Ukomo wa Toyota Crown Sedan

Ukomo wa Toyota Crown Sedan

Kiuhalisia LC 200 inapungua kwenye popularity duniani.

Off roading experience inapungua.
Toyota amekuwa akibadili matoleo ya land cruiser kila baada ya muda fulani. Leo tunaongelea LC 200, tayari anajipanga kuja LC 300. Ukisema suala la populariety kupungua una compare na product ya kampuni gani labda?
 
Watakwambia nzuri offroad.
😀 gari lina struggle kichizi na hilo Lexus ndo usiseme..... Kuna video niliona yaani hio Ls ilikuwa inasumbuwa tu kwenye offroad. RR pamoja na kuwa luxury brand hawajasahau kama ni offroad car
 
Sijui kama mmelewa lakini how it works.....

Hio BMW haina Hybrid engine. Hybrid car huwa ina combustion engine na Hybrid powetrain yake (kama inatumia battery) yaani, wakati unatumia umeme, inachosukuma gari sio ile combustion engine, kuna motor nyengine ndio inasukuma hio gari.

Hio BMW, haina motor inayosukumwa na umeme. Hio BMW haiendeshwi na battery. Na nimesema hapo juu kuwa ukikanyaga mafuta tu engine inafanya kazi. Kinachotokea hapo ni kuwa engine inazimwa lakini kila kitu ndani ya gari kinafanya kazi kama vile engine haikuzimwa. Hio ni start and stop feature.

Nakumbushia nlichosema hichi hapa "hio 1 series ukiwa umeachia accelerator tu inaatumia battery mpk ukanyage tena, utayakuta wapi mambo kama hayo kwa toyota?"

Sasa Extrovert wapi nimesema kuwa hio gari inaendeshwa na battery? mnajichanganya wenyewe tu.
Hivi ndio ulitakiwa ulielezee toka mwanzo. Sio kusema gari inaendeshwa na battery sababu hata hybrids zina hii feature.

Hii feature ipo kwenye gari nyingi tu wala sio BMW pekee ambaye yupo nayo. Engine start/stop ipo ili kusave fuel during idling aidha kwenye foleni au temporary parking.
 
Hata huko Ulaya na Marekani Toyota ameacha kupeleka hilo ngarangara la LC 200.

Hakuna mzungu mwenye akili timamu ananunua hilo dude.

LC 200 4.5L V8 anakupa 381hp.

Wakati benz gls 450 yenye 3L v6 inakupa 362hp na 4L yenye v8 anakupa 483hp.

Binadamu mwenye akili timamu hawezi nunua gari la hovyo hivyo.
Mzungu anaejitambua na mpenzi wa off-road huwezi mkuta anashabikia Benz sababu ni gari ya kibishoo tu ila not workable on tough terrains. Gari ya trip moja shamba kisha moja kwa fundi Edga.
 
Toyota amekuwa akibadili matoleo ya land cruiser kila baada ya muda fulani. Leo tunaongelea LC 200, tayari anajipanga kuja LC 300. Ukisema suala la populariety kupungua una compare na product ya kampuni gani labda?
Popularity as off-road experience.

Siku hizi watu wanatumia hizi gari for status zaidi kuliko kuzipeleka off-road.

G Wagons, Jeeps zinazurura mitaa ya Beverly Hills.

They are more of a status kuliko kuzipeleka vichakani.
 
Popularity as off-road experience.

Siku hizi watu wanatumia hizi gari for status zaidi kuliko kuzipeleka off-road.

G Wagons, Jeeps zinazurura mitaa ya Beverly Hills.

They are more of a status kuliko kuzipeleka vichakani.
They cater for that. Ila when it comes to serious off-roading watu wenye akili hawakimbilii G Wagens ama hizo RR with full cosmetics.
 
Hivi ndio ulitakiwa ulielezee toka mwanzo. Sio kusema gari inaendeshwa na battery sababu hata hybrids zina hii feature.

