Ukomo wa Toyota Crown Sedan

Ukomo wa Toyota Crown Sedan

Hizo video za youtube usizipe kipaumbele ni mbinu za kibiashara.
South Africa kuna kuwa na Off-road rally Ford Ranger huwa anaburuzwa na Nissan na Toyota.

Hiyo Cullinan ipelekwe Paris to Dakar nchi za America kusini amini utaiona ni mchumba.Lakini Toyota,Nissan wamepambana sana kwenye off road huko Paris-Dakar na kufanya vyema.
"Hiyo Cullinan ipelekwe Paris to Dakar".

Hahah magari ya matozi hayo,kwny off-road ni bure kabisa hapo na ukifanikiwa kurudi nalo salama jiandae kwa matengenezo ya mamilion unless liwe under warrant.
 
Land Rover hakupi uhakika ukiwa porini kama Land Cruiser. Hiyo Defender hata wazungu wenyewe hawatonunua Kwa wingi kupeleka kwenye Mission za NATO,UN na AU wanajua hilo ni toto Mayai mayai haliwezi kazi ngumu.

Jiulize kwanini Australia inaongoza Kwa kuwa na Land Cruiser nyingi wakati kuna option nyingi.
Wenyewe wanakwambia the only place that one can depend on a landrover is when it's in it's natural environment,ON THE BACK OF THE TOW TRUCK.
 
'Hebu itizame new model land rover defender'

Aisee hio gari ni takataka kabisa from design(shape mbaya kinyamaaa) mpk reliability.

Kuna a/c maarufu huko youtube inaitwa Fast lane car jamaa alinunua hio gari akaenda nayo off-road ya kawaida maana anasema huko alikoenda gari yoyote ile yenye 4wd inaenda,wkt anarudi kwake gari ikamuwashia check engine light kumbuka mpk hapo gari ina Km 270 tu na ina siku mbili tu tangu imenunuliwa,ikabidi ipelekwe kwa dealers kutengenezwa imerudi tena barabarani jamaa anagundua camera za nyuma hazifanyi kazi na kwa US sheria zao kwa sasa ni camera ya nyuma ni lazima ikabidi irudi kwa dealer tena,na anasema mpk muda ule engineers wa LR hawajaweza kutatua tatizo hilo,hawajui shida iko wapi.
Ah kwa design ya gari LR defender nzuri kuliko LC70, hadi interior ile chuma imetegezwa. Kwa reliability sishangai, toyota pick up OLD iliwekwa juu ya jengo la gorofa lilikuwa demolished, gari imetoka inatembea, imechomwa moto bado gari inatembea.

Na nimesema linapokuja suala la reliability toyota hawezekaniki ila design and features, toyota hampati LR mkuu.

2020 magari yana design ya miaka 90

toyota-landcruiser-70-series-wagon-gxl-australia.png


Chuma ukiiona tu unajua kama ya 2020

image.jpg


Huyo aliepata check engine ilikuwa ya nini?
 
'Hebu itizame new model land rover defender'

Aisee hio gari ni takataka kabisa from design(shape mbaya kinyamaaa) mpk reliability.

Kuna a/c maarufu huko youtube inaitwa Fast lane car jamaa alinunua hio gari akaenda nayo off-road ya kawaida maana anasema huko alikoenda gari yoyote ile yenye 4wd inaenda,wkt anarudi kwake gari ikamuwashia check engine light kumbuka mpk hapo gari ina Km 270 tu na ina siku mbili tu tangu imenunuliwa,ikabidi ipelekwe kwa dealers kutengenezwa imerudi tena barabarani jamaa anagundua camera za nyuma hazifanyi kazi na kwa US sheria zao kwa sasa ni camera ya nyuma ni lazima ikabidi irudi kwa dealer tena,na anasema mpk muda ule engineers wa LR hawajaweza kutatua tatizo hilo,hawajui shida iko wapi.
Hii ishakuwa shida..
 
