mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Wapo hapa tuuWafuasi wa Lissu mnajidanganya sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo hapa tuuWafuasi wa Lissu mnajidanganya sana
Ukiingia jf unaweza kudhani Lissu ni tishio kubwa kumbe hamna kituWapo hapa tuu
Huu ni ujuha. Kwani wapinzani walipinga kutumia ndege ama kununua ndege kwa pupa? Kabla ya huyu mshamba kuanza kununua madege kwa pupa watu walikuwa hawapandi ndege?
Nimezunguka takribani kanda ya ziwa nzima kiukweli kule unaweza kuhisi mgombea wa kiti cha Urais ni mmoja tu, CCM wamejipanga sana nawapa hongera,
Kila sehemu ni mabango ya Magufuli, kwenye nyumba, kwenye miti kwenye vibao vya taa za barabarani, vitambulisho, kofia magauni nk
CHADEMA ni kama vile haipo sijaona kabisa mabango ya Lissu kwa hili ninaweza kusema CHADEMA uchaguzi wa mwaka huu mumefanya tu ili kukamilisha ratiba lakini maandalizi ni 10%
Kwa hali hii msitegemee ushindi wowote ule hata asilimia 20 hamtafikisha.
Poleni sanaView attachment 1568948
kwa mapokezi anayopata Tundu Lissu huko vijijini, nimegundua amezama ndani kabisa ya mioyo ya Watanzania hata bila kupigiwa debe wala promo.Nimezunguka takribani kanda ya ziwa nzima kiukweli kule unaweza kuhisi mgombea wa kiti cha Urais ni mmoja tu, CCM wamejipanga sana nawapa hongera,
Kila sehemu ni mabango ya Magufuli, kwenye nyumba, kwenye miti kwenye vibao vya taa za barabarani, vitambulisho, kofia magauni nk
CHADEMA ni kama vile haipo sijaona kabisa mabango ya Lissu kwa hili ninaweza kusema CHADEMA uchaguzi wa mwaka huu mumefanya tu ili kukamilisha ratiba lakini maandalizi ni 10%
Kwa hali hii msitegemee ushindi wowote ule hata asilimia 20 hamtafikisha.
Poleni sanaView attachment 1568948