Milanzi2018
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 388
- 382
Duuuh hatakusahauThat's the mistake they make "assuming we don't need the money that's why we gave them"
Nakumbuka a few years ago nilikua nimepanga Kinondoni mpangaji mwenzangu (kijana) ambae tulitokea kuzoeana alikua anadaiwa kodi hana pesa, akaja akaniomba nimkopeshe. Kwa moyo mweupe nikamwazima 500,000 na nukamuuliza lini itarudi akasema next month. Nikaona poa tu...keeping in mind hiyo pesa niliplan kununua mahitaji ya mdogo wangu na kumpa p.money ya while akifungua.
Jirani akalipa kodi mwezi ulofuata kapiga kimya nikapotezea, mwezi mwingine tena kimya... Ikabidi nimkumbushe akanipa viswahili akaniambia nimpe muda, bila hiyana nikakubali.
Uzuri nilisha msort dogo akaenda skuli bila shida.
Ila jirani alinikwaza for taking advantage of my kindness.... Siku nkamwabia uvumilivu umenishinda hiyo pesa utatoa bila kupenda.
Nikakaa a week tena harudishi ananiona fala....Siku 1 lunch time nikatoka Mikocheni (offcn) to Victoria (office kwake) kufika reception nikaomba kumuona....
Alishtuka vibaya, but I was composed nikamwambia nnashida na HR wako nataka nimpe haka ka agreement ketu akate pesa yangu tumalizane mi na wewe.
Aliogopa akasema usifike huko naomba tuongee jioni, nikamwambia maongezi sitaki niambie unanipa lini right now... akasema kesho.
Kabla hata ya kesho akaniingizia 500,000 ,na mazoea yakaishia hapo!!!!!
Alinipa funzo kubwa sana, saiv hata aje mtu anatambaa sina helaaaaaaaaaa. Bora zikae kwenye account niziangalie ila sio kuwapa ungrateful people.
Well said brother.Rafiki yangu mmoja nilimkopa Laki Sita May 2017. Alikuwa nje ya mji na mkewe akapata emergency, akihitaji hiyo pesa. Kwa kuthamini urafiki wetu, nilimtumia fasta, na elfu kumi juu ya ''kutolea''. Huyu hajalipa mpaka leo. Mwingine alikuwa staff member na akaomba nimkope Laki Nane kwa kuwa alikuwa na shida ya kutoa kagari kake kapya bandarini. Ilikuwa June mwaka jana. Hajalipa mpaka leo.
Jambo la ajabu sasa, naona kama urafiki wetu umetetereka pakubwa sana kwa wote wawili. Sio kwamba nawasumbua kwa kuwadai, la hasha. Naona mmoja yeye hata nikichat nae, ule ukaribu wetu wa zamani haupo tena. Sasa hivi simuoni kabisa WhatsApp na nimeambiwa kabadilisha namba. Huyu wa Laki nane zaidi ya mara mbili amepokea simu zangu na kusema ''nipo busy/meeting mkuu, ntakucheki baadae buddaaa...''. Hakunicheki mpaka kesho kutwa. Last time nilitaka kumpa mchongo wa kazi moja hivi lakini alivyoyeyusha, deal nimempa mwingine.
Anyway, kopa mtu fedha at your own risk. Kwa kuwa ninathamimi sana urafiki, mwaka huu sintomkopa fedha mtu au rafiki yangu yeyote. Kama ni fedha kidogo na nimesukumwa na shida ya mtu, nitatoa msaada bure na halitakuwa deni. As for the two gentlemen, nimeshawasamehe moyoni ila sitawaambia na itakaa iwatese tu.
Unaumwa nini?Nikopesheni jamani nitakufa mwenzenu .nipeni hizo rambirambi nipone
Kuna mwanafunzi aliulizwa swali na mwalimu wake. 'Kamau, babako akikopa shilingi elfu saba kwa jirani kisha akope elfu tisa kwenye benki, atalipa deni la shilingi ngapi kwa ujumla?' Kamau akasema sufuri. Mwalimu akarudia tena 'elfu saba kwa jirani, elfu tisa kwenye benki. Deni la babako litakuwa la shilingi ngapi?' Kamau akasema tena, 'sufuri.' Mwalimu akajawa na hamaki akamwambia Kamau, 'we kijana hujui hesabu hata kidogo!' Kamau naye akamjibu, 'si eti sijui hesabu mwalimu, wewe ndo humjui babangu!' πππ
Nimejifunza hiyo falsafa kitambo na nimeitumia kwa mafanikio mpaka mwaka jana nilijisahau nikamkopesha mtu 2m....ilikuwa alipe in 3 months...nimeambulia 0.5 after 10 months....Kuna ndugu yangu alikua na roho ngumu sana, yeye hataki kusikia neno NIKOPESHE. Ukimuomba laki anakupa elfu10 halafu anakwambia nimekupa tu sitokudai. Unajua kwenye maisha unatakiwa bandidu sometimes.
Nimemove on na kuconclude hiyo hela sintoipata kamwe...and my mind is settled. Sintowaambia kama nimewasamehe though.Kwa hiyo umetoa Sadaka 1400000β¦ ..!!!
