- Thread starter
- #21
Kama uko tayari kuwa mke wa nne? ni pm.
mh!! Hapana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama uko tayari kuwa mke wa nne? ni pm.
funguka zaidi uko general mno
Miye mkristo, uko tayari? Tutaanza na kumbatiza mtoto wako halafu wewe. Nina miaka 34
Mm ni miongoni mwa watu ambao siamini kama unaweza pata mume au mke hapia
nakutakia kila la heri
yeyote anayetafuta mwenza humu anataka kudanganywa. Wengine hizi tunaona ka bahati. Yaani duh sawa na kuniwekea sahani ya chakula mezani alafu uone kama ntakula au la.
nimekusikia ila kumbuka wadanganyifu sio wote......anaweza akatokea mkweli
Wewew Utajuaje huyu mkweli na huyu mdanganyifu? Utadanganywa tu humu. Lakini ka wanavyosema You never fail until you stop trying. Ukidanganywa endelea kujaribu..........
Ukiona hivyo ujue hayuko na komplikesheni kibao..mara ooh mrefu..mweupe kidogo..n.kfunguka zaidi uko general mno
Hujaweka vigezo unavyotaka vp utakuwa tayari kubadilisha dini.
uko tayari kupima?
Wasikukatishe tamaa mamii..Mtu amabaye ni mdanganyifu au ambaye hayuko sirias utambaini siku za mwanzoni tuuu... Cha msingi usikurupuke..
ili ukamng'oe meno na kucha kwenye msitu wenu wa kafara??Kama uko tayari kuwa mke wa nne? ni pm.
ili ukamng'oe meno na kucha kwenye msitu wenu wa kafara??