Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
- Thread starter
- #101
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vya bure vinagharama jamani😆😆, ko unga? Sabuni? Nakupasi kupo🤪, hiv kama amejitoa kunigharamia starehe ya nyama choma na kamilinda pembeni, kweli atashindwa kasabuni😁, jokes tu jmn. Ila kanipa sharti gumu la kwenda na baby mama wangu na sina cjui nikodi tu sehemu but after leo tubaki kama awali😁😁
.......😂😂😂😂Asante mkuu kwan siwez kuja alone mana mm bado sijafanya maaamz sahihi ya kuwa nae et
Malikia atakuwa aliweka na kauchawi ili tusiwe tunaielewa vzr🤣🤣🤣, haiwezekani ukiwa unaongea kimoyo moyo kinanyoka vzr ila ukisema ngoja niongee wengne wasikie, mama weeeeeee kinapotea chote kiingilishi😆😆Kwishney...😆😆
Hiv viumbe n pasua kichwa sanaaaa, yan kinile mapene mm hata ww rafk yngu upigwe nyama choma za bure kweli😆😆😆.......😂😂😂😂
Ni wazi 😂😂😂😆Aahahahahahahhaaa
Hii asubuhi nimepitia comment zangu zote nilizoandika jana nimezirekebisha...😅
Maneno yalikuwa yanajitype tuu, santaiza ilikiwa 98% 😂
Nilikuwa hyper sanaaa, kumbe ulinistukia eeehhhh....😄😄😄
Pombe niliyokunywa Jana yani kila thread nilikua naacha comment ..hii pombe hiiAahahahahahahhaaa
Hii asubuhi nimepitia comment zangu zote nilizoandika jana nimezirekebisha...[emoji28]
Maneno yalikuwa yanajitype tuu, santaiza ilikiwa 98% [emoji23]
Nilikuwa hyper sanaaa, kumbe ulinistukia eeehhhh....[emoji1][emoji1][emoji1]
Pombe niliyokunywa Jana yani kila thread nilikua naacha comment ..hii pombe hii
Nilikua hyper kinoma hata sijui kwangu nimefikaje ...! Wkend inaendelea Tule chombo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kmlmmmyke 😂
Pole aisee mi nilipo si joto Wala si bardi ...you can imagine ninavo enjoy ..!Duuh polee...
Mie nimekuja kujiloweka bahari beach huku hili joto sijui ndo lina sambaza ‘rona....!!!!?
[emoji3][emoji3][emoji3]... totallyUjana maji ya moto meeen...!
Picnic ya ngaramton au karbu na Shiva ..kalorenthe picnic arusha hapa...karibuni wadau au aliepo hapa anicheki nimetupia tshirt y gold imeandikwa YOUR MOM WAS HERE
Pole aisee mi nilipo si joto Wala si bardi ...you can imagine ninavo enjoy ..!
Sent using Jamii Forums mobile app