Uko wapi utamu wa mke wa mtu? Jamaa nimemshauri hataki kuacha

Uko wapi utamu wa mke wa mtu? Jamaa nimemshauri hataki kuacha

Kuchakata mitano tena alafu acha wivu wa kijinga tafuta pesa
Hamuonei wivu ni rafiki yake kasema. Kuna msela mwaka 2013 alikujaga kjiweni uchi kakimbia fumanizi la mke wa mwanajeshi alijua yupo lindo kumbe sio. Bahati yake ilkua ni usiku hakufahamika. hatari sana *****
 
Ewaaaaa Kama Muumbaji wake alimpendelea na kubeba genes zako

Mimi ninani wa kupinga???[emoji23]naulizaaaaa.

Sina shaka, umeshapata vikesi vya kutosha tuuu


Nataman niwe Harmonize wako, nikusindikize vituo vya polisi[emoji23]
Ah wapi, huwezi mfananisha binti yangu na Paula kajala. Sijawahi pata kesi yoyote

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Huyo jamaa haya mafuta yanamhusu

1615393483652.png
 
Tuchape Kazi.

Tumechelewa Sana Ndugu Zangu


Ubaya siku zote unarudi kwa ubaya...vipi mume wa huyo Mwanamke katulia!? Tuanzie hapa...Kwa sabbu wanawake wana visasi sana

mabeberu wanatuonea wivu

Siri~kali hii ya wanyonge imekamilisha miradi kwa pesa yetu wala hatujataka mikopo yao.

Tufanye kazi kweli kweli
 
Ndugu yangu huyu ni mwaka na nusu sasa anadunda na mke wa mtu. Mwaka jana nikamshauri amwache mara moja,akakubali ila akaendelea kwa kificho.

Siku ya valentine day akampost kidogo whatsapp halafu akafuta. Ikabidi nimuweke kikao cha kishikaji na washkaji. Tukampa risala nzito,kumbe alivyotoka pale wakaenda chocho na yule mke wa mtu wakafanya tendo. Wakati wa tendo jamaa akamchana yule dada kwamba mimi namshauri amuache ila yeye hayuko tayari.

Kesho yake yule dada akatuma sms akaniambia kama naona ndugu yangu anafaidi basi na mimi anitafutie mke wa mtu. Sikumjibu...badae akaandika au nataka mimi ndio namtaka yule ndugu yangu.

Kitendo kile kiliniuma sana,nilidhalilika sana.

Mume wa yule dada alikuwa masomoni alikuwa akija mara moja moja. Ni jamaa niliwahi kufanya naye kazi. Sasa juzi kati nikakutana naye anatamba mke wake amemshauri arudi tena shule akachukue masters kabisa amalize kila kitu

Dadeki jamaa jinga sana. Lakini najiuliza wake za watu wana utamu gani?
Jaribu kuonja mkuu hautajuta nakuhakikishia! Ila mwenye mali akikuotea .....
 
Wanaume mnakwama wapi??

Kuna mmoja hapa anapigiwa mke wake zaidi ya miaka 6 na hajui.
Yaani kila nikimuona fb natamani nimtonye lkn naona ntaleta balaa kubwa.

Ili ugundue kwamba unachapiwa ni lazima mojawapo kati ya mambo haya yatokee;
1. Mtu aje akuambie
2. Mkeo afanye mistake
3. Uhisi kwamba unachapiwa, uanze kuchunguza.
Kinyume na hapo unaweza usijue kamwe kama kuna kitu kinaendelea
 
Back
Top Bottom