Ukomo wa Toyota Crown Sedan

Ukomo wa Toyota Crown Sedan

Sizinga

Platinum Member
Joined
Oct 30, 2007
Posts
9,374
Reaction score
6,857
crown.jpeg

Habari kutoka mtandao wa chunichi.co.jp unaeleza kuwa gari za Sedan Toyota Crown zimefikia ukomo wa utengenezaji wake baada ya kutoa updated version ya mwaka 2021.

Sababu kubwa ya kufikia ukomo wa magari haya pendwa na yenye 'high perfomance and comfortability' ni mauzo madogo katika soko la kimataifa. (Just remember kuna kipindi Toyota Crown sedan hazikuuzwa kabisa katika soko la US). Utakumbuka Toyota Crown zilianza uzalishaji mwaka 1955 na zinafikia ukomo wake mwaka 2021.

Mtandao huo unaendelea kuhabarisha kuwa Mbadala wa sedan hizo itakuwa ni Toyota Crown SUV gari ambazo bado zitaendelea kutumia jina la 'CROWN' zitakuwa na platform ya 'Toyota Highlander'. Toyota Crown SUV hizo zitakazoanza uzalishwaji wake mwaka 2022 zitajikita zaidi katika soko la Kimataifa la Marekani pamoja na Uchina. Gari hizo zitakuwa na mifumo mingi ya kiusalama hasa zikikaribiana na kitu chochote (pre-crash safety, pedestrian detection, cyclic detection nk).

Maoni ya wanamtandao wengi wamestushwa na habari hizo kwani gari hizo zimeonekana kupendwa sana hasa na vijana kutokana na muundo wake pamoja na perfomance yake, na wameenda mbali zaidi kwa kudai kuwa gari za juu aina ya SUV zipo nyingi sana kwanini TOYOTA wamekuwa na akili mgando za kuachana na utengenezaji wa gari hizo.

Haya wale wamiliki wa ndege za chini habari ndo hiyo, itabidi muanze kutafuta mbadala wa sedan hizo labda mnaweza kuhamia kwenye Toyota Avalon kwa sasa.
 
Mnyama nilikiwa namkubali sana kwenye safari ndefu kitu kimetulia puling ya kutosha TOYOTA, shida wanamuwaza sana RANGE ROVER ..... wabaki kwenye mstari tu vinginevyo mambo yatakuwa magumu sana
Kabisa yaani wanawaza sana hizo gari na BMW wanaona kama zinawakimbiza hivi...Anyway labda ndo market strategies zinavyotaka ila CROWN sedan ni best Japenese car inayokidhi viwango vya ubora.
 
Sio mbaya kibongo bongo maana kama mpk leo tunatumia gari za 1990's na 2000's huko Cresta,mark 2,vits,Altezza,Brevis etc na production yake ilishasimamishwa kitambo then hata wakisimamisha production ya Crown 2021 haitatuhusu
 
Watoe tu mbona Rolls Royce walitoa Cullinan na Bentley wakatoa Bentyaga na maisha yanaenda.

Soko la Cross SUV ndio soko linalofanya vizuri zaidi. Watu wanahama kwenye Sedans kwa kasi wanakimbilia kwenye hatchbacks na Cross SUV. Toyota wanaenda kufanya mabadiliko makubwa tu kuna Corrolla imetoka inaitwa Corrolla Cross imesimamia kucha. Model ya 2021
 
View attachment 1628133
Habari kutoka mtandao wa chunichi.co.jp unaeleza kuwa gari za Sedan Toyota Crown zimefikia ukomo wa utengenezaji wake baada ya kutoa updated version ya mwaka 2021.

Sababu kubwa ya kufikia ukomo wa magari haya pendwa na yenye 'high perfomance and comfortability' ni mauzo madogo katika soko la kimataifa. (Just remember kuna kipindi Toyota Crown sedan hazikuuzwa kabisa katika soko la US). Utakumbuka Toyota Crown zilianza uzalishaji mwaka 1955 na zinafikia ukomo wake mwaka 2021.

Mtandao huo unaendelea kuhabarisha kuwa Mbadala wa sedan hizo itakuwa ni Toyota Crown SUV gari ambazo bado zitaendelea kutumia jina la 'CROWN' zitakuwa na platform ya 'Toyota Highlander'. Toyota Crown SUV hizo zitakazoanza uzalishwaji wake mwaka 2022 zitajikita zaidi katika soko la Kimataifa la Marekani pamoja na Uchina. Gari hizo zitakuwa na mifumo mingi ya kiusalama hasa zikikaribiana na kitu chochote (pre-crash safety, pedestrian detection, cyclic detection nk).

