Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Yaani mji mzima umejaa wakoma na upofu, halafu haya ndio makao makuu ya nchi.
Hii taswira inafikirisha sana, sijui kwanini walichagua mahali penye laana ya ukoma na upofu ndio pawe makao makuu ya nchi?
Matokeo yake uchumi wetu una ukoma, soka letu lina ukoma, maendeleo yetu yana ukoma, miradi yetu tuliuoiita miradi mikubwa ya kimkakati imejaa ukoma, sio wa treni ya mwendokasi, wala sio bwawa la kuzalisha umeme kule Rufiji tulikokata zaidi ya miti milioni mbili, kote kumejaa ukoma.
Sasa tunafikiria kwamba tozo zinaweza kutuponya na ukoma, huku ni kujidanganya.
Hii taswira inafikirisha sana, sijui kwanini walichagua mahali penye laana ya ukoma na upofu ndio pawe makao makuu ya nchi?
Matokeo yake uchumi wetu una ukoma, soka letu lina ukoma, maendeleo yetu yana ukoma, miradi yetu tuliuoiita miradi mikubwa ya kimkakati imejaa ukoma, sio wa treni ya mwendokasi, wala sio bwawa la kuzalisha umeme kule Rufiji tulikokata zaidi ya miti milioni mbili, kote kumejaa ukoma.
Sasa tunafikiria kwamba tozo zinaweza kutuponya na ukoma, huku ni kujidanganya.