kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Iko siku Palestine itakombolewa na Urusi kutoka kwenye tabu ya nchi za Magharibi na Israel. Waendelee kunywa mtori nyama watazikuta chini.
Mungu sio mjinga kiasi cha kuwaacha wapalestine wateseke milele. Mungu atafanya hivyo kama alivyofanya kwa wa Israel pia. Mungu atafanya hivyo hata kwa bara la Afrika. Siku sio nyingi wazungu watakuwa maskini sana, wakimbizi na hata watumwa, wetu kama wataendelea na kile wanachokifanya sasa.
Mungu sio mjinga kiasi cha kuwaacha wapalestine wateseke milele. Mungu atafanya hivyo kama alivyofanya kwa wa Israel pia. Mungu atafanya hivyo hata kwa bara la Afrika. Siku sio nyingi wazungu watakuwa maskini sana, wakimbizi na hata watumwa, wetu kama wataendelea na kile wanachokifanya sasa.