Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Exactly
Fanya mazuri 100 ushahidi utapotezwa, Fanya baya moja ushahidi utatunzwa...That's ma genious Lo🕺💪 hili jibu 👏👏👏👏👏!
Siasa inahitaji moyo wa chumaaa
Nmalize UDSM 1983 nilishe nguruwe 😀 😀 😀 😀 😀Mbowe ni mfanyabiashara anachoangalia ni faida tu
Visasi mnavyo nyie Walisha Nguruwe 😂
Nahio ndio binadamu tunavoishi.Fanya mazuri 100 ushahidi utapotezwa, Fanya baya moja ushahidi utatunzwa...
Kama shida yenu ni miaka 30 basi mjikite kwenye hilo tu, msizushe mengine ya uongo si sawa.Ngoja tuone ila nadhani ipo shida mahali, Miaka 30
Anyways Mbowe anakula keki ya taifa ndiyo maana yupo kimya...Nahio ndio binadamu tunavoishi.
Ni changamoto sana
Sisi wanachama wa CHADEMA tumemchoka!! Mfikishie huo ujumbe na aufanyie kazi. Hicho ni chama Cha Umma siyo chake!! Mwambie Ukweli hata kama unamuogopa
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, ambaye Wachambuzi wanamueleza kama ndiye bingwa wa siasa za Kisasa kwenye Ukanda wa eneo la Maziwa Makuu, Anashangaza sana!
Miaka 30That's ma genious Lo🕺💪 hili jibu 👏👏👏👏👏!
Siasa inahitaji moyo wa chumaaa
Miaka 30Sisi wanachama wa CHADEMA tumemchoka!! Mfikishie huo ujumbe na aufanyie kazi. Hicho ni chama Cha Umma siyo chake!! Mwambie Ukweli hata kama unamuogopa
Miaka 30Anyways Mbowe anakula keki ya taifa ndiyo maana yupo kimya...
Miaka 30Nafuu wale wanaojibu shutuma, wanaokaa kimya waogope kama ukoma. Wanajibu kimoyomoyo.
Miaka 30Mbowe ni mfanyabiashara anachoangalia ni faida tu
Visasi mnavyo nyie Walisha Nguruwe 😂
Miaka 30Visasi analipa kimya kwa mikakati kama sasa lissu anachokoza wengine Mbowe anamnyatia kimkakati kwa kuwa mahaba yamekuzidi huwezi kung'amua!
Miaka 30# ROCA FELLA
MBOWE AACHE SIASA AFANYE BIASHARA ELEKEZI SASA WAKATI NI HUU.
Hoja yetu ni hii, hayo mabaya mnayosema ukweli ni upi? Mazuri hamyakumbuki basi hayo mabaya mnayoyakumbuka na ushahidi wake tuwekeeni hapa ili tusaidiane kumshambulia MboweNahio ndio binadamu tunavoishi.
Ni changamoto sana
Miaka 30Hoja yetu ni hii, hayo mabaya mnayosema ukweli ni upi? Mazuri hamyakumbuki basi hayo mabaya mnayoyakumbuka na ushahidi wake tuwekeeni hapa ili tusaidiane kumshambulia Mbowe
Anajua utumishi wake kwenye Dola yetu!
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, ambaye Wachambuzi wanamueleza kama ndiye bingwa wa siasa za Kisasa
Miaka 30Hoja yetu ni hii, hayo mabaya mnayosema ukweli ni upi? Mazuri hamyakumbuki basi hayo mabaya mnayoyakumbuka na ushahidi wake tuwekeeni hapa ili tusaidiane kumshambulia Mbowe
Mwambieni mgombea wenu achukue fomu halafu ingieni kwenye kampeni, Mbona Mwambe aliambulia kura 56?Sisi wanachama wa CHADEMA tumemchoka!! Mfikishie huo ujumbe na aufanyie kazi. Hicho ni chama Cha Umma siyo chake!! Mwambie Ukweli hata kama unamuogopa