Uko wapi na hii lock down bubu....!?


Ndo ujiongezeee...!
 
Kwishney...πŸ˜†πŸ˜†
Malikia atakuwa aliweka na kauchawi ili tusiwe tunaielewa vzr🀣🀣🀣, haiwezekani ukiwa unaongea kimoyo moyo kinanyoka vzr ila ukisema ngoja niongee wengne wasikie, mama weeeeeee kinapotea chote kiingilishiπŸ˜†πŸ˜†
 
Aahahahahahahhaaa

Hii asubuhi nimepitia comment zangu zote nilizoandika jana nimezirekebisha...πŸ˜…

Maneno yalikuwa yanajitype tuu, santaiza ilikiwa 98% πŸ˜‚

Nilikuwa hyper sanaaa, kumbe ulinistukia eeehhhh....πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Ni wazi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜†
 
Aahahahahahahhaaa

Hii asubuhi nimepitia comment zangu zote nilizoandika jana nimezirekebisha...[emoji28]

Maneno yalikuwa yanajitype tuu, santaiza ilikiwa 98% [emoji23]

Nilikuwa hyper sanaaa, kumbe ulinistukia eeehhhh....[emoji1][emoji1][emoji1]
Pombe niliyokunywa Jana yani kila thread nilikua naacha comment ..hii pombe hii
Nilikua hyper kinoma hata sijui kwangu nimefikaje ...! Wkend inaendelea Tule chombo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pombe niliyokunywa Jana yani kila thread nilikua naacha comment ..hii pombe hii
Nilikua hyper kinoma hata sijui kwangu nimefikaje ...! Wkend inaendelea Tule chombo

Sent using Jamii Forums mobile app


Duuh polee...

Mie nimekuja kujiloweka bahari beach huku hili joto sijui ndo lina sambaza β€˜rona....!!!!?
 
the picnic arusha hapa...karibuni wadau au aliepo hapa anicheki nimetupia tshirt y gold imeandikwa YOUR MOM WAS HERE
 
Nipo Sea Cliff.. pamechangamka sana naona wazungu wamejazana na wala hawana barakoa!!
 
Nipo Sea Cliff.. pamechangamka sana naona wazungu wamejazana na wala hawana barakoa!!


Nakujaa...πŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸƒπŸ½β€β™€οΈπŸƒπŸ½β€β™€οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…