Kimeumana hukoSa itakuaje jamani
Halafu hiyo asali mumewe haioniShetani aliweka Kijiko cha Asali kwa mke wa mtu.
Babe uliadimika sana. Nafurahi kukuona tenaSa itakuaje jamani
Nayeye anaiona kwa mke wa mtu pia[emoji23]Halafu hiyo asali mumewe haioni
Daa shetani noma sanaNayeye anaiona kwa mke wa mtu pia[emoji23]
Hahaha Tutafanyaje sasa.Daa shetani noma sana
Ahsante ma nafurahi pia, i missed you
Kazi ipoNayeye anaiona kwa mke wa mtu pia[emoji23]
Kazi kwelikweli sio mchezo lkn tutafanyaje sasa Dear!!Kazi ipo
Solution haiwezi kupatikana kamwe, maisha na yaendeleeKazi kwelikweli sio mchezo lkn tutafanyaje sasa Dear!!
Ni kubebana tu ivoivo
Maisha na yaendelee ..hili ndio neno bora kabisa naupo sahihi 100%.Solution haiwezi kupatikana kamwe, maisha na yaendelee
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Yuko poa sanaMaisha na yaendelee ..hili ndio neno bora kabisa naupo sahihi 100%.
Mwanetu hajambo?.
I bet amekua bonge la mcute fulan ivi so pretty kama Mama yake [emoji4]
😃😃I bet amekua bonge la mcute fulan ivi so pretty kama Mama yake [emoji4]