Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #21
Watakuwa wameshindwa kuji-brandHao mafundi wana njaa Kali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakuwa wameshindwa kuji-brandHao mafundi wana njaa Kali.
Bila kuajiriwa, maisha yao yanakuwa hayaeleweki kwa walio wengiTangu lini uwalimu ni fani isiyo na tija?
Haha umenichekesha aisee . Katolea tu mfano. Hebu jaribu kuwaza in a positive wayKwahiyo wote tukiwa mafundi cherehani nani atamshonea nguo mwenzie
wametoboaje mkuu.Wajutia kitu kipi wakati wengine wenye hiyo shahada katika mazingira yao wametoboa?
Basi hatutaki tena kusikia malalamiko[emoji23][emoji23]Hatuwezi wote tukawa local fundi,nasoma nikipendacho kazi ikipatikana freshi isipopatikana freshi
Basi hatutaki tena kusikia malalamiko[emoji23][emoji23]Hatuwezi wote tukawa local fundi,nasoma nikipendacho kazi ikipatikana freshi isipopatikana freshi
Unaweza usihitajike hapa,ila fani yako ikakupeleka nchi nyingineSani zote sasa hivi mtafutano tuu
Hili si jambo linalotukabili kama changamoto Tanzania hii. Nakuambia hivi hata leo wale wanafunzi wote wa vyuo vikuu wakiwa wanapata technical knowledge (VETA) MFANO TU. Bado shida itabaki palepale. Hebu tufikirie zaidi tatizo ni nini.Tafuta 'technical knowledge' ndio pointi kuu; wanaohangaika sana kwenye ajira wengi wao wana 'knowledge' ambayo ni 'universal' yaani kila mtu anaweza kufanya, awe amesoma hajasoma anaweza kufanya kama akielekezwa kwa siku mbili tu. Mfano, labda umesoma uchumi, na mwingine akasoma mambo ya 'software development' , nadhani hapo mkuu umeona utofauti.
Ni kweli, changamoto inaweza kuwa mfumo kama utaitazama hii locally, ila kwa mtu anayeona mbali hasa kimataifa, ujuzi wako unaweza ukakupeleka kufanya kazi sehemu yoyote duniani.Hili si jambo linalotukabili kama changamoto Tanzania hii. Nakuambia hivi hata leo wale wanafunzi wote wa vyuo vikuu wakiwa wanapata technical knowledge (VETA) MFANO TU. Bado shida itabaki palepale. Hebu tufikirie zaidi tatizo ni nini.
Visingizio huwa havikosi lakini angalia logics za mada husika , technical knowledge ni msaada kuliko vyeti vya darasaniUkosefu wa ajira unatokana na katiba mbovu, utawala mbovu, ukosefu wa Tume huru ya uchaguzi, sera mbovu za maendeleo, ukosefu wa uongozi bali uwepo wa utawala, viongozi wasio na competent wala utashi, uwepo wa matabaka ya kilazima kati ya watawala na watawaliwa, uchu wa madaraka
Tatizo fikra hakuna kingineHili si jambo linalotukabili kama changamoto Tanzania hii. Nakuambia hivi hata leo wale wanafunzi wote wa vyuo vikuu wakiwa wanapata technical knowledge (VETA) MFANO TU. Bado shida itabaki palepale. Hebu tufikirie zaidi tatizo ni nini.
Huko kwenye soko la dunia si ndiyo nasikia hatuwezi kushindana kabisa.Ni kweli, changamoto inaweza kuwa mfumo kama utaitazama hii locally, ila kwa mtu anayeona mbali hasa kimataifa, ujuzi wako unaweza ukakupeleka kufanya kazi sehemu yoyote duniani.
😂😂😂Huko kwenye soko la dunia si ndiyo nasikia hatuwezi kushindana kabisa.
Fani yako ni ipi mkuuAkili zako hazina akili hapo ndipo ulipoishia kufikiri. Hizo kazi unalipwa sh ngapi? Na huo ufundi cherehani unalipwa sh. ngapi. Kuwa na aibu kidogo.
Mhasibu, hivi unajua nikiajiriwa tu shuleni ndani ya mwaka tu nanunua gari. Sasa wewe huo mcherehani unaouzungumzia unazungumzia level ya chini sana ya elimu ya msingi.Fani yako ni ipi mkuu
Katika uhasibu wako ni kitu gani umekifanya kipya? Na unathibitishiaje ulimwengu, kuwa wewe ni unique kwenye uhasibu?Mhasibu, hivi unajua nikiajiriwa tu shuleni ndani ya mwaka tu nanunua gari. Sasa wewe huo mcherehani unaouzungumzia unazungumzia level ya chini sana ya elimu ya msingi.
Wa cherehani anafungua kiwanda, na anakuajiri wewe muhasibu pamoja na PhD yakoMhasibu, hivi unajua nikiajiriwa tu shuleni ndani ya mwaka tu nanunua gari. Sasa wewe huo mcherehani unaouzungumzia unazungumzia level ya chini sana ya elimu ya msingi.