ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Acheni umbumbumbu nyie Toka Vyama vingi ukiacha mjini wapi mliwahi pata mbunge?wote waliingia kwa hisani ya yule dikteta uchwara, kwenye ule uchafuzi. mioyo ya watu ilijeruhiwa sana ikabidi mzee asepeshwe.
Yesu ni Masihi
Tulia sio chaguo la wana Mbeya, Tulia ni chaguguo la Nduli mwendazakewote waliingia kwa hisani ya yule dikteta uchwara, kwenye ule uchafuzi. mioyo ya watu ilijeruhiwa sana ikabidi mzee asepeshwe.
Yesu ni Masihi
Mikumi, Mbozi, na sehemu nyingine nyingi tu, naongeza na ArumeruAcheni umbumbumbu nyie Toka Vyama vingi ukiacha mjini wapi mliwahi pata mbunge?
Nakuhakikishia 2025 mtapigwa hivyo hivyo
Kicheche huyuBibi sheria ulisomea wapi?
Naona umegeuka mwanasheria wa ghafla ili kumlinda Samia!.
Baadae utageuka kuwa mhasibu!, ikibidi mwalimu!, ikilazimu kabisa utakuwa mganga wa kienyeji!!
Mbozi sio Mbeya ni SongweMikumi, Mbozi, na sehemu nyingine nyingi tu, naongeza na Arumeru
Hiyo Mbozi ilipotoa mbunge ilikuwa kwenye mkoa wa Mbeya. Kuhusu Mikumi rejea swali lakoMbozi sio Mbeya ni Songwe
Mikumi ni Morogoro
Mwisho yaani unakuta ccm Majimbo 8 Chadema 2 harafu unajisifu 😁😁
HIi lugha Gani ndugu?Ndagha gwe Mwifyusi
Issue ni pombe? Mbona Yesu alikuwa mnywaji na kwa kuiheshimu muujiza wake wa kwanza aligeuza maji kuwa divai
We jamaa jitambulishe kwanza kabila lako then tuendelee,huwez kuelezea mkoa wa Mbeya kichawa hivoMbeya sio kwamba wanajielewa, ila wanapenda kesi.
Wasomi wa mwanzo kwao wengi walikua wanasheria, jamii ya Mbeya inaamini mwanasheria ndio msomi, na kushinda kesi au kuendeleza kesi baada ya kushindwa ni jambo la kishujaa kwao.
Ukitaka kujua Mbeya hawajielewi angalia kwenye takwimu za kitaifa kwa halmashauri kila mwaka kuna wilaya za Mbeya zipo juu (among top ten) kwenye Ukimwi, Mauwaji, Utapiamlo kwa watoto (pamoja na wingi wa vyakula walivyojaaliwa), na ushirikina.
Verse asilia inasemaje? Tutaipata wapi?Bible ni kitabu kilichovurugwa sana na wazungu wakati walipokuwa wanauchakata ukristo ili uendqne na matakwa yao ikiwemo hilo ililosema.
Kijana Mwabukusi amegeuka kuwa shujaa wa taifa, jana viwanja vya mahakama vilijàa sana kiasi cha wananchi kuomba kesi ikasikilizwe kwenue viwanja vya Mapinduzi, siku hizi mnaita Sokoine.[emoji419][emoji375]Wana Mbeya wanajielewa sana, wana utambuzi wa hali ya juu sana.
Mbeya mama anapendwa sana, ila kwa hili la bandari wamesema hapana. Hawajakubali rasilimali zao kuuzwa, na hawako tayari kwa rasilimali za taifa lao Tanganyika kuchezewa.
Kijana Mwabukusi amegeuka kuwa shujaa wa taifa, jana viwanja vya mahakama vilijàa sana kiasi cha wananchi kuomba kesi ikasikilizwe kwenue viwanja vya Mapinduzi, siku hizi mnaita Sokoine.
Mikoa yote ingekuwa na watu wenye fikra na uthùbutu walio nao watu wa Mbeya, nchi hii isingekuwa kama hivi ilivyo.
Aibu ambayo Tulia Ackson ametuvalisha wana Mbeya, tumeondolewa na wakili wetu msomi Mwabukusi.
Mbeya hatutaki vibaraka, hatutaki ukoloni mambo leo, hatutaki rasilimali za Tanganyika zichezewe.
Nasikia jana Zanzibar na Tanzania zimeingia mkataba wa madini, aisee, hiki ni kituko cha mwaka, Tanzania ni wapi na Zanzibar ni wapi?
Hiyo Mbeya yenyewe wengi ni Wanyasa na Wazambia.Wana Mbeya wanajielewa sana, wana utambuzi wa hali ya juu sana.
Mbeya mama anapendwa sana, ila kwa hili la bandari wamesema hapana. Hawajakubali rasilimali zao kuuzwa, na hawako tayari kwa rasilimali za taifa lao Tanganyika kuchezewa.
Kijana Mwabukusi amegeuka kuwa shujaa wa taifa, jana viwanja vya mahakama vilijàa sana kiasi cha wananchi kuomba kesi ikasikilizwe kwenue viwanja vya Mapinduzi, siku hizi mnaita Sokoine.
