Technian Tanga
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 411
- 200
Wakuu nipo Bar moja apa sinza kiukweli ina totozi wa kumwaga sana hili chimbo ni sijawahi tia mguu ni leo ndo naanza Sijui ningoke na mwaarabu au africast , Wife leo nimempa likizo Btw Nipo na Serengeti hii ya Tano sasa mdo mdo mlevi mwenzangu uko wapi?