Binadamu tunapenda luxury, kati LR na LC70 ushindani wao hupo na ni wa miaka. Kuhusu RL kuwa na sophiscated features ni nyingi haiondolei sifa kuwa bado ni gari ya field. Mnaokumbuka Tdi original ziliisumbua Sana LC70. Mpaka sasa LR wametoa tolea jipya bado haijawa well explored kuhusu field performance and durability. Wacha muda utaongea ziwe nyingi na matumizi yake tuya experience kuliko kuishia kureview video tu. Mpaka sasa LC70 naweza sema bado yupo juu kwa sababu tunaishi nae na tunaona vurugu zake live.
View attachment 1631232
 
Ah kwa design ya gari LR defender nzuri kuliko LC70, hadi interior ile chuma imetegezwa. Kwa reliability sishangai, toyota pick up OLD iliwekwa juu ya jengo la gorofa lilikuwa demolished, gari imetoka inatembea, imechomwa moto bado gari inatembea.

Na nimesema linapokuja suala la reliability toyota hawezekaniki ila design and features, toyota hampati LR mkuu.

2020 magari yana design ya miaka 90

View attachment 1631158

Chuma ukiiona tu unajua kama ya 2020

View attachment 1631159

Huyo aliepata check engine ilikuwa ya nini?
Toyota anatengeneza gari za kazi, na Land Rover yeye anatengeneza gari Luxury na hiyo Luxury ni hii new model.

Kama umewahi tumia Land Rover Defender kuanzia Td200/Td300/Td5/Santana/Puma hata ikiwa na coil springs mbele na nyuma ukiwa off road haina utulivu kama haina mzigo inaruka ruka sana, hata ukipiga tuta. Stability ukitaka kukukata kona ukiwa zaidi ya 80km/h ni Sawa na L/Cruiser hukawii kumwagika chini.
 
Binadamu tunapenda luxury, kati LR na LC70 ushindani wao hupo na ni wa miaka. Kuhusu RL kuwa na sophiscated features ni nyingi haiondolei sifa kuwa bado ni gari ya field. Mnaokumbuka Tdi original ziliisumbua Sana LC70. Mpaka sasa LR wametoa tolea jipya bado haijawa well explored kuhusu field performance and durability. Wacha muda utaongea ziwe nyingi na matumizi yake tuya experience kuliko kuishia kureview video tu. Mpaka sasa LC70 naweza sema bado yupo juu kwa sababu tunaishi nae na tunaona vurugu zake live.
View attachment 1631232
Mkuu hao Land Rover Defender na Tdi injini wamepambana sana kushindana na Toyota LC70. Wamebadili matoleo ya injini mara kibao baada ya injini zao kuwa na matatizo walianza na hiyo Tdi200 ambayo wewe unasema Tdi original.

Tdi200 ilikuwa na utumiaji mzuri wa mafuta, ila uchafuzi wa hali ya hewa ulikuwa mkubwa,kelele za injini na matatizo ya kupasua pipes. Wakaboresha Tdi300 nayo bado ikawa na matatizo ikaja Td5 bado injini haikuwa kazi kazi, mifumo ya umeme na matatizo mengine yakawa mengi. Matoleo ya Land Rover Defender Puma kama zile za Tasaf au TRA hizi wakaweka injini za Ford (Duratorque).

Land Cruiser yeye main injini Kwa Lc70 ni 1hz, ingawa kuna matoleo miaka ya nyuma alijaribu kuweka 12ht,1pz,2h na saizi baadhi analeta na 1vd-fte.
 
Toyota anatengeneza gari za kazi, na Land Rover yeye anatengeneza gari Luxury na hiyo Luxury ni hii new model.

Kama umewahi tumia Land Rover Defender kuanzia Td200/Td300/Td5/Santana/Puma hata ikiwa na coil springs mbele na nyuma ukiwa off road haina utulivu kama haina mzigo inaruka ruka sana, hata ukipiga tuta. Stability ukitaka kukukata kona ukiwa zaidi ya 80km/h ni Sawa na L/Cruiser hukawii kumwagika chini.
Hizo zamani, tunazungumzia za saivi. Na point kubwa ni price justification.

Toyota Zamani na Mpya mifumo nayo iko vile vile.
 
Hizo zamani, tunazungumzia za saivi. Na point kubwa ni price justification.

Toyota Zamani na Mpya mifumo nayo iko vile vile.
Mkuu Toyota ya 1980 na za kuanzia 2010 tofauti ipo tena kubwa, labda kama umeangalia body na face lift.

Lc70 za nyuma zilikuwa ngumu kwenye gear transmission ila saizi kitu laini na sehemu nyingine tofauti. Hawawezi kuwa na mifumo ile ile wakati kila mwaka wanafanya research and development na wakaboresha kadri ya mahitaji ya wateja na soko.

