Rudi nyumbani uje uone live.Katengeneze kwanza hayo macho yako naona UPOFU unakunyemelea.
mna huo upepo?Ni vile tu Rais Magufuli,Watanzania wanamhitaji aende kila jimbo la sivyo tungemuambia Rais Magufuli abaki chamwino
hivi umemuandikia mtoto ndio asome au watu wazima?Ile pesa 25% wanayoitegemea kutoka Ubelgiji wamepanga kuipiga Lissu na Faru John & their company! Hawataki kuitumia kwenye maandalizi ya uchaguzi na kampeni wanajua kushinda ni ndoto hukumsikia Lissu juzi kasema kuishinda CCM siyo rahisi!
mna huo upepo?
hivi umemuandikia mtoto ndio asome au watu wazima?