Uchaguzi 2020 Ukizunguka hii nchi unaweza kuhisi mgombea Urais ni mmoja tu, CHADEMA mmefeli sana

Uchaguzi 2020 Ukizunguka hii nchi unaweza kuhisi mgombea Urais ni mmoja tu, CHADEMA mmefeli sana

Nimezunguka takribani kanda ya ziwa nzima kiukweli kule unaweza kuhisi mgombea wa kiti cha Urais ni mmoja tu, CCM wamejipanga sana nawapa hongera,

Kila sehemu ni mabango ya Magufuli, kwenye nyumba, kwenye miti kwenye vibao vya taa za barabarani, vitambulisho, kofia magauni nk

CHADEMA ni kama vile haipo sijaona kabisa mabango ya Lissu kwa hili ninaweza kusema CHADEMA uchaguzi wa mwaka huu mumefanya tu ili kukamilisha ratiba lakini maandalizi ni 10%

Kwa hali hii msitegemee ushindi wowote ule hata asilimia 20 hamtafikisha.

Poleni sanaView attachment 1568948

Upinzani uko rohoni ,, upinzani ni spirit

Upinzani sio kubandika mabango huko hiyo pesa ya mchezo hatuna....kingine tunaogopa chomewa nyumba usiku
 
Nimezunguka takribani kanda ya ziwa nzima kiukweli kule unaweza kuhisi mgombea wa kiti cha Urais ni mmoja tu, CCM wamejipanga sana nawapa hongera,

Kila sehemu ni mabango ya Magufuli, kwenye nyumba, kwenye miti kwenye vibao vya taa za barabarani, vitambulisho, kofia magauni nk

CHADEMA ni kama vile haipo sijaona kabisa mabango ya Lissu kwa hili ninaweza kusema CHADEMA uchaguzi wa mwaka huu mumefanya tu ili kukamilisha ratiba lakini maandalizi ni 10%

Kwa hali hii msitegemee ushindi wowote ule hata asilimia 20 hamtafikisha.

Poleni sanaView attachment 1568948
kwa mapokezi anayopata Tundu Lissu huko vijijini, nimegundua amezama ndani kabisa ya mioyo ya Watanzania hata bila kupigiwa debe wala promo.

Magufuli kachokwa na kuchukiwa na wapiga kura walio wengi hilo lipo wazi.... tegemeo lake kubwa lipo kwa hawa potential candidates 2 wa ICC waitwao Kaijage & Sirro.
 
Back
Top Bottom