Ukombozi wa Taifa hili utaanzia Mbeya

Superiority complex inawasumbua, kina Mwabukusi wanaohubiri ukabila na udini uliojificha kwa mgongo wa suala la bandari, dawa yao inaendelea kuiva.
 
Mbeya wanajielewa sana! I know them. long time kitambo, Sangu High School!


JESUS IS LORD & SAVIOR
 
ACHA uongo pumbafuuu Wewe.. Sisi hatuna utapi wa mlo..Tumeshiba Sisi
 
Mungu ibariki Mbeya
 
Una chuki na green city sio bure, leta hizo takwimu hapa.

Mambo ya mauaji tushawaachia chuga na usukumani huko.
Mkibishana na wapumbavu
Chuga iEshimu kama amri ya 4
Chuga na kaskazini (tanga ipo kwa bahati mbaya) imeanza harakati mbeya bado ipo rhodesia
 
No , ni Tarime!!!
 
Unataka kusema unapingana na wasomi kama kina shivji,warioba,dk slaa nk
 
Mmekula shilingi ngapi kwa Waarabu kiasi cha kuwadharau wenye nchi?
 
Mbeya akina chapombe Mwabukusi?
 
Ni kweli Mbeya wakiamua jambo hawahongeki wala kutishwa sio kanda ya ziwa ni wengi na wanaonewa sana lakini akijitokeza mmoja kupaaza sauti zao wanamgeuka baada ya kuhongwa!!!

Mbeya, Songwe (Tunduma) na Mara (Tarime na Butiama), Arusha (Arumeru), Simiyu na Mtwara ndio majasiri sana kujenga hoja na kuzitetea na wako tayari kupoteza maisha ili mradi wanasimamia wanachokiamini mpaka mwisho wa tone la damu.
 
Mambo yanaenda haraka haraka sana. Njia ya muanguko
 
tunapambania bandari na Tanganyika yetu mmeshaanza mambo ya ukabila kama enzi za kina Mwaikambo na Nsekela. Wakati unamsifia Mwabukusi kumbuka spika anayesimamia huu upuuzi anatoka hukohuko mbeya.
 
Mbeya wako smart sana nalijua hilo.

Mambo hayo angesema mzalendo kama mark mwandosya sawa,ila hawa vichaa sijui mdude chadema,na huyo chizi mwabukusi ni watu wa kupuuzwa tuh
Umebugi meeen. Wewe ni kibaraka wa Waarabu
 
tunapambania bandari na Tanganyika yetu mmeshaanza mambo ya ukabila kama enzi za kina Mwaikambo na Nsekela. Wakati unamsifia Mwabukusi kumbuka spika anayesimamia huu upuuzi anatoka hukohuko mbeya.
Tulia ni msaliti kama Eva alivyokuwa au kama Delila tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…