Ukondefu unaninyima amani nifanyeje ili nipate walau vinyama kidogo

Ukondefu unaninyima amani nifanyeje ili nipate walau vinyama kidogo

Ujinga wa demu ukishanenepa na kitambi ataanza kukuzodoa hata hupendezi kama zamani.🤣🤣🤣

Ni sawa na mimi nikinyoa naonekana super HB ila mamsap ananiambia nakuwa na sura ya kitoto sana. Naamua kufuga nywele zikiwa nyingi amaanza upo rough sana kama babu yani hata hupendezi 😂😂😂 huoni vijana wenzio walivyo smart yani.

Hapo natamani kama nimpe tusi ila naamua tu kuwa jentromeni.
Cbinadamu hatuna jema
 
Ujinga wa demu ukishanenepa na kitambi ataanza kukuzodoa hata hupendezi kama zamani.🤣🤣🤣

Ni sawa na mimi nikinyoa naonekana super HB ila mamsap ananiambia nakuwa na sura ya kitoto sana. Naamua kufuga nywele zikiwa nyingi amaanza upo rough sana kama babu yani hata hupendezi 😂😂😂 huoni vijana wenzio walivyo smart yani.

Hapo natamani kama nimpe tusi ila naamua tu kuwa jentromeni.
🤣🤣Mwambie troublemaker namsalimia.
 
Ujinga wa demu ukishanenepa na kitambi ataanza kukuzodoa hata hupendezi kama zamani.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ni sawa na mimi nikinyoa naonekana super HB ila mamsap ananiambia nakuwa na sura ya kitoto sana. Naamua kufuga nywele zikiwa nyingi amaanza upo rough sana kama babu yani hata hupendezi [emoji23][emoji23][emoji23] huoni vijana wenzio walivyo smart yani.

Hapo natamani kama nimpe tusi ila naamua tu kuwa jentromeni.
Mkuu daah Hawa wanawake Ni balaaa nikinyoa nywele utasikia mmhhh hata hujapendeza bichwa baya nikianza kufunga mwele utasikia mhhhh yaan kama tapeli flani hv sijui wanatakaga Nini haswa
 
Ujinga wa demu ukishanenepa na kitambi ataanza kukuzodoa hata hupendezi kama zamani.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ni sawa na mimi nikinyoa naonekana super HB ila mamsap ananiambia nakuwa na sura ya kitoto sana. Naamua kufuga nywele zikiwa nyingi amaanza upo rough sana kama babu yani hata hupendezi [emoji23][emoji23][emoji23] huoni vijana wenzio walivyo smart yani.

Hapo natamani kama nimpe tusi ila naamua tu kuwa jentromeni.
Mkuu acha kudreamatise kwenye issue ya msingi
 
[emoji3][emoji3]Sasa mbona wewe mnene mkuu embu acha masihara halafu shukuru wewe ni mfupi. Sisi ni vimbau mbau halafu ni warefu.
Apana mkuu mwili wangu na postion yangu katika jamii, na kimaisha ni vitu viwili tofauti kabisa
 
[emoji23][emoji23][emoji23] wembamba sio dhambi jikubali tu jamani

Au fanya hivi

Tengeneza smoothie
[emoji529]1
[emoji1649] Kipande
[emoji479]1 cup(ya n'gombe)
2 tsp peanut butter
Tengeneza smoothie uinywe kila siku utaona kamwili kanaongezeka mdogomdogo usisahau kula na vinyama vya kuku kwa wingi

[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Mkuu daah Hawa wanawake Ni balaaa nikinyoa nywele utasikia mmhhh hata hujapendeza bichwa baya nikianza kufunga mwele utasikia mhhhh yaan kama tapeli flani hv sijui wanatakaga Nini haswa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hawa watu sijui vichwa vyao vina matatizo gani yani!!! Kumbe matatizo sipati pekeangu tu.
 
Back
Top Bottom