Sijawa specific mama utaniumiza tu jamaniDon’t get me wrong wa kwangu ni Asprin
Aspirin tulizaliwa mapachaSijawa specific mama utaniumiza tu jamani
Hapo ndo umekuja kwa specific kwa aspirin
Licha nyama yaweza kumponyoka wakati wowote maana mapengo yamekuwa mapana sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nisaidie kushangaa. Nilipoona huu uzi nilistaajabu maanake wakati ananiulizia nimepost humu chit chit, mmu, jukwaa la siasa,biashara na habari mchanganyiko. Ilibidi nikae kimya niangalie nini kinaendelea maanake mimi mwenyewe nilimuulizia mtu aliepigwa ban uzi ukabadili muelekeo na kuwa vita binafsi!Jamani huyu mtu kila siku si yumo humu?
Au kuna mtu anaactivate acc yake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wewe?!Ni Rrondo au @PRONDO...? eti bibi[emoji56]
Nafikiri lengo lako ni kutaka tu nijue kuwa kwa Asprin sikutoi hata nifanye nini.Uko wapi RRONDO rafiki yangu toka utotoni. Ingawa ulikulia Mwananyamala enzi zile nikitoka Kwamtogole kuja kwenu nilijiona niko usuani. Ubabe wa watoto wa Kwamtogole hukuuzoe lakini niliwaambia wewe blood damu kwakiyo wasifanye harm.
RRONDO sijakuona jukwaani ni nini kimekusibu? Tunaweza kuwasha bettle yetu mimi na Asprin tuje tukutafute huko uliko.
Sky Eclat wa Kwamtogole
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]uzuri wa ili jukwaa hajulikani nani mtoto kijana au mzee