Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Uko wapi RRONDO rafiki yangu toka utotoni. Ingawa ulikulia Mwananyamala enzi zile nikitoka Kwamtogole kuja kwenu nilijiona niko usuani. Ubabe wa watoto wa Kwamtogole hukuuzoe lakini niliwaambia wewe blood damu kwakiyo wasifanye harm.
RRONDO sijakuona jukwaani ni nini kimekusibu? Tunaweza kuwasha bettle yetu mimi na Asprin tuje tukutafute huko uliko.
Sky Eclat wa Kwamtogole
RRONDO sijakuona jukwaani ni nini kimekusibu? Tunaweza kuwasha bettle yetu mimi na Asprin tuje tukutafute huko uliko.
Sky Eclat wa Kwamtogole