Uko wapi na hii lock down bubu....!?

Uko wapi na hii lock down bubu....!?

Piiiipooozzzzz.....!!!!

Mie niko Calabash

Napiga Savanna kama nanawa sanitaizaaaa [emoji12][emoji12][emoji12][emoji28][emoji28]

Cheers everyone but take care, the shit is real [emoji6].

Kasie Matata.
Apo lufungila au[emoji28][emoji23]
 
Nipo home nimeinamisha kichwa kwenye sufuria lenye mchanganyiko wa kikemia nikijivukiza...
Corona mpya ipo ndugu zangu kuweni makini!
Msipendelee vitu vya sukarisukari

Mie kabla ya kutoka kwenda kula bata, nimesukutua anti ‘rona

Hapo nimesakata rhumba hadi jasho la kwenye fizi limetoka.

Vyombo kama kawa na kesho morning nyungu inahisika.

‘Rona yupo ila hazuii bata hata kidogoo.

Napenda mziki utasema mtoto wa bozoboziana....😜
 
Mama yeyooooo kwaniii dunia ni yetuuuu ?

Si yetu ila tunaikanyaga maana yake tuna mamlaka nayo.
(Kasie ni mbishiiiiii....😜).

Mi nikishajisanitaiza na nimcovid nyungu every Friday nakula bata kama antena imeyumba vile.

Nikiamka jumamosi napiga nyungu kisha najichanganya na life kama kawa.
 
Piiiipooozzzzz.....!!!!

Mie niko Calabash

Napiga Savanna kama nanawa sanitaizaaaa 😜😜😜😅😅

Cheers everyone but take care, the shit is real 😉.

Kasie Matata.
Niko iringa do bosco
 
Great if ypu are enjoying yourself.

Up here crearing stamina for tacking ‘rona.

Take care 😉.
Kasie maneno mengi sasa yananipiga usoni. 😂😆
Hebu andika maneno yalio nyooka yani straight
 
NIMR CAF Ndiyo Chachandu Ya Mjini Kila Baada Ya Masaa 8 Unakunywa Kifuniko

Hapo tunaenda pamoja.

🍻

Kumekucha salama, mapambano yanaendelea na jioni mrija kwa umma kama dawa 😜.
 
Mkuu hapo mzumbe cy mbali, nisuprise bc na kanyama choma hapo nje ya geti la chuo[emoji39]
𝔹𝕒𝕔 𝕦𝕛𝕖 𝕟𝕒 𝕊𝕙𝕖𝕞 .....mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nipo home naangalia bss nikikula royal cream(biscuits).

Duuh safi lakini...

Natumai ulifurahia wakati wako....

Sijaangalia hizo mambo kitambooo.......!
 
Back
Top Bottom