Uko tayari? Dar es Salaam mpya inakuja. Serikali kutwaa eneo la mita za mraba 233,000. Maeneo ya Sinza, jirani na Mlimani City, Boko, SIMU2000 kuguswa

Kazi nzuri ya Rais Samia hiyo ,lazima aweke alama ambayo inaweza isifikiwe na yeyote baadae.
 
Ayo maeneo serikali inataka kuweka karakana ya mwendokasi pale mbuyuni na mji mpya wa mashimoni, na pale boko basihaya wanaweka stendi kuu ya mwendokasi
Hata namshangaa huyo anaeleza utadhani serikali imesema inaubadilisha makazi ya Dar, wakati lengo ni kujenga vituo vya BRT tu.
 
isije kuwa kina Rizi one maana jamaa ana kiwanja kila kona
 
MWENDOKASI - DART KUTWAA MAENEO YA KAWE MBUYUNI KWA AJILI YA KARAKANA

Bosi wa Mwendokasi DART afika eneo la Mecco Kawe Dar es Salaam kuangalia maeneo

View: https://m.youtube.com/watch?v=29SjgPwnpPw
Viongozi wakiwemo Mkuu wa wilaya DC, mbunge askofu Dkt. Josephat Gwajima na kigogo wa DART Dkt. Athumani Kihamia wafika eneo la mradi wa DART Kawe mtaa wa Mbuyuni kwa Amani...

Wananchi wastuka wapinga michoro ..inaingia maeneo yaliyo nje ya ramani..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…