Ukomo wa Toyota Crown Sedan

Ukomo wa Toyota Crown Sedan

Mkuu Toyota Yaris GR ina performance kubwa uwezi kuiwekea IST ni matusi makubwa. Yaris anashindanishwa na Vw Golf na anamtoa kamasi vizuri.

Angalia mwezi huu Yaris alichofanya huko Nurburg Circuit Ujerumani.
Mwanzo hukuspecify Yaris ipi ndio nikataka kushangaa 106hp iwezane na 335 hp wapi na wapi.

Anyways hio GR ni 256hp, ata Supra original haifui dafu apo, ila kwa supra 2020, sifikirii kama 80hp zilizozidi kwe 2020 supra zitashindwa ku compensate for the weight factor. Lakini all in all, what do you expect unapoweka engine kubwa kwenye kibata vuzi? 😀 Chukua engine 2020 supra weka kwenye gari kama Yaris halafu ushindanishe na hio yaris gr uone.
 
Linapokuja suala la reliability sipingi kuwa toyota yuko vyema tena sana. Ford alitoa tangazo kutaka kuwaaminisha watu kuwa eti wao wana most reliable car, Toyota akamaindi na tangazo lao wakaliondoa.
Hata hao donors sahivi wanatumia Ford Everest.

Wameachana na Toyota kwa asilimia kubwa tu.
 
Ichi ndo nnachowaambia watu uku. Toyota ni mkusanyiko wa vyuma tu ukuchukue point A to point B 😀
Reliability ya Toyota haipo siku hizi kama zamani.

Hata hao donors wameshaanza kuachana nazo.

Wamehamia Ford Everest na LR Discovery 4.
 
Hata hao donors sahivi wanatumia Ford Everest.

Wameachana na Toyota kwa asilimia kubwa tu.
Baada ya Nissan kidogo Ford anajaribu kuteka soko la Tanzania na Afrika Mashariki. Ila safari bado anayo. Tunaziona Evarest, Ranger, Raptor, Fiesta, Escape, Exploirer na kwa uchache Ford Transit.
 
Reliability ya Toyota haipo siku hizi kama zamani.

Hata hao donors wameshaanza kuachana nazo.

Wamehamia Ford Everest na LR Discovery 4.
Wameona kuwa zipo overpriced compared to what it offers 😀
 
Baada ya Nissan kidogo Ford anajaribu kuteka soko la Tanzania na Afrika Mashariki. Ila safari bado anayo. Tunaziona Evarest, Ranger, Raptor, Fiesta, Escape, Exploirer na kwa uchache Ford Transit.
Hata Toyota inaanza kukimbiwa kila kukicha.

Reliability ni LC 70 series huko.

Kioo mpaka uzungushe handle.

Ila LC 200 hakuna kitu, umeme mwingi kama Bimmer X5 au Benz GLS.

Huwezi ona rebels au ISIS wanatumia LC 200. Wamebaki na zile mikonga na pickups tu.
 
Wameona kuwa zipo overpriced compared to what it offers 😀
Ndinga inauzwa 400M. Aisee.

Siwezi toa hiyo hela kwa gari boring kama LC 200.

It's poor in everything. Hata huko Ulaya na US wameona ni ujinga kununua huo uchafu.

Engine kubwa, power output ndogo.
 
Hata hao donors sahivi wanatumia Ford Everest.

Wameachana na Toyota kwa asilimia kubwa tu.
Hao hao donors hawajaachana na Toyota iyo Ford Everest ikienda porini lazima ukawasalimie mafundi. Donors wamehamia Kwa Toyota Fortuner new model ambaye ndio mshindani wa Ford Everest.

Ford zimekuja na habari yake imeishia juu juu, ila Toyota Fortuner bado anaendelea kukimbia taratibu hata idadi yake ni kubwa.
 
Hata Toyota inaanza kukimbiwa kila kukicha.

Reliability ni LC 70 series huko.

Kioo mpaka uzungushe handle.

Ila LC 200 hakuna kitu, umeme mwingi kama Bimmer X5 au Benz GLS.

Huwezi ona rebels au ISIS wanatumia LC 200. Wamebaki na zile mikonga na pickups tu.
LC70 GXL zina power window ndio kidogo LC70 yenye starehe, wale ISIS wanacheza na GXL. GX zenyewe ipo model ya Single cab tu na kimuonekano ni kama GXL wanaweza wakawa pia wanazitumia. Police wetu ndio wanatumia hizi workmate version single cab.
1606537991424.png
1606538013704.png

Kuanzia rims, rangi za bumper, (silver/grey/black), Front gril (silver/ black)
 
Hao hao donors hawajaachana na Toyota iyo Ford Everest ikienda porini lazima ukawasalimie mafundi. Donors wamehamia Kwa Toyota Fortuner new model ambaye ndio mshindani wa Ford Everest.

Ford zimekuja na habari yake imeishia juu juu, ila Toyota Fortuner bado anaendelea kukimbia taratibu hata idadi yake ni kubwa.
Nimefanya kazi na hao donors.

Mwanzo walikuwa wanatumia LC 70 ila sahivi wamehamia Everest. Na durability ipo vizuri kama ford ranger.

Ikirudi garage ni service kama LCs zinazorudi toka porini.
 
Nimefanya kazi na hao donors.

Mwanzo walikuwa wanatumia LC 70 ila sahivi wamehamia Everest. Na durability ipo vizuri kama ford ranger.

Ikirudi garage ni service kama LCs zinazorudi toka porini.
Bado sana, field LC70 bado ni mtawala tu.
 
Mjerumani anaumba gari.

Toyota anaunda vyuma vyenye matairi.
Inakuwaje hapa mtu aliye na gari anataka abadilishane na chuma chochote cha Toyota. Na mmesema mtu akitumia German car kamwe hawezi rudi Kwa Toyota.

Au ndoa imekuwa ngumu mume anarudi kwao anamkimbia mke.
Screenshot_20201128-114508.png
 

Attachments

  • Screenshot_20201128-114508.png
    Screenshot_20201128-114508.png
    108.8 KB · Views: 2
Inakuwaje hapa mtu aliye na gari anataka abadilishane na chuma chochote cha Toyota. Na mmesema mtu akitumia German car kamwe hawezi rudi Kwa Toyota.

Au ndoa imekuwa ngumu mume anarudi kwao anamkimbia mke.
View attachment 1636640
Spare used hakuna.

Kutunza hilo gari kumemshinda au labda amepewa na mtu.

Ndio maana nasema 80% ya wanaonunua magari bongo hawawezi kuyatunza vile inavyotakiwa.

Mtu yupo na Rav 4 yake Kilitime ila kununua shockup brand new hataki, anaenda kule tandale atafute zilizopata ajali achomoe kwa 10% ya bei.
 
Spare used hakuna.

Kutunza hilo gari kumemshinda au labda amepewa na mtu.

Ndio maana nasema 80% ya wanaonunua magari bongo hawawezi kuyatunza vile inavyotakiwa.

Mtu yupo na Rav 4 yake Kilitime ila kununua shockup brand new hataki, anaenda kule tandale atafute zilizopata ajali achomoe kwa 10% ya bei.
Yaani yupo tayari kupokea Toyota Probox kuliko kuwa na hiyo C- Class [emoji13][emoji13][emoji13]
 
Back
Top Bottom