Mikoa yote ingekuwa na watu wenye fikra na uthùbutu walio nao watu wa Mbeya, nchi hii isingekuwa kama hivi ilivyo.
Aibu ambayo Tulia Ackson ametuvalisha wana Mbeya, tumeondolewa na wakili wetu msomi Mwabukusi.
Mbeya hatutaki vibaraka, hatutaki ukoloni mambo leo, hatutaki rasilimali za Tanganyika zichezewe.
Nasikia jana Zanzibar na Tanzania zimeingia mkataba wa madini, aisee, hiki ni kituko cha mwaka, Tanzania ni wapi na Zanzibar ni wapi?
Nasikia jana Zanzibar na Tanzania zimeingia mkataba wa madini, aisee, hiki ni kituko cha mwaka, Tanzania ni wapi na Zanzibar ni wapi?[emoji23]Wana Mbeya wanajielewa sana, wana utambuzi wa hali ya juu sana.
Mbeya mama anapendwa sana, ila kwa hili la bandari wamesema hapana. Hawajakubali rasilimali zao kuuzwa, na hawako tayari kwa rasilimali za taifa lao Tanganyika kuchezewa.
Kijana Mwabukusi amegeuka kuwa shujaa wa taifa, jana viwanja vya mahakama vilijàa sana kiasi cha wananchi kuomba kesi ikasikilizwe kwenue viwanja vya Mapinduzi, siku hizi mnaita Sokoine.
Mikoa yote ingekuwa na watu wenye fikra na uthùbutu walio nao watu wa Mbeya, nchi hii isingekuwa kama hivi ilivyo.
Aibu ambayo Tulia Ackson ametuvalisha wana Mbeya, tumeondolewa na wakili wetu msomi Mwabukusi.
Mbeya hatutaki vibaraka, hatutaki ukoloni mambo leo, hatutaki rasilimali za Tanganyika zichezewe.
Nasikia jana Zanzibar na Tanzania zimeingia mkataba wa madini, aisee, hiki ni kituko cha mwaka, Tanzania ni wapi na Zanzibar ni wapi?
Shingo haipiti kichwaWana Mbeya wanajielewa sana, wana utambuzi wa hali ya juu sana.
Mbeya mama anapendwa sana, ila kwa hili la bandari wamesema hapana. Hawajakubali rasilimali zao kuuzwa, na hawako tayari kwa rasilimali za taifa lao Tanganyika kuchezewa.
Kijana Mwabukusi amegeuka kuwa shujaa wa taifa, jana viwanja vya mahakama vilijàa sana kiasi cha wananchi kuomba kesi ikasikilizwe kwenue viwanja vya Mapinduzi, siku hizi mnaita Sokoine.
Mikoa yote ingekuwa na watu wenye fikra na uthùbutu walio nao watu wa Mbeya, nchi hii isingekuwa kama hivi ilivyo.
Aibu ambayo Tulia Ackson ametuvalisha wana Mbeya, tumeondolewa na wakili wetu msomi Mwabukusi.
Mbeya hatutaki vibaraka, hatutaki ukoloni mambo leo, hatutaki rasilimali za Tanganyika zichezewe.
Nasikia jana Zanzibar na Tanzania zimeingia mkataba wa madini, aisee, hiki ni kituko cha mwaka, Tanzania ni wapi na Zanzibar ni wapi?
Huu ndio ukweli.Hii safi sana, mimi nimeipenda sana.
Wakajionee jinsi mawakili wao uchwara wanavyogaragazwa kisheria.
Na wanachi wanaodanganywa danganywa watapata fundisho la kuelewa maana ya agreements na Contracts.
Hapo serikali iitumie hii fursa, ni nzuri sana.
Umeelewa nilichoandika au umereply kwa hisia zako tu kijana??Mkibishana na wapumbavu
Chuga iEshimu kama amri ya 4
Chuga na kaskazini (tanga ipo kwa bahati mbaya) imeanza harakati mbeya bado ipo rhodesia
Watu wa huko wanaaminika na si wanafiki labda kwa wachache wanaotetea matumbo yaoWana Mbeya wanajielewa sana, wana utambuzi wa hali ya juu sana.
Mbeya mama anapendwa sana, ila kwa hili la bandari wamesema hapana. Hawajakubali rasilimali zao kuuzwa, na hawako tayari kwa rasilimali za taifa lao Tanganyika kuchezewa.
Kijana Mwabukusi amegeuka kuwa shujaa wa taifa, jana viwanja vya mahakama vilijàa sana kiasi cha wananchi kuomba kesi ikasikilizwe kwenue viwanja vya Mapinduzi, siku hizi mnaita Sokoine.
Mikoa yote ingekuwa na watu wenye fikra na uthùbutu walio nao watu wa Mbeya, nchi hii isingekuwa kama hivi ilivyo.
Aibu ambayo Tulia Ackson ametuvalisha wana Mbeya, tumeondolewa na wakili wetu msomi Mwabukusi.
Mbeya hatutaki vibaraka, hatutaki ukoloni mambo leo, hatutaki rasilimali za Tanganyika zichezewe.
Nasikia jana Zanzibar na Tanzania zimeingia mkataba wa madini, aisee, hiki ni kituko cha mwaka, Tanzania ni wapi na Zanzibar ni wapi?