Maoni ya wanamtandao wengi wamestushwa na habari hizo kwani gari hizo zimeonekana kupendwa sana hasa na vijana kutokana na muundo wake pamoja na perfomance yake, na wameenda mbali zaidi kwa kudai kuwa gari za juu aina ya SUV zipo nyingi sana kwanini TOYOTA wamekuwa na akili mgando za kuachana na utengenezaji wa gari hizo.

Haya wale wamiliki wa ndege za chini habari ndo hiyo, itabidi muanze kutafuta mbadala wa sedan hizo labda mnaweza kuhamia kwenye Toyota Avalon kwa sasa.
Wadau wa Sedan za Toyota watahamia kwenye Toyota Centurion
View attachment 1628133
Habari kutoka mtandao wa chunichi.co.jp unaeleza kuwa gari za Sedan Toyota Crown zimefikia ukomo wa utengenezaji wake baada ya kutoa updated version ya mwaka 2021.

Sababu kubwa ya kufikia ukomo wa magari haya pendwa na yenye 'high perfomance and comfortability' ni mauzo madogo katika soko la kimataifa. (Just remember kuna kipindi Toyota Crown sedan hazikuuzwa kabisa katika soko la US). Utakumbuka Toyota Crown zilianza uzalishaji mwaka 1955 na zinafikia ukomo wake mwaka 2021.

Mtandao huo unaendelea kuhabarisha kuwa Mbadala wa sedan hizo itakuwa ni Toyota Crown SUV gari ambazo bado zitaendelea kutumia jina la 'CROWN' zitakuwa na platform ya 'Toyota Highlander'. Toyota Crown SUV hizo zitakazoanza uzalishwaji wake mwaka 2022 zitajikita zaidi katika soko la Kimataifa la Marekani pamoja na Uchina. Gari hizo zitakuwa na mifumo mingi ya kiusalama hasa zikikaribiana na kitu chochote (pre-crash safety, pedestrian detection, cyclic detection nk).

Maoni ya wanamtandao wengi wamestushwa na habari hizo kwani gari hizo zimeonekana kupendwa sana hasa na vijana kutokana na muundo wake pamoja na perfomance yake, na wameenda mbali zaidi kwa kudai kuwa gari za juu aina ya SUV zipo nyingi sana kwanini TOYOTA wamekuwa na akili mgando za kuachana na utengenezaji wa gari hizo.

Haya wale wamiliki wa ndege za chini habari ndo hiyo, itabidi muanze kutafuta mbadala wa sedan hizo labda mnaweza kuhamia kwenye Toyota Avalon kwa sasa.
Wadau wa Toyota Crown watahamia kwenye Toyota Century.
Toyota Century ni mnyama zaidi ya Crown Kwa Tanzania itaogopeka sababu ya fuel consumption.
 
Wadau wa Sedan za Toyota watahamia kwenye Toyota Centurion

Wadau wa Toyota Crown watahamia kwenye Toyota Century.
Toyota Century ni mnyama zaidi ya Crown Kwa Tanzania itaogopeka sababu ya fuel consumption.
Wabongo wakisikia hio kitu ni V12 tu interest yao imeishia hapohapo,wewe waambie tu tu mambo 1zz-fe/1kr-fe hapo watakusikiliza.

Wabongo hawataipenda Century kabisa maana imekaa kifaza/kizamani lkn mimi naikubali kishenzi maana najua wajapan waliitengeneza kwa ajili gani.
 
Wabongo wakisikia hio kitu ni V12 tu interest yao imeishia hapohapo,wewe waambie tu tu mambo 1zz-fe/1kr-fe hapo watakusikiliza.

Wabongo hawataipenda Century kabisa maana imekaa kifaza/kizamani lkn mimi naikubali kishenzi maana najua wajapan waliitengeneza kwa ajili gani.
Hatari sana Toyota Century yeye ni mwendo wa V12 na V8. Muundo wa body hawajaweka sana mbwembwe.

Wakongo na Zambia wao hawana habari ya kuogopa.
 
Wabongo wakisikia hio kitu ni V12 tu interest yao imeishia hapohapo,wewe waambie tu tu mambo 1zz-fe/1kr-fe hapo watakusikiliza.

Wabongo hawataipenda Century kabisa maana imekaa kifaza/kizamani lkn mimi naikubali kishenzi maana najua wajapan waliitengeneza kwa ajili gani.
Wewe ni mjapan?
 
Wadau wa Sedan za Toyota watahamia kwenye Toyota Centurion

Wadau wa Toyota Crown watahamia kwenye Toyota Century.
Toyota Century ni mnyama zaidi ya Crown Kwa Tanzania itaogopeka sababu ya fuel consumption.
We jamaa bwana 😂😂😂 cc5000 za nini sasa tena kwenye sedan!
 

Attachments

  • BH380647_1db5e6.jpg
    BH380647_1db5e6.jpg
    45.5 KB · Views: 8
Back
Top Bottom