Nimekopesha na sio mashoga kuna jirani yangu nilimkopesha mpaka leo hajanipa na tunaonana na kuongea vizuri tu wala haonyeshi kulipa deni yaan me kwenye mtu kunikopa huwa hawanirudishii sasa hivi wamenifundisha roho mbayaUmewahi kumkopesha shoga yako?
Kama unacho toaNimekopesha na sio mashoga kuna jirani yangu nilimkopesha mpaka leo hajanipa na tunaonana na kuongea vizuri tu wala haonyeshi kulipa deni yaan me kwenye mtu kunikopa huwa hawanirudishii sasa hivi wamenifundisha roho mbaya
Natoa lakini hawarudishi huruma yangu huwa inaniponza sanaKama unacho toa
Sasa hivi mikopo natoa kwa makubaliano maalumNatoa lakini hawarudishi huruma yangu huwa inaniponza sana
Hata hela ndogo mtu anaomba umkopeshe utatoa kwa makubaliano kweliSasa hivi mikopo natoa kwa makubaliano maalum
Hamna pesa ndogo siku hiziHata hela ndogo mtu anaomba umkopeshe utatoa kwa makubaliano kweli
Utaolewa wewe jiendekezekwani kupakatwa ni bure? njoo nikupakate
Una shida gani ?? Njoo unieleze inboxNikopesheni jamani nitakufa mwenzenu .nipeni hizo rambirambi nipone
Kama uliandikishana nao wanyoshe kwenye mkono wa sheria watajifunza kuheshimu makubaliano.Mimi nimewakopesha rafiki zangu wawili Kila mmoja na wakati wake.
October 2014 Jamaa yangu nilimkopesha Milioni moja taslimu. Alikuwa amekwama ktk biashara yake ya miti ya mbao. Hajanilipa mpaka 26/01/2018 saa 13:24 na cmu yangu hapokei. Nikibadili Namba akipokea akijua Mimi anakata simu.
November 2014 nilimkopesha Jamaa yangu mwingine Milioni 2 taslimu. January 2015 alinilipa Milioni moja, ikabaki moja mpaka Leo 26/01/2018, saa 13:30 hajamalizia. Nikimfuata ananipa jibu cjapata Pesa mkuu.
NB: Wote nimeandikishana nao kwa mwanasheria wangu ambae n rafiki yangu.
Huo ni ujasiri (au ujuha..) uliopitiliza.Ila kuna wadaiwa wana roho ngumu,, unakuta deni la awali hajarejesha ila anataka kukopeshwa tena...
Pole sana aisee. Hiyo jifanye kama umesamehe tu na angalau sasa umepunguza mtu mmoja ambaye hatoweza kuja kuomba mkopo hata siku mojaMadeni noma, nina mjomba angu nilimkopesha million moja 2016, February, nimejuta.. Hatuna mawasiliano mazuri, maana ishu imeshakua ya familia
Tatizo lipo hapa. Watu wengi huwa wanaona noma kuanza kuandikishana, hasa kama ni rafiki wa karibu sana au ndugu kabisa ila nadhani hii inaweza kusaidia.Kama uliandikishana nao wanyoshe kwenye mkono wa sheria watajifunza kuheshimu makubaliano.