Cheki hii link Toyota South Africa wameleta Armoured Land Cruiser, mauzo yake itakuwa balaa Kwa majeshi ya Africa,Asia na America kusini bila kusahau waasi wa Drc,Syria,Libya,Iran.
 
Mkuu Toyota ya 1980 na za kuanzia 2010 tofauti ipo tena kubwa, labda kama umeangalia body na face lift.

Lc70 za nyuma zilikuwa ngumu kwenye gear transmission ila saizi kitu laini na sehemu nyingine tofauti. Hawawezi kuwa na mifumo ile ile wakati kila mwaka wanafanya research and development na wakaboresha kadri ya mahitaji ya wateja na soko.

Cheki hii link Toyota South Africa wameleta Armoured Land Cruiser, mauzo yake itakuwa balaa Kwa majeshi ya Africa,Asia na America kusini bila kusahau waasi wa Drc,Syria,Libya,Iran.
Naona wame disign body kwa ajili ya shughuli za kijeshi, ile kilichomo ndani ni LC70. 🙌🙌🙌
 
Mkuu Toyota ya 1980 na za kuanzia 2010 tofauti ipo tena kubwa, labda kama umeangalia body na face lift.

Lc70 za nyuma zilikuwa ngumu kwenye gear transmission ila saizi kitu laini na sehemu nyingine tofauti. Hawawezi kuwa na mifumo ile ile wakati kila mwaka wanafanya research and development na wakaboresha kadri ya mahitaji ya wateja na soko.

Cheki hii link Toyota South Africa wameleta Armoured Land Cruiser, mauzo yake itakuwa balaa Kwa majeshi ya Africa,Asia na America kusini bila kusahau waasi wa Drc,Syria,Libya,Iran.
Nazungumzia body kwa ujumla, yaani mimi sizungumzii engine wala gearbox. Gari ya milioni 200 inatumia shocks za spring wakati mwenzako anatumia air suspension tena ride ina comfort!

Hizo Armoured vehicles ni special purpose vehicles, huwa hazitumiwi kama vigezo kabisa vya kufananisha na gari za kawaida.
 
Nimepitia price ranges za gari zote mbili, kulingana na customization ya kila gari. Kwa bei bado Defender 2020 yupo juu. Inaweza kuchangiwa labda na ingizo jipya sokoni baada ya muda mrefu kupita.
1605953283116.png
1605953391447.png

1605953453190.png
 
Mzee baba v6 yenyewe raia hawataki kuisikia,utashangaa wanauliza unataka hio gari kwani unamiliki petrol station?

Zambia naona wana magari ya maana kuliko sisi,huku wakiwa na makazi duni kutuzidi hahah.

Wacongo ukicheki hata gari zinazotoka hapo bandarini kwenda kwao ziko mukide sana,wanajua magari mazuri wale jamaa.

wacongo wanapenda sana magari na nguo kali yani unakuta mtu anavaa suti ya pierre nani sijui yule designer wa ulaya huko na ma brand mbalimbali lakini anaishi kajumba ka tope
alafu wanapenda sana viatu vya ngozi ya mamba, wana kundi lao hapo kinshasa linaitwa la sape sijui yani ni kundi la kushindana kutupia nguo zaki za ma designer wa ulaya sio watoto sio wazee
 
Hebu itizame new model land rover defender na new model ya LC70. Land Rover wanajua wanachofanya, toyota anamtesa LR sehemu moja tu, engine reliability ila kwenye design, features na mengine toyota asubiri tu.

mkuu si nilisikia Toyota Defender imeshafikia kikomo cha production yani wameacha kabisa kuyatengeneza miaka kadhaa iliyopita ?
 
Watoe tu mbona Rolls Royce walitoa Cullinan na Bentley wakatoa Bentyaga na maisha yanaenda.

Soko la Cross SUV ndio soko linalofanya vizuri zaidi. Watu wanahama kwenye Sedans kwa kasi wanakimbilia kwenye hatchbacks na Cross SUV. Toyota wanaenda kufanya mabadiliko makubwa tu kuna Corrolla imetoka inaitwa Corrolla Cross imesimamia kucha. Model ya 2021
Na Toyota-RUSH imetola toleo jipya, ni SUV ya maana utafikiri ni Harrier, kama ulivyosema jamaa wanakomaa na SUV kwa sasa, labda ni market strategy!
 
Back
Top Bottom