No, ni msg tu za simu. Kuandikishana brother inahitaji ubandidu flani hivi, especially anayekuja kukopa ni mshkaji wa karibu sana ambaye unajua kabisa ana kipato reasonable. Lesson learnt lakini... je uliandikishana nao?
Hiyo ndo dawa ya wajingaThat's the mistake they make "assuming we don't need the money that's why we gave them"
Nakumbuka a few years ago nilikua nimepanga Kinondoni mpangaji mwenzangu (kijana) ambae tulitokea kuzoeana alikua anadaiwa kodi hana pesa, akaja akaniomba nimkopeshe. Kwa moyo mweupe nikamwazima 500,000 na nukamuuliza lini itarudi akasema next month. Nikaona poa tu...keeping in mind hiyo pesa niliplan kununua mahitaji ya mdogo wangu na kumpa p.money ya while akifungua.
Jirani akalipa kodi mwezi ulofuata kapiga kimya nikapotezea, mwezi mwingine tena kimya... Ikabidi nimkumbushe akanipa viswahili akaniambia nimpe muda, bila hiyana nikakubali.
Uzuri nilisha msort dogo akaenda skuli bila shida.
Ila jirani alinikwaza for taking advantage of my kindness.... Siku nkamwabia uvumilivu umenishinda hiyo pesa utatoa bila kupenda.
Nikakaa a week tena harudishi ananiona fala....Siku 1 lunch time nikatoka Mikocheni (offcn) to Victoria (office kwake) kufika reception nikaomba kumuona....
Alishtuka vibaya, but I was composed nikamwambia nnashida na HR wako nataka nimpe haka ka agreement ketu akate pesa yangu tumalizane mi na wewe.
Aliogopa akasema usifike huko naomba tuongee jioni, nikamwambia maongezi sitaki niambie unanipa lini right now... akasema kesho.
Kabla hata ya kesho akaniingizia 500,000 ,na mazoea yakaishia hapo!!!!!
Alinipa funzo kubwa sana, saiv hata aje mtu anatambaa sina helaaaaaaaaaa. Bora zikae kwenye account niziangalie ila sio kuwapa ungrateful people.
I have a feeling wewe ndo unadaiwa na ndo unawakwepa wenzio. Mkuu walipe wenzio hali ya urafki wenu iwe sawaRafiki yangu mmoja nilimkopa Laki Sita May 2017. Alikuwa nje ya mji na mkewe akapata emergency, akihitaji hiyo pesa. Kwa kuthamini urafiki wetu, nilimtumia fasta, na elfu kumi juu ya ''kutolea''. Huyu hajalipa mpaka leo. Mwingine alikuwa staff member na akaomba nimkope Laki Nane kwa kuwa alikuwa na shida ya kutoa kagari kake kapya bandarini. Ilikuwa June mwaka jana. Hajalipa mpaka leo.
Jambo la ajabu sasa, naona kama urafiki wetu umetetereka pakubwa sana kwa wote wawili. Sio kwamba nawasumbua kwa kuwadai, la hasha. Naona mmoja yeye hata nikichat nae, ule ukaribu wetu wa zamani haupo tena. Sasa hivi simuoni kabisa WhatsApp na nimeambiwa kabadilisha namba. Huyu wa Laki nane zaidi ya mara mbili amepokea simu zangu na kusema ''nipo busy/meeting mkuu, ntakucheki baadae buddaaa...''. Hakunicheki mpaka kesho kutwa. Last time nilitaka kumpa mchongo wa kazi moja hivi lakini alivyoyeyusha, deal nimempa mwingine.
Anyway, kopa mtu fedha at your own risk. Kwa kuwa ninathamimi sana urafiki, mwaka huu sintomkopa fedha mtu au rafiki yangu yeyote. Kama ni fedha kidogo na nimesukumwa na shida ya mtu, nitatoa msaada bure na halitakuwa deni. As for the two gentlemen, nimeshawasamehe moyoni ila sitawaambia na itakaa iwatese tu.
Ha ha hazNo, ni msg tu za simu. Kuandikishana brother inahitaji ubandidu flani hivi, especially anayekuja kukopa ni mshkaji wa karibu sana ambaye unajua kabisa ana kipato reasonable. Lesson learnt lakini.
ππππ mkuu kama una deni kalipe tu. Anayetoa hela yake kukukopa haimaanishi hana shida na hela hiyoI have a feeling wewe ndo unadaiwa na ndo unawakwepa wenzio. Mkuu walipe wenzio hali ya urafki wenu iwe sawa
Yeah, huwa tunawasiliana karibia kila siku! But unadhani ikitokea akaniambia ana shida ya pesa nimkopeshe nitafanya hivyo?? Ameshapoteza uaminifu wake kwangubora ya huyo aliyekudhulumu lakini amejali urafiki wenu
Sawa hamna shida sema kingineNoamba nikope Elfu Kumi kadi yangu ya ATM imemezwa!
Naomba basi, nikutumie namba yangu ya M-Pesa eeh ???Sawa hamna shida sema kingine
Tuma usijal sass sijui na wewe utanidhulumu kama wengine auNaomba basi, nikutumie namba yangu ya M-Pesa eeh ???
Heeeh,Tuma usijal sass sijui na wewe utanidhulumu kama wengine au