kiaina. Tukifika home basi namueleza, "unakumbuka yule mwanamke alivyovaa, basi mimi sipendi "
Kama hukufanya hivyo, na ukapigwa basi inabidi uwe mpole subiri ufike home, mwambie mi nilitaka nikueleze kuwa usivae kama huyo mamaaaa!! lakini usijali najua ulinitafsri vbaya.