Uchaguzi 2020 Ukizunguka hii nchi unaweza kuhisi mgombea Urais ni mmoja tu, CHADEMA mmefeli sana

Uchaguzi 2020 Ukizunguka hii nchi unaweza kuhisi mgombea Urais ni mmoja tu, CHADEMA mmefeli sana

ngebe

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2020
Posts
1,789
Reaction score
5,117
Nimezunguka takribani kanda ya ziwa nzima kiukweli kule unaweza kuhisi mgombea wa kiti cha Urais ni mmoja tu, CCM wamejipanga sana nawapa hongera,

Kila sehemu ni mabango ya Magufuli, kwenye nyumba, kwenye miti kwenye vibao vya taa za barabarani, vitambulisho, kofia magauni nk

CHADEMA ni kama vile haipo sijaona kabisa mabango ya Lissu kwa hili ninaweza kusema CHADEMA uchaguzi wa mwaka huu mumefanya tu ili kukamilisha ratiba lakini maandalizi ni 10%

Kwa hali hii msitegemee ushindi wowote ule hata asilimia 20 hamtafikisha.

Poleni sana
FB_IMG_16000182677969165.jpg
 
Hilo suala nimeliona niko njiani mpaka sasa hivi nakaribia kufika Singida naona ccm tu
 
Ile pesa 25% wanayoitegemea kutoka Ubelgiji wamepanga kuipiga Lissu na Faru John & their company! Hawataki kuitumia kwenye maandalizi ya uchaguzi na kampeni wanajua kushinda ni ndoto hukumsikia Lissu juzi kasema kuishinda CCM siyo rahisi!
 
Kampeni zimekuwa underfunded baada ya mmachame kuchota pesa yote.
 
Ile pesa 25% wanayoitegemea kutoka Ubelgiji wamepanga kuipiga Lissu na Faru John & their company! Hawataki kuitumia kwenye maandalizi ya uchaguzi na kampeni wanajua kushinda ni ndoto hukumsikia Lissu juzi kasema kuishinda CCM siyo rahisi!
hivi umemuandikia mtoto ndio asome au watu wazima?
 
Hivi kumbe mabongo ndio yanapiga kura watanzania walishafanya maamuzi mioyoni mwao
 
Hivi Nini faida ya mabango kama haya kwa mtu anayejulikana nchi nzima ?
Mm pia huwa naona ni upotevu tu rasilimali fedha, hasa katika dunia hii ya leo ambayo taarifa kutoka USA inaweza kumfikia hata mzazi wangu huko kijijini Sigimbi!

Nazani haya mambo yanakua irrelevant katika dunia ya leo

Watu tunahitaji ada za watoto afu unakuta taifa linatumia mamilioni ya fedha kwa vitu visivyo na tija ,hakika inatia hasira sana.
 
Back
Top Bottom