Hii feature ipo kwenye gari nyingi tu wala sio BMW pekee ambaye yupo nayo. Engine start/stop ipo ili kusave fuel during idling aidha kwenye foleni au temporary parking.
Hukunisoma vizuri tu, sikusema kuwa gari inaendeshwa, ila nilisema kuwa ukiacha accelerator unatumia battery. Kwaio ni kueka gari free ambapo huwa haiendeshwi na motor yoyote zaidi ya ule msukumo unaoendelea tu.

Sijasema kuwa BMW pekee ndio anayo hio feature.

Jana ulileta video ya BMW 750 vs ls500 ukasema lx ipo on par na BMW. Ulicholeta pale ulionesha specs za gari, ukitumia hio, utakuja kusema lx ipo on par na bentley. Tumia mda utizame BMW 750 interior, features na build quality, utaona kuna utofauti mkubwa sana baina ya izo model mbili
 
W
Hukunisoma vizuri tu, sikusema kuwa gari inaendeshwa, ila nilisema kuwa ukiacha accelerator unatumia battery. Kwaio ni kueka gari free ambapo huwa haiendeshwi na motor yoyote zaidi ya ule msukumo unaoendelea tu.

Sijasema kuwa BMW pekee ndio anayo hio feature.

Jana ulileta video ya BMW 750 vs ls500 ukasema lx ipo on par na BMW. Ulicholeta pale ulionesha specs za gari, ukitumia hio, utakuja kusema lx ipo on par na bentley. Tumia mda utizame BMW 750 interior, features na build quality, utaona kuna utofauti mkubwa sana baina ya izo model mbili
Wewe naona unachotaka kuleta ni ubishi tu. Video imeonesha kila kitu mpaka performance wise ziko sawa. Kwahio unachotaka kuleta utetezi nacho ni ngumu kuki justify.
 
W
Wewe naona unachotaka kuleta ni ubishi tu. Video imeonesha kila kitu mpaka performance wise ziko sawa. Kwahio unachotaka kuleta utetezi nacho ni ngumu kuki justify.
Video imeonesha specifications, sio features, interior ama build quality.

Unataka kunambia kuwa nikikuletea gari ambayo ina specs karibiana na izo kwenye perfomance ndio itakuwa on par na ls nzima? Yaani nikuletee Is300 tuned halafu nikwambie iko on par na ls500 kisa tu engine ina 500hp halafu nikwambie iko on par na ls500 utanielewa kweli?

Ishu hapa sio nani ana engine ina nguvu sana, nani ana gari body kubwa, au nani ana tank ya mafuta kubwa. Main ishu ni bei ya gari na what it offers with that price/category. Tuchukulie hapa hapa kwenye toyota.

Tujaalie kuna Altezza mbili zinauzwa. wamiliki wametangaza dau kila mmoja anataka milioni 10.

Altezza A:
3sge, Automatic

Altezza B:
3sge, Automatic, Sunroof, heated seats, gps navigation, traction control, leather seats.

Ipi inakupa more value for your money?
 
Watoe tu mbona Rolls Royce walitoa Cullinan na Bentley wakatoa Bentyaga na maisha yanaenda.

Soko la Cross SUV ndio soko linalofanya vizuri zaidi. Watu wanahama kwenye Sedans kwa kasi wanakimbilia kwenye hatchbacks na Cross SUV. Toyota wanaenda kufanya mabadiliko makubwa tu kuna Corrolla imetoka inaitwa Corrolla Cross imesimamia kucha. Model ya 2021
Corrolla ni gari.. kuna moja nilitembea nayo ilikuwa vesrion ya ulayaa...mmh! Hatari hatari... kitu husikii shimo nje wala hujui kama inakimbia na kisaani unashangaa 200 hiyo wala hujui 😃😃😃😃
 
Corrolla ni gari.. kuna moja nilitembea nayo ilikuwa vesrion ya ulayaa...mmh! Hatari hatari... kitu husikii shimo nje wala hujui kama inakimbia na kisaani unashangaa 200 hiyo wala hujui [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Toyota anatengeneza gari kulingana na uhitaji wa eneo kijiografia. Nilipata nafasi ya kutest Toyota Avensis ya Japan na ya Netherlands yaani product mbili tofauti sema jina ni moja tu.
 
