Uko bia ya Ngapi na wapi?

Technian Tanga

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2015
Posts
411
Reaction score
200
Wakuu nipo Bar moja apa sinza kiukweli ina totozi wa kumwaga sana hili chimbo ni sijawahi tia mguu ni leo ndo naanza Sijui ningoke na mwaarabu au africast , Wife leo nimempa likizo Btw Nipo na Serengeti hii ya Tano sasa mdo mdo mlevi mwenzangu uko wapi?
 
Tupe jina a chimbo kwanza tukwambie nikweli lina totoz au blahblah.
 
wakati ukijisifia kubwia bia, kuna wengine hapo wapo hospitali, wengine wamepata ajali, wengine hata kupanua mdomo pombe iingie mdomoni hawawezi wanaumwa, na wengine leo watalewa na hawatafika home kwasababu watapata ajali. ungelijua ungekaa nyumbani na familia yako au ungeenda kanisani ukasali umshukuru Mungu aliyekupa mwaka mpya.
 
Mkuu niko zangu pile Temeke, kuna kajimziki ka watu wa zima hapa naanzisha picha.

Niko na Serengeti ya tatu hapa,ndio kwanza picha linaanza.
 
Hizo shidaa zao na mie wapi na wapi , Mungu namshukuru hapa hapa burudanini btw unakunywa nini ww? Waitress come umsikilize huyu
 
Niko CrossPark Igoma Mwanza,nina Serengeti ya nne nataka nipandishie na Nyagi
 

wakati sisi tukiwaza " kupombeka " na kufanya mengineyo wenzetu walioendelea na ambao 24/7 tunawatembezea " bakuli " la kuomba misaada sasa wanawaza watengeneze chombo gani kingine cha haraka na chenye kasi zaidi cha kwenda mwezini na katika sayari zingine huku wakikaa vikao vya kutujadili sisi " wapombekaji " kama watusaidie kutuongoza na kuwa " civilized " au watuache tu na ujinga pamoja na upumbavu wetu. what a difference! happy new year.
 
Nipo Picnic ila naelekea Club D muda si mrefu.........nipo tot ya 6 teachers............nikifika kule nitabadilisha kinywaji........sijajua nitakunywa nini........
 
Niko Jembe castle ya pili nafunga mwaka kwa kumalizia na bia Namshukuru Mungu kwa kumaliza mwaka huu naanza mwaka na kunywa solf drink Eee mwenyezi Mungu nisaidie na ili pepo la ulevi
 
Nipo Picnic ila naelekea Club D muda si mrefu.........nipo tot ya 6 teachers............nikifika kule nitabadilisha kinywaji........sijajua nitakunywa nini........

Do not remind me Club D, nmepamiss A town aisee
 
Niko hapa nakata kinywaji cha chaguo langu, PINGU!. Nikitoka hapa nipo swafiii!.
 
mkuu natumai hom umepaacha vizuri,isije ikawa unaweka heshima hapo mezani wakati hom pako hovyo,pia natumai kazi inaingiza zaidi ya unachotumia hapo vinginevyo uelewe bata bila kazi ni sawa na kesi bila dhamana na kiongozi asipochakarika jahazi ni lazima lizame.HERI YA MWAKA MPYA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…