Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Ukosefu wa ajira kwa vijana, kutasababisha ongezeko kubwa la uhalifu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhalifu ulishaongezeka kitambo hasa miongoni mwa viongozi na watendaji serikalini.Ukosefu wa ajira kwa vijana, kutasababisha ongezeko kubwa la uhalifu.
Madhara ya akili za kichawa, kitapeli na kichuuzi.Kila bidhaa kwa sasa ni made in China tatizo la ajira litakuwepo sana tu miaka ijayo
Hatari mnoMadhara ya akili za kichawa, kitapeli na kichuuzi.
Viongozi feki wameamua kututumbukiza kwenye dimbwi la bidhaa feki za kichina!
Mwisho wa siku hata watu mitaani watakuwa feki!