Video imeonesha specifications, sio features, interior ama build quality.

Unataka kunambia kuwa nikikuletea gari ambayo ina specs karibiana na izo kwenye perfomance ndio itakuwa on par na ls nzima? Yaani nikuletee Is300 tuned halafu nikwambie iko on par na ls500 kisa tu engine ina 500hp halafu nikwambie iko on par na ls500 utanielewa kweli?

Ishu hapa sio nani ana engine ina nguvu sana, nani ana gari body kubwa, au nani ana tank ya mafuta kubwa. Main ishu ni bei ya gari na what it offers with that price/category. Tuchukulie hapa hapa kwenye toyota.

Tujaalie kuna Altezza mbili zinauzwa. wamiliki wametangaza dau kila mmoja anataka milioni 10.

Altezza A:
3sge, Automatic

Altezza B:
3sge, Automatic, Sunroof, heated seats, gps navigation, traction control, leather seats.

Ipi inakupa more value for your money?
Kwahio value for money ni bei ya gari mkuu? What do you get interms of reliability? Umeshalifikiria hilo?

Ukizungumzia value for money katika hizo gari mbili you get it from Lexus. Hio biduka hata kichura chura au tembelea shingo. Kukuhakikishia hilo kaangalie bei ya hio BMW Compared na Lexus kwenye Used Car market.

Re-sale value ipo juu kwenye Lexus kuliko hio BMW. Tembelea hata befoward uone bei za BMW na Lexus za mwaka mmoja uone value for money ilipo.
 
Toyota anatengeneza gari kulingana na uhitaji wa eneo kijiografia. Nilipata nafasi ya kutest Toyota Avensis ya Japan na ya Netherlands yaani product mbili tofauti sema jina ni moja tu.
Upo sahihi 100%. Tokea siku hiyo sijawahi zalau tena toyota. Nilichogundua wanauza vyuma vyao kutokana na eneo na uchumi wa watu... hiyo Corrolla.. kulikuwa hakuna gari njiani ya kuvimbaa.. chombo nilikuwa napita nayo 200.. alafu imetulia kama natembea na 80 😃😃😃😃
 
Corrolla ni gari.. kuna moja nilitembea nayo ilikuwa vesrion ya ulayaa...mmh! Hatari hatari... kitu husikii shimo nje wala hujui kama inakimbia na kisaani unashangaa 200 hiyo wala hujui 😃😃😃😃
Corolla ziko vizuri sana sema tu haziwekewi cosmetics ziko so basic hasa hizi zilizokuja huku Africa. Ila wame upscale sahizi kutakuja Corrolla za maana sana after 10 years maybe 2030 kutakuwa na Corrolla za maana sana bongo.
 
Mimi nilichokiona ni utofauti wa Dashboard, Avensis za Japan maximum speed kwenye dashboard ni 180km/h wakati hiyo ya Netherland ni 240km/h. Gari ni Toyota Avensis sema moja ya Japan na nyingine Europe
1606314747032.png


1606315094176.png


Avensis Japan Version
1606315139766.png
 
Corolla ziko vizuri sana sema tu haziwekewi cosmetics ziko so basic hasa hizi zilizokuja huku Africa. Ila wame upscale sahizi kutakuja Corrolla za maana sana after 10 years maybe 2030 kutakuwa na Corrolla za maana sana bongo.
Ile ilikuwa ni tolea la America, na gari ilitoka canada... ilo la cosmetics upo sawa.. walijisahu mahala..
 
Mimi nilichokiona ni utofauti wa Dashboard, Avensis za Japan maximum speed kwenye dashboard ni 180km/h wakati hiyo ya Netherland ni 240km/h. Gari ni Toyota Avensis sema moja ya Japan na nyingine Europe
180 kutokana na utaratibu wao japan.. ila zina uwezo wa kufunguka na hiyo 240.. ( Dashboard ).. na ndio maana hizi hizi zenye 180 .. unakuta hawa wenye 240 wanatapika kamasi.. kama mnafukuzana
 
Back
Top Bottom