Uchaguzi 2020 Ukizunguka hii nchi unaweza kuhisi mgombea Urais ni mmoja tu, CHADEMA mmefeli sana

Uchaguzi 2020 Ukizunguka hii nchi unaweza kuhisi mgombea Urais ni mmoja tu, CHADEMA mmefeli sana

Nimezunguka takribani kanda ya ziwa nzima kiukweli kule unaweza kuhisi mgombea wa kiti cha Urais ni mmoja tu, CCM wamejipanga sana nawapa hongera,

Kila sehemu ni mabango ya Magufuli, kwenye nyumba, kwenye miti kwenye vibao vya taa za barabarani, vitambulisho, kofia magauni nk

CHADEMA ni kama vile haipo sijaona kabisa mabango ya Lissu kwa hili ninaweza kusema CHADEMA uchaguzi wa mwaka huu mumefanya tu ili kukamilisha ratiba lakini maandalizi ni 10%

Kwa hali hii msitegemee ushindi wowote ule hata asilimia 20 hamtafikisha.

Poleni sanaView attachment 1568948
Mgombea wa ccm hajulikani ndio maana anatandaza picha kila kona ili angalau watu wamjue, Lissu anajulikana kote hana haja ya kuchafua kuta za nyumba wakati anajulikana.
 
Nimezunguka takribani kanda ya ziwa nzima kiukweli kule unaweza kuhisi mgombea wa kiti cha Urais ni mmoja tu, CCM wamejipanga sana nawapa hongera,

Kila sehemu ni mabango ya Magufuli, kwenye nyumba, kwenye miti kwenye vibao vya taa za barabarani, vitambulisho, kofia magauni nk

CHADEMA ni kama vile haipo sijaona kabisa mabango ya Lissu kwa hili ninaweza kusema CHADEMA uchaguzi wa mwaka huu mumefanya tu ili kukamilisha ratiba lakini maandalizi ni 10%

Kwa hali hii msitegemee ushindi wowote ule hata asilimia 20 hamtafikisha.

Poleni sanaView attachment 1568948
Mabango ya nini tena.

Ccm tumepiga kazi miaka 5 tukiongelea mabango tunaisha hadhi ya utendaji wetu katika chama
 
Ni vile tu Rais Magufuli,Watanzania wanamhitaji aende kila jimbo la sivyo tungemuambia Rais Magufuli abaki chamwino
Miaka mitano ya kujibrand haitoshi tu?

Kwanini mnamuogopa Lissu sana?

Ngoma mtaicheza mpende msipende.
IMG_20200913_192711.jpeg
 
Wanaweweseka.Hoja na sera zimewaishia imebidi wauze tu sura zawagombea maana hawana chakuongea.
Hivi Nini faida ya mabango kama haya kwa mtu anayejulikana nchi nzima ?
Mm pia huwa naona ni upotevu tu rasilimali fedha, hasa katika dunia hii ya leo ambayo taarifa kutoka USA inaweza kumfikia hata mzazi wangu huko kijijini Sigimbi!

Nazani haya mambo yanakua irrelevant katika dunia ya leo

Watu tunahitaji ada za watoto afu unakuta taifa linatumia mamilioni ya fedha kwa vitu visivyo na tija ,hakika inatia hasira sana.
 
Nimezunguka takribani kanda ya ziwa nzima kiukweli kule unaweza kuhisi mgombea wa kiti cha Urais ni mmoja tu, CCM wamejipanga sana nawapa hongera,

Kila sehemu ni mabango ya Magufuli, kwenye nyumba, kwenye miti kwenye vibao vya taa za barabarani, vitambulisho, kofia magauni nk

CHADEMA ni kama vile haipo sijaona kabisa mabango ya Lissu kwa hili ninaweza kusema CHADEMA uchaguzi wa mwaka huu mumefanya tu ili kukamilisha ratiba lakini maandalizi ni 10%

Kwa hali hii msitegemee ushindi wowote ule hata asilimia 20 hamtafikisha.

Poleni sanaView attachment 1568948
Inakuwaje Chadema hawana Mabango kama ccm lakini wakiwa na mkutano, raia zinamiminika kama maji ?
 
Nimezunguka takribani kanda ya ziwa nzima kiukweli kule unaweza kuhisi mgombea wa kiti cha Urais ni mmoja tu, CCM wamejipanga sana nawapa hongera,

Kila sehemu ni mabango ya Magufuli, kwenye nyumba, kwenye miti kwenye vibao vya taa za barabarani, vitambulisho, kofia magauni nk

CHADEMA ni kama vile haipo sijaona kabisa mabango ya Lissu kwa hili ninaweza kusema CHADEMA uchaguzi wa mwaka huu mumefanya tu ili kukamilisha ratiba lakini maandalizi ni 10%

Kwa hali hii msitegemee ushindi wowote ule hata asilimia 20 hamtafikisha.

Poleni sanaView attachment 1568948
Chema chajiuza dada!
Mabango ya Lissu yako moyoni mwa watanzania!

Ukiwa timamu unaanzaje kumpigia kuru mtu anaejiita kichaa!!?
 
Chema chajiuza dada!
Mabango ya Lissu yako moyoni mwa watanzania!

Ukiwa timamu unaanzaje kumpigia kuru mtu anaejiita kichaa!!?
mimi ni babaako mama yako hakukwambia kua alinipanulia?
 
Hapo ndio utaona maajabu mkuu Lissu kila mtu anamfahamu hahitaji mabango kama jamaa yenu aliekaa madarakani miaka mitano huku bado anajinadi kwenye mabango..
Mnawapa CCM nafasi nzuri sana ya kuonyesha kwamba Lissu hana ushawishi......hata likipigwa bao la mkono mtaani itakua shwari tu
 
We hujui kuna utaratibu mpya wa kulipia kodi hayo mabango tena kwa wapinzani sijui ni ya biashara
 
Nchi nzima imepata homa kali ya lissu,haki, uhuru na maendeleo ya watu,ndio mana mkifanya kampeni mnatembea na tamasha la wanamuziki kwa kuepusha aibu kubwa.
Wafuasi wa Lissu mnajidanganya sana
 
Nimezunguka takribani kanda ya ziwa nzima kiukweli kule unaweza kuhisi mgombea wa kiti cha Urais ni mmoja tu, CCM wamejipanga sana nawapa hongera,

Kila sehemu ni mabango ya Magufuli, kwenye nyumba, kwenye miti kwenye vibao vya taa za barabarani, vitambulisho, kofia magauni nk

CHADEMA ni kama vile haipo sijaona kabisa mabango ya Lissu kwa hili ninaweza kusema CHADEMA uchaguzi wa mwaka huu mumefanya tu ili kukamilisha ratiba lakini maandalizi ni 10%

Kwa hali hii msitegemee ushindi wowote ule hata asilimia 20 hamtafikisha.

Poleni sanaView attachment 1568948
Kanda ya ziwa mbali mkuu, hapo kitunda tuu halmashauri ya wilaya ya ilala hawamjui Tundu
 
Back
Top Bottom