mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Ndio,wa hapa mitaa ya kumamoto.Wewe ni mjapan?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio,wa hapa mitaa ya kumamoto.Wewe ni mjapan?
Sawa... Bila shaka umetokea mitaa ya kumabaridi kabla ya kufika hapoNdio,wa hapa mitaa ya kumamoto.
Mzee baba v6 yenyewe raia hawataki kuisikia,utashangaa wanauliza unataka hio gari kwani unamiliki petrol station?Hatari sana Toyota Century yeye ni mwendo wa V12 na V8. Muundo wa body hawajaweka sana mbwembwe.
Wakongo na Zambia wao hawana habari ya kuogopa.
Kabla ya hapo nilikua mitaa ya chambawima.Sawa... Bila shaka umetokea mitaa ya kumabaridi kabla ya kufika hapo
Hapo ndo mahala pake tena hiyo ni 5000cc V12. Chombo inakuwa imetulia hapo fully stability, comfortability na power.We jamaa bwana 😂😂😂 cc5000 za nini sasa tena kwenye sedan!
Mazingira yao yao yanaruhusu kama wana barabara za kutembea speed hadi 120 kwann wasitumieHapo ndo mahala pake tena hiyo ni 5000cc V12. Chombo inakuwa imetulia hapo fully stability, comfortability na power.
Sisi wabongo tunataka Sedan zenye inline 4 cylinder.
Watu wanataka gari yenye show nzuri wauze...Wabongo wakisikia hio kitu ni V12 tu interest yao imeishia hapohapo,wewe waambie tu tu mambo 1zz-fe/1kr-fe hapo watakusikiliza.
Wabongo hawataipenda Century kabisa maana imekaa kifaza/kizamani lkn mimi naikubali kishenzi maana najua wajapan waliitengeneza kwa ajili gani.
Ndio hapo mkuu... Mbwembwe tuHakika barabara mbovu Cc 5000 ya nn? Misuse of resources
Yani hadi crown ya 2021 isambae bongo tutakua tushazeeka ka sio kuzikwaWatu wana crown za 2005 eti wanasikitika crown ya mwsho kuwa ya 2021 kama vile wao wana za 2020 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wakati za 2008 tu zinawatoa jasho
Mbona haina tofauti sana na Rav4 mpya?!!Watoe tu mbona Rolls Royce walitoa Cullinan na Bentley wakatoa Bentyaga na maisha yanaenda.
Soko la Cross SUV ndio soko linalofanya vizuri zaidi. Watu wanahama kwenye Sedans kwa kasi wanakimbilia kwenye hatchbacks na Cross SUV. Toyota wanaenda kufanya mabadiliko makubwa tu kuna Corrolla imetoka inaitwa Corrolla Cross imesimamia kucha. Model ya 2021
Na bei yake imechangamka haswa! Hii ni level ya RR kwa Japan.Wadau wa Sedan za Toyota watahamia kwenye Toyota Centurion
Wadau wa Toyota Crown watahamia kwenye Toyota Century.
Toyota Century ni mnyama zaidi ya Crown Kwa Tanzania itaogopeka sababu ya fuel consumption.
We ndio unaona hivyo ila its more appealing kuliko Rav4Mbona haina tofauti sana na Rav4 mpya?!!
Ni kisu kweli kweliWe ndio unaona hivyo ila its more appealing kuliko Rav4
Crown was always built for domestic market (Japan), sio kwa ajili ya export kwenda USA. Kwaio hio sio sababu ya kushuka mauzo au kusitisha kutoa toleo jengine. USA toyota wanauza Camry na Avalon(Just remember kuna kipindi Toyota Crown sedan hazikuuzwa kabisa katika soko la US)
Wala hawampati Range over kwenye SUV hata ukimueka Lexus luxury brand. Yaani kwa sasa Range rover hana mpinzani kwenye hio segment. Wengine wanauza gari majina tu lakini sio functionalities na features. BMW zake anaziita SAV ili ajifanye hayumo kwenye SUV 😀Mnyama nilikiwa namkubali sana kwenye safari ndefu kitu kimetulia puling ya kutosha TOYOTA, shida wanamuwaza sana RANGE ROVER ..... wabaki kwenye mstari tu vinginevyo mambo yatakuwa magumu sana
Toleo jipya la TDI litawafanya TOYOTA wafikirie upya project yao LC70 kwa sababu ndio alikuwa mpinzani wa HardtopWala hawampati Range over kwenye SUV hata ukimueka Lexus luxury brand. Yaani kwa sasa Range rover hana mpinzani kwenye hio segment. Wengine wanauza gari majina tu lakini sio functionalities na features. BMW zake anaziita SAV ili ajifanye hayumo kwenye SUV 😀