Uhalifu ulishaongezeka kitambo hasa miongoni mwa viongozi na watendaji serikalini.
Kwa sasa labda useme Uhalifu unaofanyika serikalini utasambaa hadi majumbani!
Madhara ya akili za kichawa, kitapeli na kichuuzi.
Viongozi feki wameamua kututumbukiza kwenye dimbwi la bidhaa feki za kichina!
Mwisho wa siku hata watu mitaani washanza kuwa feki!
Madhara ya akili za kichawa, kitapeli na kichuuzi.
Viongozi feki wameamua kututumbukiza kwenye dimbwi la bidhaa feki za kichina!
Mwisho wa siku hata watu mitaani watakuwa feki!