Ukoloni mamboleo unaitafuna Kenya


Ongea kitu kinachoeleweka, mara wale mayaya ni wakenya blah blah, mara wakenya wote wanafanya kazi nzuri.
Huo ni uongo. Mimi nawaona wakenya kibao wanafanya kazi za hovyo.
Nenda night club, huwezi kosa changu la kikenya. Likisikia kiswahili lazima lijisogeze kuongea.
 
Akili yako mbovu sana, yaani usomi kwako ni kujua kuongea kiingereza? Yaani unaajiliwa kazi ya uyaya na mzungu kwakuwa unafahamu kiingereza. Huko Tanzania wako wanyasa wengi wanafanyakazi za nyumbani kwa wazungu kwakuwa wanaweza kuzungumza kizungu, huu ni upuzi sawa na upuzi mwengine mtaani.

Nimekuta wakenya wengi Marekani wameajiriwa kutunza wazee. Wanaogesha na kutawaza na kuogesha wazee halafu wa kizungu halafu ww unasema wanafanya kazi nzuri, maandazi wewe.
 
India ina watu billion 1.3, wanayo demokrasia na nchi inatawalika vizuri sana.
Huna akili wewe, kama India ingekuwa na demokrasia isingehangaika na Kashmir, ingewaacha wajitenge.
 
Damn! You are bitter!!!!

Above on everything how.. !?

Our Size is bigger, our lakes are bigger and many, out population is bigger, our mountains are bigger and longer, out National parks are bigger and many.. so what exactly are you referring at!?
Our ocean is bigger and even our president has a PhD qualification. Ask your Prof. Lumumba about our president
 
Kweli wapo wengine wanafanya kazi ya kuogesha wazee, wagonjwa na vichaa
Lakini kipato Kipo vizuri
Wabongo wengi wao ni wauza Madawa na wezi tu
Kubali kataa Wakenya wametupita mbali na nchi kama Tanzanian tunatakiwa tukiri hilo na tulifanyie kazi
 
Mimi sijasema Kenya ni nchi ya ulimwengu wa kwanza au Wakenya wote ni matajiri
Ila ukifananisha na Bongo wenzetu wapo mbali sana kielimu. Kiuchumi na kihali
Kuhusu makahaba hio ni hulka hata wamerekani. Waingereza n, k wapo machangudoa
Mkuu huwezi kukubali maana wengine tupo kusema Ndio mzee.. Lakini tungekua wakweli labda tungejua nini cha kufanya tuweze kuwafikia wenzetu
 
Siku ukienda tena waambie wakupeleke na kwenye hizi shule zao
Baba hizo sio shule hizo zinaitwa morning classes mtu anajitolea kuongea na watoto tu shule gani bila sare?
Ila kwetu kusini Ndio tunayo mambo hao hapo ni Mkoa wa lindi. Wilaya ya Nachingwea kata ya module shule ya module na shele ya ukwangu
 

Attachments

  • Screenshot_20200926-152056.jpg
    135.8 KB · Views: 1
  • IMG_20201007_223430.jpg
    78.6 KB · Views: 1

Sikiliza bwana mdogo. Tanzania kama nchi inapambana kufikia malengo iliyojiwekea. Na si kufikia kile ambacho nchi nyingine hususan ni Kenya. Binafsi sioni kama ni kitu kinachopatana na akili eti kuiweka Kenya kama kipimo cha maendeleo yetu. Yaani eti tuanze kuifikiria a primitive capitalist country, which its wealth is obtained by plundering and robbery. Shida yako wewe ni kujidharau na labda pengine na exposure, yaani mpaka a dirty toilet corrupt Kenya unaiweka ni nchi ya kuipigia mfano!!? Umewahi fika Botswana, Namibia na hata Angola, ambako ukiambiwa these are middle income countries, at least you feel, it's true these places deserve to be. Lkn unaisema Kenya ambako ukienda you just see the poverty every where. People are suffering because of the prevalence of historical Injustice. Watu wana machungu. Wakenya wengi wanaishi kama mazombi, hawawezi tofautisha kifo au mauti na uhai. Wenyewe wakifa sawa, wakiwa hai sawa.
The things you don't know many of you is, Kenya has two worlds, the first world which consists white and few Afrikans and a third [or even fourth] which comprises a big number of people mainly Afrikans. Unless you've never been in Kenya, but this is the fact about that nation.
 
Baba hizo sio shule hizo zinaitwa morning classes mtu anajitolea kuongea na watoto tu shule gani bila sare?
Ila kwetu kusini Ndio tunayo mambo hao hapo ni Mkoa wa lindi. Wilaya ya Nachingwea kata ya module shule ya module na shele ya ukwangu

Acha uongo, hakuna kitu kama hiki hapa nchini. Labda unaongelea miaka mingi iliyopita.
 
Acha uongo, hakuna kitu kama hiki hapa nchini. Labda unaongelea miaka mingi iliyopita.
Hakuna mijini lakini vijijini haswa mikoa ya pwani
Moro
Pwani
Tanga
Lindi
Mtwara
N. K
Tafadhali rejea Hali alioikuta Magufuli hapa kibiti wakati akitokea kumzika mkapa mwaka huu aliambiwa na mtoto mdogo shuleni kwao wanakaa kwenye matope
Tatizo letu watanzania hatutaki kuzungumza uhalisia wa changamoto zetu ili zitatuliwe
Kazi yetu ni kudanganya uongozi eti mambo Safi
Yaani kuongeza watanzania kazi rahisi sana hata kama hakuna huduma za jamii wanamsifia tu.......!
 
