Ukopaji fedha na jinsi unavyoua Urafiki

Dawa ya Deni ni Kulipa tu,
ila Bank zipo wazi kwa kazi ya kukopesha watu sasa kwa nini watu hawaendi kukupa bank?
 
Duuuh hatakusahau
 
Well said brother.
Ila umewakopesha pesa nyingi sana. Ndio maana wanashindwa kurudisha.
Na je uliandikishana nao?
 

Haha[emoji1]
 
Kuna ndugu yangu alikua na roho ngumu sana, yeye hataki kusikia neno NIKOPESHE. Ukimuomba laki anakupa elfu10 halafu anakwambia nimekupa tu sitokudai. Unajua kwenye maisha unatakiwa bandidu sometimes.
Nimejifunza hiyo falsafa kitambo na nimeitumia kwa mafanikio mpaka mwaka jana nilijisahau nikamkopesha mtu 2m....ilikuwa alipe in 3 months...nimeambulia 0.5 after 10 months....
Nime write off 1.5m....

Over my dead body kukopesha tena....
 
.. je uliandikishana nao?
No, ni msg tu za simu. Kuandikishana brother inahitaji ubandidu flani hivi, especially anayekuja kukopa ni mshkaji wa karibu sana ambaye unajua kabisa ana kipato reasonable. Lesson learnt lakini.
 
Hiyo ndo dawa ya wajinga
 
I have a feeling wewe ndo unadaiwa na ndo unawakwepa wenzio. Mkuu walipe wenzio hali ya urafki wenu iwe sawa
 
No, ni msg tu za simu. Kuandikishana brother inahitaji ubandidu flani hivi, especially anayekuja kukopa ni mshkaji wa karibu sana ambaye unajua kabisa ana kipato reasonable. Lesson learnt lakini.
Ha ha haz
Ungemwambia tuandikishane angekimbia na pesa aningechukua
 
I have a feeling wewe ndo unadaiwa na ndo unawakwepa wenzio. Mkuu walipe wenzio hali ya urafki wenu iwe sawa
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ mkuu kama una deni kalipe tu. Anayetoa hela yake kukukopa haimaanishi hana shida na hela hiyo
 
Mbona kila mtu kakopesha humu, ?? Me huwa nakopesha kuna jamaa kipindi wanazuia viroba alikamatwa navyo akaomba nimsaidie, toka march 2017 Sept 2017 hapokei, nikaamua kusamehe na kufuta number yake ilikuwa inanichefua,


Mwenyewe huwa nakopa na kurudisha sema kuna kaka yangu alinikopesha 150k nikamlipa 100k tu, nyingine nikajisahaulisha, last week kanikopesha tena ila naamini this time nitalipa yote.

Sijisifii kudhurumu ila huyu anajua maisha yangu so haina tatizo.
 
bora ya huyo aliyekudhulumu lakini amejali urafiki wenu
Yeah, huwa tunawasiliana karibia kila siku! But unadhani ikitokea akaniambia ana shida ya pesa nimkopeshe nitafanya hivyo?? Ameshapoteza uaminifu wake kwangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…