dem boy
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 6,580
- 15,739
WACHA KUUMIA KWA TETESI TU JE IKITOKEA KWELI ITAKUWAJE!!!#6 HATOCHEZA TIMU YOYOTE BONGO HII ZAIDI YANGA NA KULE ALIPO KWA SASATimu la waganga waganga tu mpaka mashabiki wapiga ramli,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WACHA KUUMIA KWA TETESI TU JE IKITOKEA KWELI ITAKUWAJE!!!#6 HATOCHEZA TIMU YOYOTE BONGO HII ZAIDI YANGA NA KULE ALIPO KWA SASATimu la waganga waganga tu mpaka mashabiki wapiga ramli,
Akiutuma nitagNaomba msimamo
Sawa mkuu...Akiutuma nitag
Msimamo wa point moja jamani..kwanza kuwepo hapo juu na gape ya point moja unakua kama umebanwa uharo muda wowote unashushwa..Naomba msimamo
Soma juu hapo post namba 24..nimeuweka msimamo wanguAkiutuma nitag
Uko nyuma ya wakati sana.Hajamuondoa Mayele bali Mayele mwenyewe ndiye aliyeamua kuondoka. Jasmine hana uwezo wa kumpangia mchezaji acheze wapi bali mchezaji mwenyewe ndiye anayeamua acheze timu ipi. Huyo Jasmine atabakia tu kama msimamizi
Kumbe mlikuwa mmebanwa pia🤣🤣Msimamo wa point moja jamani..kwanza kuwepo hapo juu na gape ya point moja unakua kama umebanwa uharo muda wowote unashushwa..
Tumewaachia mashuzi..hahahaaKumbe mlikuwa mmebanwa pia🤣🤣
Akunyimaye kunde..Tumewaachia mashuzi..hahahaa
Source: TRUST ME BRO / NINA WATU 😁Mbona haujatoa credit au wewe ndiye Samwel Rashid?View attachment 3230503
Kwahiyo hapo mama ndio umejibu kwa hoja?Uko nyuma ya wakati sana.
Vipi na hapo mbuga ya serengeti broo wenye watu.Niwape hii.
Aliyewahi kuvaa Jersey number 6 Yanga anarudi kuivaa tena msimu ujao. ✅💯
Walid na mchumba wa Hamissa wanaondoka✅💯
Winger wa Central African Republic aliye Chamazi kama Azam hawata ongeza dau kubwa naye atakuwa ni CITIZEN✅💯
Source: TRUST ME BRO / NINA WATU 😁
Hujui unachokizungumza tutakesha hapa endeleeni kumsubiria feisal mkuu msimu unakaribia kuisha tutamuona jangwani.Hajamuondoa Mayele bali Mayele mwenyewe ndiye aliyeamua kuondoka. Jasmine hana uwezo wa kumpangia mchezaji acheze wapi bali mchezaji mwenyewe ndiye anayeamua acheze timu ipi. Huyo Jasmine atabakia tu kama msimamizi