I never tell anyone we have to make competition with Kenya....
I know we can't compete
But the fact it will remain fact
Kenyans are far better than any country in eastern Africa
When you are talking about Botswana and Namibia of course they are in better condition to compare with Kenya but they are not that far
Just imagine Kenyans wameacha kununua mazao yetu msimu huu Wakulima wanahaha kiasi gani?
Mchele na mahindi hatuna sehemu ya kupeleka
Nanasi lililokua linaenda kwa 2000 sasa ni 500 dar
Maembe yanakomaa sasa
Shida sana
Sisi tunahitaji Kenya kuliko Kenya inavyotuhitaji
 
Sikujua kama msingi mmojawapo wa demokrasia ni kuwaachia kikundi fulani cha watu wamege nchi zao wanavyotaka na kuunda mataifa mapya.
Huna akili wewe, kama India ingekuwa na demokrasia isingehangaika na Kashmir, ingewaacha wajitenge.
 
Wewe hata huna unachokijua. Swala la mazao yetu kununuliwa na kenya au la halitokani na kenya kuwa tajiri kuliko sisi bali linahusu mambo ya demand and supply. Kenya ina njaa kali (need) lakini wamepata supplier mwingine kama uganda. Hiyo haimaanishi kama kenya isiponunua mahindi yetu basi njaa imetoweka kule. Hata somalia imeacha kununua miraa ya kenya na kusababisha wakenya kuoiga miayo, lakini hiyo haimaanishi Somalia haihitaji miraa bali wananunua kutoka ethiopia na kwingine kwasababu za kisiasa kama shinikizo fulani la kidiplomasia. Hata kenya wanajikaza kisabuni tu kuacha kununua machungwa yetu, sizitaki mbichi. Hii itatufanya tupeleke wenyewe mahindi Sudani, zimbabwe na congo.

Hata unapolima nyanya utahitaji watu wataozinunua wakapikie jikoni, hii haimaanishi kuwa wanaonunua nyanya gengeni wote ni matajiri. Wewe una safari ndefu.
 

Sina uhakika na unalolisema.
Lkn kwa akili yako. Kuleta hilo la kukosa madarasa hapa kwa wakenya ambao haliwahusu, je ndiyo umekuwa mtanzania mkweli. Lini hapa mtu wa NYANG'AUSTAN alileta madhaifu ya Kenya. Acha hizo, wewe ni mtu mzima.
 

Wewe bwana mdogo, unaongea story za vijiweni.
Umewahi fika Botswana au Namibia wewe!!? Kama hujui kitu bora ukae kimya.
 
Kweli wapo wengine wanafanya kazi ya kuogesha wazee, wagonjwa na vichaa
Lakini kipato Kipo vizuri
Wabongo wengi wao ni wauza Madawa na wezi tu
Kubali kataa Wakenya wametupita mbali na nchi kama Tanzanian tunatakiwa tukiri hilo na tulifanyie kazi
Kipato kizuri is a relative term. Una maana gani unaposema wanapata kipato kizuri. Kipato kizuri kwa kulinganisha na nani na wapi? Hata kufirw* unaweza kulipwa hela nzuri kwa mtazamo wako, lakini ni hela nzuri kwa kulinganisha na nini. Wakenya huko ughaibuni wanatia aibu jamani. Wao ndio wanaootunza wazee, watoto, na kufanya usafi mahotelini, vyooni, malls, kuchuma matunda mashambani na ukahaba.

Hii ni tofauti na watanzania, kwanza sio wengi huko, pili hao wachache kazi zao ni vinyozi, kuuza dawa za kulevya na utapeli. Hawafanyi kazi za aibu. Na hii ni kutokana na kuwa tanzania wanakotoka wameacha fursa nyingi sana za kilimo, kufuga, kuvua, biashara ndogondogo, nk kwakuwa ardhi kubwa kwa kila mtanzania ipo, tuna bahari kuanzia tanga hadi mtwara, tuna mito mikubwa na maziwa ya kuvua, kusafirisha na kumwagilia, tuna hifadhi za taifa nyingi, tuna madini mengi wachimbaji wadogowadogo wanafaidika. Hivyo sio rahisi kijana wa kitanzania kufanya kazi inayomdhalilisha, ni maskini jeuri kwakuwa nyumbani ameacha fursa nyingi sana na anaweza kurudi wakati wowote ukimzingua.

Lakini wakenya ni tofauti kabisa, wao wanakimbia poverty, propertles, ukabila, unyang'anyi, ukoloni; ukiambiwa hakuna kutoka nje lazima utii vingine unatwangwa risasi ukufe. Bahati mbaya viongozi wanawaambia watu wasitoke nje ili waqualify kupata misaada ya covid kutoka kwa wazungu watie tumboni kwao.

Mkenya yuko irritated all the time, kila kitu kinapatikana kwa kugoma na maandamano, hata huku kukimbia sana kwenye mashindano ya riadha ni kama teke la mwisho ya kupigana na poverty kwao. Hakuna hiari lazima ukimbie ili ujinasue. Tanzania nivtofauti kidogo fursa ziko tele, sio lazima ukimbie saaana ili ule.
 
Yaani unajikomba halafu hapo hapo unasema hujikombi, ha ha ha duh. Endelea tu kujikomba usiogope.
Anajikomba sana huyu bhana. Anashindwa kujua kwanini wachezaji wengi wanatoka Kenya kuja Tanzania kucheza mpira, hilo lisingewezekana kama Tanzania ingekuwa maskinibsana kuliko Kenya. Kenya kuna viwanda vingi vya wakoloni hiyo haina ubishi na wala hatubishani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…