Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Ewaaaaa Kama Muumbaji wake alimpendelea na kubeba genes zako[emoji2][emoji2]
Hamuonei wivu ni rafiki yake kasema. Kuna msela mwaka 2013 alikujaga kjiweni uchi kakimbia fumanizi la mke wa mwanajeshi alijua yupo lindo kumbe sio. Bahati yake ilkua ni usiku hakufahamika. hatari sana *****Kuchakata mitano tena alafu acha wivu wa kijinga tafuta pesa
Ah wapi, huwezi mfananisha binti yangu na Paula kajala. Sijawahi pata kesi yoyoteEwaaaaa Kama Muumbaji wake alimpendelea na kubeba genes zako
Mimi ninani wa kupinga???[emoji23]naulizaaaaa.
Sina shaka, umeshapata vikesi vya kutosha tuuu
Nataman niwe Harmonize wako, nikusindikize vituo vya polisi[emoji23]
Ewaaa basi wako atakua ni Wife material mzuri kabisa.Ah wapi, huwezi mfananisha binti yangu na Paula kajala. Sijawahi pata kesi yoyote
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Tuchape Kazi.
Tumechelewa Sana Ndugu Zangu
Ubaya siku zote unarudi kwa ubaya...vipi mume wa huyo Mwanamke katulia!? Tuanzie hapa...Kwa sabbu wanawake wana visasi sana
Jaribu kuonja mkuu hautajuta nakuhakikishia! Ila mwenye mali akikuotea .....Ndugu yangu huyu ni mwaka na nusu sasa anadunda na mke wa mtu. Mwaka jana nikamshauri amwache mara moja,akakubali ila akaendelea kwa kificho.
Siku ya valentine day akampost kidogo whatsapp halafu akafuta. Ikabidi nimuweke kikao cha kishikaji na washkaji. Tukampa risala nzito,kumbe alivyotoka pale wakaenda chocho na yule mke wa mtu wakafanya tendo. Wakati wa tendo jamaa akamchana yule dada kwamba mimi namshauri amuache ila yeye hayuko tayari.
Kesho yake yule dada akatuma sms akaniambia kama naona ndugu yangu anafaidi basi na mimi anitafutie mke wa mtu. Sikumjibu...badae akaandika au nataka mimi ndio namtaka yule ndugu yangu.
Kitendo kile kiliniuma sana,nilidhalilika sana.
Mume wa yule dada alikuwa masomoni alikuwa akija mara moja moja. Ni jamaa niliwahi kufanya naye kazi. Sasa juzi kati nikakutana naye anatamba mke wake amemshauri arudi tena shule akachukue masters kabisa amalize kila kitu
Dadeki jamaa jinga sana. Lakini najiuliza wake za watu wana utamu gani?
Wanaume mnakwama wapi??
Kuna mmoja hapa anapigiwa mke wake zaidi ya miaka 6 na hajui.
Yaani kila nikimuona fb natamani nimtonye lkn naona ntaleta balaa kubwa.
Mungu amkuze akue salama.Ewaaa basi wako atakua ni Wife material mzuri kabisa.
Mwanangu wakiume ndo kwanza miaka 2 unusu
Aminaa amina kabisa kama ilivyo kww binti yako
@Demi unaneno gan hapa?Ili ugundue kwamba unachapiwa ni lazima mojawapo kati ya mambo haya yatokee;
1. Mtu aje akuambie
2. Mkeo afanye mistake
3. Uhisi kwamba unachapiwa, uanze kuchunguza.
Kinyume na hapo unaweza usijue kamwe kama kuna kitu kinaendelea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeandika kinyonge bobza mwizi ni 40.
Ni kweli. Inaweza pita miaka na miaka usijue, Kuna wanaojua kuficha, na habadiliki so huwezi mshtukia kirahisi@Demi unaneno gan hapa?
Mambo mengi si unajua tenaAminaa amina kabisa kama ilivyo kww binti yako
Ila tumesusana
Kumekuchaaaaaaa, ila yote kwa yote, ili Asubuhi inoge, nivema uamke na cha Asubuhi[emoji23]